Watu maarufu waliofariki mwaka 2024

Watu maarufu waliofariki mwaka 2024

ESCORT 1

JF-Expert Member
Joined
Dec 7, 2015
Posts
1,501
Reaction score
3,342
Tujikumbushe watu maarufu wakiwemo wanasiasa, wasanii, wanamichezo waliotutoka mwaka 2024
 

Attachments

  • Nnko.jpg
    Nnko.jpg
    59.2 KB · Views: 25
  • IMG_4535.jpeg
    IMG_4535.jpeg
    125.2 KB · Views: 29
Hadija shaibu (Dida)
Amos Nnko
Fred kiluswa
Lawrence mafuru
John tendwa
 
Samahani lakini mwaka Bado haujaisha,,,tuzidi kuomba uzima
 
Wako wapi watu hawa
1: Askari alikuwa tunamwita "sharp" pale Dar miaka ya 80s
2: Ombaomba aliyewasumbua Dar jina maarufu "Matonya"
 
Back
Top Bottom