Watu aina ya Robert Heriel wanahitaji wanawake wa kipekee mno

Watu aina ya Robert Heriel wanahitaji wanawake wa kipekee mno

kinyamkela mahaba

JF-Expert Member
Joined
May 4, 2022
Posts
1,180
Reaction score
1,599
Habari za Jumatano hii! Leo nilikuwa na tafakuri nzito kuhusu personality ya watu kama R. Heriel humu jamiiforam. Si Robert tu, kuna huyu mtu anaitwa Wyatt Mathewson pia.

Nilichojifunza kuhusu watu wa kariba hii ni;
1. Wanahitaji wanawake wasomi ili waweze kueleweka. Watu kama Huyu taikon kwenye jamii zetu za kiafrika mara nyingi huwa hawaeleweki kutokana na upeo duni wa waafrika wengi. So wanaitaji wanawake wasomi haswa siyo wa kubabaisha.

2. Wanahitaji wanawake wasiopenda bata na mambo ya kipuuzi. Watu kama Taikon wanaitaji wanawake wasiyo na upuuzi upuuzi. Wakati wa utani ni utani wakati wa kazi ni kazi. Wanawake wengi wa uswazi type ya wanaume km taikon atawaua. Hawatowezana.

3. Wanaitaji wanawake wapole but charming too. Watu wa kaliba ya taikon ni wakali kwa asili. Hivyo wanawake wengi wa sasa walio jeuri,wajuaji na viburi hawatowezana kabisa na wanaume wa kariba hii. Wanaitaji wanawake wa kujishusha.

4. Mwanamke anayeolewa na mwanaume wakaliba ya taikoon anatakiwa awe mvumilivu sana, but bright!akiwa lofa lofa atakufa kabla ya wakati wake.

Kwa sifa hizo nne,wanawake wa kaliba ya wanaume km taikon wapo wachache sana TZ na afrika kwa ujumla. Hivyo mara nyingi watu wa kaliba hii hupata shida mno kudumu kwenye mahusiano mapya mara baada ya break up. Hii ni miongoni mwa changamoto kubwa kwa watu wakaliba hii ya taikon.

Wengi slay quens wa insta,watsap,fb,tiktok,twita nk hawawezi kuvumilia vurugu za akina taikon wa fasihi. Wataona wanaonewa,wataona hawajaolewa na romantic men,wataona wanaendeshwa na mfumo dume na kadhalika.

Kama ambavyo masikini ni wengi na matajiri wachache,basi vivyo hivyo wanawake wenye akili ni wachache na malofa niwengi,na ndo hao waloolewa na wanaume wengi.

Mwisho, ukiwa lofa oa lofa mwenzio,ukiwa mjanja oa mjanja mwenzio,ukiwa tajiri oa tajiri mwenzio au uchumi wakati
Matajiri wanapokataa watoto wao kuolewa na malofa haimaanishi wanaweka ubaguzi nooo. Ndivyo inavyotakiwa kuwa.

NB; samahanini ikiwa taikon na wyatt hamjapenda kutumia majina yenu.
Hope nimefikisha ujumbe na niko ready for criticism
 
😄😄😄😄
Mkuu umenifurahisha Sana.
Kwanza nikupe pongezi kwa sababu umepatia Kwa 90%.

Sifa ya Mwanamke ambaye anaweza kuwa MKE wa Watu dizaini yetu, yaani Watibeli, au Bob Senior ni kama ifuatavyo;

1. Awe mwanamke mzuri mwenye sifa za kike.
i) uzuri WA maumbile, sura, rangi,
ii) Uzuri wa Tabia,
iii) lazima nikukute Bikra. Watibeli ni sheria kuoa Bikra na sio vinginevyo.

2. Awe Mwanamke Msomi
Elimu Dunia na Dini ni lazima, uwe na kiwango cha kutosha cha Elimu sio pungufu ya Diploma.
Kukosa sifa hiyo hauwezi kuwa kwenye hesabu za kuwa MKE wa Watu dizaini yetu.

3. Wanawake wenye AKILI
Akili ya kike, kujua Haki zake, Haki za wengine, na haki za mazingira.
Hatupendi Wanawake wajinga wenye Akili za kitoto na midoli.
Tunawajua Wanawake wenye Akili kwa namna wanavyotumia Uhuru wao, na vile wanavyotambua nafasi zao na zawengine.

4. Tunapenda Wanawake wanaojitegemea.
Tunapenda Wanawake heavyweight, ambao unaweza ukampa majukumu na bila ya kumuwekea wasiwasi.
Tabia Hii tunaweza kuwafundisha Wanawake wetu ikiwa tukagundua Hawana huo uwezo.

5. Wanawake wenye uwezo wa kuvunja mahusiano ikiwa wataona Haki haifanyiki.

Kimsingi Sisi Watibeli ni ngumu kuingia kwenye mahusiano hasa ya Ndoa Kwa sababu Wanawake wengi hawa-fit na mifumo yetu.

Sifa zetu Bora;
1. Tunajua kupenda na tunajali mno.
2. Tunapenda Haki, na kila kitu tunakipeleka kwa Haki.
3. Wanawake zetu tunawachukulia kama Malkia.
4. Tunato Uhuru na tunaishi bila kuigiza, na tunataka wake zetu waishi Kwa Uhuru na bila kuigiza.
5. Hatujali mambo madogo Dogo, hivyo hatuna Kisirani.
6. Tunaishi kishkaji na Wake na watoto wetu Kwa sababu tayari tumeshaweka mfumo a kila MTU anajua mipaka yake.
7. Sisi ni wacheshi na watu wa Sanaa.

Madhaifu yetu;
1. Ni wepesi kufanya maamuzi magumu bila kuangalia matokeo hasa heshima zetu zinapovunjwa.
2. Hatunaga msamiati Msamaha Kwa Makosa makubwa kama usaliti, Uchawi na ushirikina.
3. Tunajua mambo mengi Jambo ambalo linaonekana tuonekane wajuaji.
4. Tunaposema Jambo ndio ni ndio na hapana na Hapana.
5. Tunadharau Watu hasa tuliowaweka kwenye kundi la Watu wajinga.
7. Sisi ni wabaguzi hasa kwenye ishu sensitive kama Ndoa na kuanzisha mahusiano.
Sio rahisi kufanya ngono na kila Mwanamke. Tunakinyaa.

Kwetu ni Bora mara elfu kuishi bila MKE ikiwa hakuna Mwanamke anaye-fit vigezo vyetu

Wasalamu
 
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Mkuu umenifurahisha Sana.
Kwanza nikupe pongezi kwa sababu umepatia Kwa 90%.

Sifa ya Mwanamke ambaye anaweza kuwa MKE wa Watu dizaini yetu, yaani Watibeli, au Bob Senior ni kama ifuatavyo;

1. Awe mwanamke mzuri mwenye sifa za kike.
i) uzuri WA maumbile, sura, rangi,
ii) Uzuri wa Tabia,
iii) lazima nikukute Bikra. Watibeli ni sheria kuoa Bikra na sio vinginevyo.

2. Awe Mwanamke Msomi
Elimu Dunia na Dini ni lazima, uwe na kiwango cha kutosha cha Elimu sio pungufu ya Diploma.
Kukosa sifa hiyo hauwezi kuwa kwenye hesabu za kuwa MKE wa Watu dizaini yetu.

3. Wanawake wenye AKILI
Akili ya kike, kujua Haki zake, Haki za wengine, na haki za mazingira.
Hatupendi Wanawake wajinga wenye Akili za kitoto na midoli.
Tunawajua Wanawake wenye Akili kwa namna wanavyotumia Uhuru wao, na vile wanavyotambua nafasi zao na zawengine.

4. Tunapenda Wanawake wanaojitegemea.
Tunapenda Wanawake heavyweight, ambao unaweza ukampa majukumu na bila ya kumuwekea wasiwasi.
Tabia Hii tunaweza kuwafundisha Wanawake wetu ikiwa tukagundua Hawana huo uwezo.

5. Wanawake wenye uwezo wa kuvunja mahusiano ikiwa wataona Haki haifanyiki.

Kimsingi Sisi Watibeli ni ngumu kuingia kwenye mahusiano hasa ya Ndoa Kwa sababu Wanawake wengi hawa-fit na mifumo yetu.

Sifa zetu Bora;
1. Tunajua kupenda na tunajali mno.
2. Tunapenda Haki, na kila kitu tunakipeleka kwa Haki.
3. Wanawake zetu tunawachukulia kama Malkia.
4. Tunato Uhuru na tunaishi bila kuigiza, na tunataka wake zetu waishi Kwa Uhuru na bila kuigiza.
5. Hatujali mambo madogo Dogo, hivyo hatuna Kisirani.
6. Tunaishi kishkaji na Wake na watoto wetu Kwa sababu tayari tumeshaweka mfumo a kila MTU anajua mipaka yake.
7. Sisi ni wacheshi na watu wa Sanaa.

Madhaifu yetu;
1. Ni wepesi kufanya maamuzi magumu bila kuangalia matokeo hasa heshima zetu zinapovunjwa.
2. Hatunaga msamiati Msamaha Kwa Makosa makubwa kama usaliti, Uchawi na ushirikina.
3. Tunajua mambo mengi Jambo ambalo linaonekana tuonekane wajuaji.
4. Tunaposema Jambo ndio ni ndio na hapana na Hapana.
5. Tunadharau Watu hasa tuliowaweka kwenye kundi la Watu wajinga.
7. Sisi ni wabaguzi hasa kwenye ishu sensitive kama Ndoa na kuanzisha mahusiano.
Sio rahisi kufanya ngono na kila Mwanamke. Tunakinyaa.

Kwetu ni Bora mara elfu kuishi bila MKE ikiwa hakuna Mwanamke anaye-fit vigezo vyetu

Wasalamu
Yani mwanamke lazima awe na atleast diploma halafu ni bikra......labda uende jupita broo, hivyo vitu huwezi kuvikuta kwa mtu mmoja bongo hii, nimekaa pale
 
😄😄😄😄
Mkuu umenifurahisha Sana.
Kwanza nikupe pongezi kwa sababu umepatia Kwa 90%.

Sifa ya Mwanamke ambaye anaweza kuwa MKE wa Watu dizaini yetu, yaani Watibeli, au Bob Senior ni kama ifuatavyo;

1. Awe mwanamke mzuri mwenye sifa za kike.
i) uzuri WA maumbile, sura, rangi,
ii) Uzuri wa Tabia,
iii) lazima nikukute Bikra. Watibeli ni sheria kuoa Bikra na sio vinginevyo.

2. Awe Mwanamke Msomi
Elimu Dunia na Dini ni lazima, uwe na kiwango cha kutosha cha Elimu sio pungufu ya Diploma.
Kukosa sifa hiyo hauwezi kuwa kwenye hesabu za kuwa MKE wa Watu dizaini yetu.

3. Wanawake wenye AKILI
Akili ya kike, kujua Haki zake, Haki za wengine, na haki za mazingira.
Hatupendi Wanawake wajinga wenye Akili za kitoto na midoli.
Tunawajua Wanawake wenye Akili kwa namna wanavyotumia Uhuru wao, na vile wanavyotambua nafasi zao na zawengine.

4. Tunapenda Wanawake wanaojitegemea.
Tunapenda Wanawake heavyweight, ambao unaweza ukampa majukumu na bila ya kumuwekea wasiwasi.
Tabia Hii tunaweza kuwafundisha Wanawake wetu ikiwa tukagundua Hawana huo uwezo.

5. Wanawake wenye uwezo wa kuvunja mahusiano ikiwa wataona Haki haifanyiki.

Kimsingi Sisi Watibeli ni ngumu kuingia kwenye mahusiano hasa ya Ndoa Kwa sababu Wanawake wengi hawa-fit na mifumo yetu.

Sifa zetu Bora;
1. Tunajua kupenda na tunajali mno.
2. Tunapenda Haki, na kila kitu tunakipeleka kwa Haki.
3. Wanawake zetu tunawachukulia kama Malkia.
4. Tunato Uhuru na tunaishi bila kuigiza, na tunataka wake zetu waishi Kwa Uhuru na bila kuigiza.
5. Hatujali mambo madogo Dogo, hivyo hatuna Kisirani.
6. Tunaishi kishkaji na Wake na watoto wetu Kwa sababu tayari tumeshaweka mfumo a kila MTU anajua mipaka yake.
7. Sisi ni wacheshi na watu wa Sanaa.

Madhaifu yetu;
1. Ni wepesi kufanya maamuzi magumu bila kuangalia matokeo hasa heshima zetu zinapovunjwa.
2. Hatunaga msamiati Msamaha Kwa Makosa makubwa kama usaliti, Uchawi na ushirikina.
3. Tunajua mambo mengi Jambo ambalo linaonekana tuonekane wajuaji.
4. Tunaposema Jambo ndio ni ndio na hapana na Hapana.
5. Tunadharau Watu hasa tuliowaweka kwenye kundi la Watu wajinga.
7. Sisi ni wabaguzi hasa kwenye ishu sensitive kama Ndoa na kuanzisha mahusiano.
Sio rahisi kufanya ngono na kila Mwanamke. Tunakinyaa.

Kwetu ni Bora mara elfu kuishi bila MKE ikiwa hakuna Mwanamke anaye-fit vigezo vyetu

Wasalamu
Kwa kweli kupata mke wa aina hii ni ngumu sana yaan awe na diploma+bikra+kujishusha+beautifulmaana akiwa na diploma unakuta anaringia elimu yake hawezi kunyenyekea
Ukikuta ana sura nzuri hana bikra!!!
 
😄😄😄😄
Mkuu umenifurahisha Sana.
Kwanza nikupe pongezi kwa sababu umepatia Kwa 90%.

Sifa ya Mwanamke ambaye anaweza kuwa MKE wa Watu dizaini yetu, yaani Watibeli, au Bob Senior ni kama ifuatavyo;

1. Awe mwanamke mzuri mwenye sifa za kike.
i) uzuri WA maumbile, sura, rangi,
ii) Uzuri wa Tabia,
iii) lazima nikukute Bikra. Watibeli ni sheria kuoa Bikra na sio vinginevyo.

2. Awe Mwanamke Msomi
Elimu Dunia na Dini ni lazima, uwe na kiwango cha kutosha cha Elimu sio pungufu ya Diploma.
Kukosa sifa hiyo hauwezi kuwa kwenye hesabu za kuwa MKE wa Watu dizaini yetu.

3. Wanawake wenye AKILI
Akili ya kike, kujua Haki zake, Haki za wengine, na haki za mazingira.
Hatupendi Wanawake wajinga wenye Akili za kitoto na midoli.
Tunawajua Wanawake wenye Akili kwa namna wanavyotumia Uhuru wao, na vile wanavyotambua nafasi zao na zawengine.

4. Tunapenda Wanawake wanaojitegemea.
Tunapenda Wanawake heavyweight, ambao unaweza ukampa majukumu na bila ya kumuwekea wasiwasi.
Tabia Hii tunaweza kuwafundisha Wanawake wetu ikiwa tukagundua Hawana huo uwezo.

5. Wanawake wenye uwezo wa kuvunja mahusiano ikiwa wataona Haki haifanyiki.

Kimsingi Sisi Watibeli ni ngumu kuingia kwenye mahusiano hasa ya Ndoa Kwa sababu Wanawake wengi hawa-fit na mifumo yetu.

Sifa zetu Bora;
1. Tunajua kupenda na tunajali mno.
2. Tunapenda Haki, na kila kitu tunakipeleka kwa Haki.
3. Wanawake zetu tunawachukulia kama Malkia.
4. Tunato Uhuru na tunaishi bila kuigiza, na tunataka wake zetu waishi Kwa Uhuru na bila kuigiza.
5. Hatujali mambo madogo Dogo, hivyo hatuna Kisirani.
6. Tunaishi kishkaji na Wake na watoto wetu Kwa sababu tayari tumeshaweka mfumo a kila MTU anajua mipaka yake.
7. Sisi ni wacheshi na watu wa Sanaa.

Madhaifu yetu;
1. Ni wepesi kufanya maamuzi magumu bila kuangalia matokeo hasa heshima zetu zinapovunjwa.
2. Hatunaga msamiati Msamaha Kwa Makosa makubwa kama usaliti, Uchawi na ushirikina.
3. Tunajua mambo mengi Jambo ambalo linaonekana tuonekane wajuaji.
4. Tunaposema Jambo ndio ni ndio na hapana na Hapana.
5. Tunadharau Watu hasa tuliowaweka kwenye kundi la Watu wajinga.
7. Sisi ni wabaguzi hasa kwenye ishu sensitive kama Ndoa na kuanzisha mahusiano.
Sio rahisi kufanya ngono na kila Mwanamke. Tunakinyaa.

Kwetu ni Bora mara elfu kuishi bila MKE ikiwa hakuna Mwanamke anaye-fit vigezo vyetu

Wasalamu
Umetaja sifa za watu 10 tofauti 🤣
 
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Mkuu umenifurahisha Sana.
Kwanza nikupe pongezi kwa sababu umepatia Kwa 90%.

Sifa ya Mwanamke ambaye anaweza kuwa MKE wa Watu dizaini yetu, yaani Watibeli, au Bob Senior ni kama ifuatavyo;

1. Awe mwanamke mzuri mwenye sifa za kike.
i) uzuri WA maumbile, sura, rangi,
ii) Uzuri wa Tabia,
iii) lazima nikukute Bikra. Watibeli ni sheria kuoa Bikra na sio vinginevyo.

2. Awe Mwanamke Msomi
Elimu Dunia na Dini ni lazima, uwe na kiwango cha kutosha cha Elimu sio pungufu ya Diploma.
Kukosa sifa hiyo hauwezi kuwa kwenye hesabu za kuwa MKE wa Watu dizaini yetu.

3. Wanawake wenye AKILI
Akili ya kike, kujua Haki zake, Haki za wengine, na haki za mazingira.
Hatupendi Wanawake wajinga wenye Akili za kitoto na midoli.
Tunawajua Wanawake wenye Akili kwa namna wanavyotumia Uhuru wao, na vile wanavyotambua nafasi zao na zawengine.

4. Tunapenda Wanawake wanaojitegemea.
Tunapenda Wanawake heavyweight, ambao unaweza ukampa majukumu na bila ya kumuwekea wasiwasi.
Tabia Hii tunaweza kuwafundisha Wanawake wetu ikiwa tukagundua Hawana huo uwezo.

5. Wanawake wenye uwezo wa kuvunja mahusiano ikiwa wataona Haki haifanyiki.

Kimsingi Sisi Watibeli ni ngumu kuingia kwenye mahusiano hasa ya Ndoa Kwa sababu Wanawake wengi hawa-fit na mifumo yetu.

Sifa zetu Bora;
1. Tunajua kupenda na tunajali mno.
2. Tunapenda Haki, na kila kitu tunakipeleka kwa Haki.
3. Wanawake zetu tunawachukulia kama Malkia.
4. Tunato Uhuru na tunaishi bila kuigiza, na tunataka wake zetu waishi Kwa Uhuru na bila kuigiza.
5. Hatujali mambo madogo Dogo, hivyo hatuna Kisirani.
6. Tunaishi kishkaji na Wake na watoto wetu Kwa sababu tayari tumeshaweka mfumo a kila MTU anajua mipaka yake.
7. Sisi ni wacheshi na watu wa Sanaa.

Madhaifu yetu;
1. Ni wepesi kufanya maamuzi magumu bila kuangalia matokeo hasa heshima zetu zinapovunjwa.
2. Hatunaga msamiati Msamaha Kwa Makosa makubwa kama usaliti, Uchawi na ushirikina.
3. Tunajua mambo mengi Jambo ambalo linaonekana tuonekane wajuaji.
4. Tunaposema Jambo ndio ni ndio na hapana na Hapana.
5. Tunadharau Watu hasa tuliowaweka kwenye kundi la Watu wajinga.
7. Sisi ni wabaguzi hasa kwenye ishu sensitive kama Ndoa na kuanzisha mahusiano.
Sio rahisi kufanya ngono na kila Mwanamke. Tunakinyaa.

Kwetu ni Bora mara elfu kuishi bila MKE ikiwa hakuna Mwanamke anaye-fit vigezo vyetu

Wasalamu
Wisdom gonna get you killed one day [emoji28]
 
Yani mwanamke lazima awe na atleast diploma halafu ni bikra......labda uende jupita broo, hivyo vitu huwezi kuvikuta kwa mtu mmoja bongo hii, nimekaa pale
NAKAZIA HAPA.
 
Kwa kweli kupata mke wa aina hii ni ngumu sana yaan awe na diploma+bikra+kujishusha+beautifulmaana akiwa na diploma unakuta anaringia elimu yake hawezi kunyenyekea
Ukikuta ana sura nzuri hana bikra!!!
NAKAZIA NA HAPA.
 
Back
Top Bottom