PostGE2025 Watu maarufu chukueni hii code. Kinachotafutwa sasa ni kuzima mjadala wa mauaji ya October 29 sasa sikieni

PostGE2025 Watu maarufu chukueni hii code. Kinachotafutwa sasa ni kuzima mjadala wa mauaji ya October 29 sasa sikieni

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections
Mambo ya codes ni kuchoshana akili tu kwa sasa
Tunatumia id fake kwanini tunaogopa?

Mbona picha video za mauaji hazina codes?!

Acheni uwoga hatuna muda wa kuchakata leteni info kamilishi!
 
Haijalishi wewe ulikuwa chawa au ulikuwa nani kinachotafutwa na tukio la mtu maarufu mwenye jina apate tukio mitandao ije imzungumzie wamejaribu kwa mwenzenu hapo juzi mmeona kijana mpole ila wamepita naye sasa kazi kwenu D9 tokeni acheni ushamba
Ukiona tukio kubwa limetokea na hakuna aliyekamatwa basi jua "Teeth aka Meno" wapo kazini.

Tukio la MC PiliPili Washawasha kutekwa ,kupigwa risasi na kuuawa kama hao waliotekeleza hawajakamatwa basi utapigilia mstari.
 
Ukiona tukio kubwa limetokea na hakuna aliyekamatwa basi jua "Teeth aka Meno" wapo kazini.

Tukio la MC PiliPili Washawasha kutekwa ,kupigwa risasi na kuuawa kama hao waliotekeleza hawajakamatwa basi utapigilia mstari.
Tunawambia wanasema tuache kuzua taharuki kazi kwao ni uzushi haya endeleeni ya iyena iyena
 
Mambo ya codes ni kuchoshana akili tu kwa sasa
Tunatumia id fake kwanini tunaogopa?

Mbona picha video za mauaji hazina codes?!

Acheni uwoga hatuna muda wa kuchakata leteni info kamilishi!
Wewe sema tunakuchosha utachoka kweli kweli
 
Waambie wakimbie nchi watapigwa chuma Sana tarehe 9 machawa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom