Vitalis Msungwite
JF-Expert Member
- May 11, 2014
- 3,269
- 7,773
Ndo uwaambie hao kuwa waache kuzaa wasikuombe tusipangiane. Afrika yenyewe matoto yanakufa kufa tu halafu unataka tuzae wawili baada ya miaka tukose hata wakutusaidia.Wengi tu ndo maana naongea... hamna muda wa kufanya kazi zaidi ya kuzaa.