Akirudi mama kwenye nyumba yetu mama wa Kambo anakuwa hawara.
Hii nayo kali.
Akirudi mama kwenye nyumba yetu mama wa Kambo anakuwa hawara.
JF kuna mbaba amefiwa na mwenzake some 2 years ago..ana watoto wakubwa age between 12-16 (three of them), wanamkataza huyo mbaba asioe...alipojaribu kuwa-introduce hiyo issue watoto hawataki??
mzee yuko between 45-56 years of age. hii imekaaje...vipi watoto siku hizi wana mamlaka..jamaa anampango wa kuwapeleka wote boarding schools wakirudi likizo wanamkuta mama yao mdogo..what do you think???
Mkuu Tumaini,
Uharamia wa .....mama wa kambo (step mothers)