Watu jamii ya Lissu wako wengi mjini

Watu jamii ya Lissu wako wengi mjini

eddy

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2007
Posts
17,080
Reaction score
12,300
Juzi nimeona clip ya Lissu akiwa Kariakoo akinunua maparachichi pilipili hoho na nyanyachungu, nikajiuliza hivi kweli mtu unatoka Kimara kwenda Kariakoo kununua parachichi na nyanyachungu? Huko Kimara hakuna soko? Hakuna genge? Nikajiuliza inawezekana akina Lissu wako wengi mjini wanatoka Chanika, Mbagala, Kimara Mbweni kwenda Kariakoo kununua nyanyachungu ndio maana daladala zinasomba watu tangu saa tisa usiku hadi saa saba usiku. Wapo wanaopeleka biashara na wapo wanaoenda kununua.

Je, sababu za mtu kutoka huko na kwenda Kariakoo ni nini? Kariakoo bei nafuu? au Kariakoo kuna uhakika wa kupata bidhaa za kila aina? au parachichi la Kariakoo liko fresh halijakaa muda mrefu kwenye tenga? au nitabia tu kuwa ukitaka kuhemea lazima uende Kariakoo? Na tukijenga masoko yenye hadhi ya Kariakoo, Mbagala, Kimara na Pugu kajiungeni watu watazidi kwenda Kariakoo?

Tukumbuke idadi ya watu mijini inaongezeka kila siku na hatuwezi kwenda kuhemea Kariakoo miaka yote.
 
Ukiona hivyo MTU hataki kuzoeana na majirani na ni mtu mkorofi kwa majirani na asiyewapenda majirani ni mtu mbinafsi ndio maana mitaani mtu wa aina hiyo hata majambazi wakivamia nyumba majirani hawatoki wala kumpa msaada

Lisu naye naona ni wa tabia hiyo ndio maana hata aliposhambuliwa Dodoma hakuna jirani alitoka au kupiga yowe au kumpa msaada wala ushirikiano

Kununua jirani ni njia pia ya kuongeza ajira .Lisu anasema ataongeza ajira na kusaidia wafanyabiashara halafu anaenda kununua vitu mlimani city na hoho kariakoo wakati majirani zake tu hapo wanazo kibao na soko lipo pia

Eneo atakalokosa Lisu kura nyingi ni analoishi Dar es salaam .Wanamjua kama jirani mbaya na mbinafsi asiyetaka kuwa na ushirikiano na majirani
 
Mara nyingi ni busara kuwachangia majiran wako ili kuongeza ukaribu zaidi, kitendo iko kinaleta ukaribu wa kindugu, nao wajiangalie wapunguze bei, niligundua majiran sometimes wanaongeza bei ya vitu kutokana na kutokujua bei vizuri ya vitu, wanaongezea mia au miambili kitu ambacho ni upumbavu na kushusha uaminifu pia
 
Juzi nimeona clip ya Lissu akiwa Kariakoo akinunua maparachichi pilipili hoho na nyanyachungu, nikajiuliza hivi kweli mtu unatoka Kimara kwenda Kariakoo kununua parachichi na nyanyachungu? Huko Kimara hakuna soko? Hakuna genge? Nikajiuliza inawezekana akina Lissu wako wengi mjini wanatoka Chanika, Mbagala, Kimara Mbweni kwenda Kariakoo kununua nyanyachungu ndio maana daladala zinasomba watu tangu saa tisa usiku hadi saa saba usiku. Wapo wanaopeleka biashara na wapo wanaoenda kununua.

Je, sababu za mtu kutoka huko na kwenda Kariakoo ni nini? Kariakoo bei nafuu? au Kariakoo kuna uhakika wa kupata bidhaa za kila aina? au parachichi la Kariakoo liko fresh halijakaa muda mrefu kwenye tenga? au nitabia tu kuwa ukitaka kuhemea lazima uende Kariakoo? Na tukijenga masoko yenye hadhi ya Kariakoo, Mbagala, Kimara na Pugu kajiungeni watu watazidi kwenda Kariakoo?

Tukumbuke idadi ya watu mijini inaongezeka kila siku na hatuwezi kwenda kuhemea Kariakoo miaka yote.
Hoja mufilisi, kwani nyanya Chungu za Kimara ni sawa na za Kariakoo? Kwani Wafanyabiashara wa mboga mboga wa Kariakoo ni wa kimara?
 
Kariakoo vitu vinauzwa Bei rahisi

Hata hao wafanyabiashara wa Kimara wanavitoa kariakoo

Case closed
 
Jina la Lissu limekuwa mtaji mkubwa sana kwa bk7 wa Lumumba.
Sidhan kama kuna buku saba popote pale, na we ni mpumbavu kama unaamin mtu mpaka leo anashabikia kisa buku saba, CHADEMA washaonesha hawana uwezo wa kuongoza tangu 2015 hakuna kitachobadirika
 
2015 Lowassa nae alipanda daladala kabisa,ni vituko tu vya wanasiasa katika kipindi cha kampeni.
 
Juzi nimeona clip ya Lissu akiwa Kariakoo akinunua maparachichi pilipili hoho na nyanyachungu, nikajiuliza hivi kweli mtu unatoka Kimara kwenda Kariakoo kununua parachichi na nyanyachungu? Huko Kimara hakuna soko? Hakuna genge? Nikajiuliza inawezekana akina Lissu wako wengi mjini wanatoka Chanika, Mbagala, Kimara Mbweni kwenda Kariakoo kununua nyanyachungu ndio maana daladala zinasomba watu tangu saa tisa usiku hadi saa saba usiku. Wapo wanaopeleka biashara na wapo wanaoenda kununua.

Je, sababu za mtu kutoka huko na kwenda Kariakoo ni nini? Kariakoo bei nafuu? au Kariakoo kuna uhakika wa kupata bidhaa za kila aina? au parachichi la Kariakoo liko fresh halijakaa muda mrefu kwenye tenga? au nitabia tu kuwa ukitaka kuhemea lazima uende Kariakoo? Na tukijenga masoko yenye hadhi ya Kariakoo, Mbagala, Kimara na Pugu kajiungeni watu watazidi kwenda Kariakoo?

Tukumbuke idadi ya watu mijini inaongezeka kila siku na hatuwezi kwenda kuhemea Kariakoo miaka yote.
Mkuu tz nchi huru ,unaweza kwenda sehem yoyote kununua ukitakacho , mfano mtaani kwangu miogo ipo na ni mpenzi wa miogo ila huwa natoka kwenda sehem miogo inapatika kwa wingi ili nichague
 
lissu alikuwa anafanya kampeni bila kuvunja sheria.hicho ndio usichokijua
 
Juzi nimeona clip ya Lissu akiwa Kariakoo akinunua maparachichi pilipili hoho na nyanyachungu, nikajiuliza hivi kweli mtu unatoka Kimara kwenda Kariakoo kununua parachichi na nyanyachungu? Huko Kimara hakuna soko? Hakuna genge? Nikajiuliza inawezekana akina Lissu wako wengi mjini wanatoka Chanika, Mbagala, Kimara Mbweni kwenda Kariakoo kununua nyanyachungu ndio maana daladala zinasomba watu tangu saa tisa usiku hadi saa saba usiku. Wapo wanaopeleka biashara na wapo wanaoenda kununua.

Je, sababu za mtu kutoka huko na kwenda Kariakoo ni nini? Kariakoo bei nafuu? au Kariakoo kuna uhakika wa kupata bidhaa za kila aina? au parachichi la Kariakoo liko fresh halijakaa muda mrefu kwenye tenga? au nitabia tu kuwa ukitaka kuhemea lazima uende Kariakoo? Na tukijenga masoko yenye hadhi ya Kariakoo, Mbagala, Kimara na Pugu kajiungeni watu watazidi kwenda Kariakoo?

Tukumbuke idadi ya watu mijini inaongezeka kila siku na hatuwezi kwenda kuhemea Kariakoo miaka yote.
Maui Yale hayakuwa manunuzi ilikuwa ni namna fulani ya kampeni kuwafikia wapiga kura
 
Ukiona hivyo MTU hataki kuzoeana na majirani na ni mtu mkorofi kwa majirani na asiyewapenda majirani ni mtu mbinafsi ndio maana mitaani mtu wa aina hiyo hata majambazi wakivamia nyumba majirani hawatoki wala kumpa msaada

Lisu naye naona ni wa tabia hiyo ndio maana hata aliposhambuliwa Dodoma hakuna jirani alitoka au kupiga yowe au kumpa msaada wala ushirikiano

Kununua jirani ni njia pia ya kuongeza ajira .Lisu anasema ataongeza ajira na kusaidia wafanyabiashara halafu anaenda kununua vitu mlimani city na hoho kariakoo wakati majirani zake tu hapo wanazo kibao na soko lipo pia

Eneo atakalokosa Lisu kura nyingi ni analoishi Dar es salaam .Wanamjua kama jirani mbaya na mbinafsi asiyetaka kuwa na ushirikiano na majirani
Kazi yako ni ngumu sana we binadam
 
Alikuwa anatafuta watu, Bahati mbaya K/koo kila mtu yuko bize na wateja wao.

Alichokitafuta hakukipata.
 
Mara nyingi ni busara kuwachangia majiran wako ili kuongeza ukaribu zaidi, kitendo iko kinaleta ukaribu wa kindugu, nao wajiangalie wapunguze bei, niligundua majiran sometimes wanaongeza bei ya vitu kutokana na kutokujua bei vizuri ya vitu, wanaongezea mia au miambili kitu ambacho ni upumbavu na kushusha uaminifu pia
Kwa mwanasiasa anayeyegombea nafasi ya kitaifa ni vizuri ku-interact na watu wote na siyo majirani tu..!! Matarajio ni kuongoza taifa na siyo majirani. Huo ushauri ungemfaa kiongozi wa mtaa. Mpaka hapo hoja yako inabaki kuhesabika kuwa ni hoja ya mtu mwenye akili ya bata
 
Back
Top Bottom