kinyamkela mahaba
JF-Expert Member
- May 4, 2022
- 1,180
- 1,599
Habari za Jumatano hii! Leo nilikuwa na tafakuri nzito kuhusu personality ya watu kama R. Heriel humu jamiiforam. Si Robert tu, kuna huyu mtu anaitwa Wyatt Mathewson pia.
Nilichojifunza kuhusu watu wa kariba hii ni;
1. Wanahitaji wanawake wasomi ili waweze kueleweka. Watu kama Huyu taikon kwenye jamii zetu za kiafrika mara nyingi huwa hawaeleweki kutokana na upeo duni wa waafrika wengi. So wanaitaji wanawake wasomi haswa siyo wa kubabaisha.
2. Wanahitaji wanawake wasiopenda bata na mambo ya kipuuzi. Watu kama Taikon wanaitaji wanawake wasiyo na upuuzi upuuzi. Wakati wa utani ni utani wakati wa kazi ni kazi. Wanawake wengi wa uswazi type ya wanaume km taikon atawaua. Hawatowezana.
3. Wanaitaji wanawake wapole but charming too. Watu wa kaliba ya taikon ni wakali kwa asili. Hivyo wanawake wengi wa sasa walio jeuri,wajuaji na viburi hawatowezana kabisa na wanaume wa kariba hii. Wanaitaji wanawake wa kujishusha.
4. Mwanamke anayeolewa na mwanaume wakaliba ya taikoon anatakiwa awe mvumilivu sana, but bright!akiwa lofa lofa atakufa kabla ya wakati wake.
Kwa sifa hizo nne,wanawake wa kaliba ya wanaume km taikon wapo wachache sana TZ na afrika kwa ujumla. Hivyo mara nyingi watu wa kaliba hii hupata shida mno kudumu kwenye mahusiano mapya mara baada ya break up. Hii ni miongoni mwa changamoto kubwa kwa watu wakaliba hii ya taikon.
Wengi slay quens wa insta,watsap,fb,tiktok,twita nk hawawezi kuvumilia vurugu za akina taikon wa fasihi. Wataona wanaonewa,wataona hawajaolewa na romantic men,wataona wanaendeshwa na mfumo dume na kadhalika.
Kama ambavyo masikini ni wengi na matajiri wachache,basi vivyo hivyo wanawake wenye akili ni wachache na malofa niwengi,na ndo hao waloolewa na wanaume wengi.
Mwisho, ukiwa lofa oa lofa mwenzio,ukiwa mjanja oa mjanja mwenzio,ukiwa tajiri oa tajiri mwenzio au uchumi wakati
Matajiri wanapokataa watoto wao kuolewa na malofa haimaanishi wanaweka ubaguzi nooo. Ndivyo inavyotakiwa kuwa.
NB; samahanini ikiwa taikon na wyatt hamjapenda kutumia majina yenu.
Hope nimefikisha ujumbe na niko ready for criticism
Nilichojifunza kuhusu watu wa kariba hii ni;
1. Wanahitaji wanawake wasomi ili waweze kueleweka. Watu kama Huyu taikon kwenye jamii zetu za kiafrika mara nyingi huwa hawaeleweki kutokana na upeo duni wa waafrika wengi. So wanaitaji wanawake wasomi haswa siyo wa kubabaisha.
2. Wanahitaji wanawake wasiopenda bata na mambo ya kipuuzi. Watu kama Taikon wanaitaji wanawake wasiyo na upuuzi upuuzi. Wakati wa utani ni utani wakati wa kazi ni kazi. Wanawake wengi wa uswazi type ya wanaume km taikon atawaua. Hawatowezana.
3. Wanaitaji wanawake wapole but charming too. Watu wa kaliba ya taikon ni wakali kwa asili. Hivyo wanawake wengi wa sasa walio jeuri,wajuaji na viburi hawatowezana kabisa na wanaume wa kariba hii. Wanaitaji wanawake wa kujishusha.
4. Mwanamke anayeolewa na mwanaume wakaliba ya taikoon anatakiwa awe mvumilivu sana, but bright!akiwa lofa lofa atakufa kabla ya wakati wake.
Kwa sifa hizo nne,wanawake wa kaliba ya wanaume km taikon wapo wachache sana TZ na afrika kwa ujumla. Hivyo mara nyingi watu wa kaliba hii hupata shida mno kudumu kwenye mahusiano mapya mara baada ya break up. Hii ni miongoni mwa changamoto kubwa kwa watu wakaliba hii ya taikon.
Wengi slay quens wa insta,watsap,fb,tiktok,twita nk hawawezi kuvumilia vurugu za akina taikon wa fasihi. Wataona wanaonewa,wataona hawajaolewa na romantic men,wataona wanaendeshwa na mfumo dume na kadhalika.
Kama ambavyo masikini ni wengi na matajiri wachache,basi vivyo hivyo wanawake wenye akili ni wachache na malofa niwengi,na ndo hao waloolewa na wanaume wengi.
Mwisho, ukiwa lofa oa lofa mwenzio,ukiwa mjanja oa mjanja mwenzio,ukiwa tajiri oa tajiri mwenzio au uchumi wakati
Matajiri wanapokataa watoto wao kuolewa na malofa haimaanishi wanaweka ubaguzi nooo. Ndivyo inavyotakiwa kuwa.
NB; samahanini ikiwa taikon na wyatt hamjapenda kutumia majina yenu.
Hope nimefikisha ujumbe na niko ready for criticism