Watoto waliozaliwa tumbo moja kuwa na uadui

Equation x

JF-Expert Member
Sep 3, 2017
29,403
40,320
Watoto waliozaliwa tumbo moja wakiwa wadogo huwa wana mshikamano na wanakuwa na upendo ila sasa wakikua na kila mmoja akawa na mji wake ndipo changamoto zinapoanzia.

Ule upendo wa utotoni upotea na kuanza kuwa maadui. Hii huwa ni kwanini?

Nimejaribu kupitia vitabu mbalimbali ikiwamo na biblia ili niweze kupata jibu sahihi lakini bado kufanikisha. Tatizo huwa ni nini wakuu?
 
Na ni kwanini hii hali inakuwa inatokea?
Wivu:
wivu haswa wa kimaendeleo mmoja akipanda juu..mwingine anaumia,au kuna kuwa na katabaka flani hivi,yule aliyefanikiwa anaweza kubadikika na kuwaendesha wengine(si unajua mambo ya hela

Kila mmoja kutaka kuonekana mwamba:
Nahisi hapa ni Issue nzima ya maamuzi,hata yule mdg hatotaka kujishusha..kibaya zaidi wote wawe pochi nene ndio kabisaaa hamna maelewano.

Kwa mimi nahisi hivyo
 
Wivu:
wivu haswa wa kimaendeleo mmoja akipanda juu..mwingine anaumia,au kuna kuwa na katabaka flani hivi,yule aliyefanikiwa anaweza kubadikika na kuwaendesha wengine(si unajua mambo ya hela

Kila mmoja kutaka kuonekana mwamba:
Nahisi hapa ni Issue nzima ya maamuzi,hata yule mdg hatotaka kujishusha..kibaya zaidi wote wawe pochi nene ndio kabisaaa hamna maelewano.

Kwa mimi nahisi hivyo
Vipi kuhusu malezi kwa wazazi,yanaweza kuchangia?
 
Kwa wanaume kila mmoja akiruhusu mwanamke ajadili Mambo ya familia yao ndio mwisho wao.
Hakuna mwanamke anatetea Mambo ya kwenu.
Kugombana kwenu kutakufanya uegemee kwao na ndio furaha yao.
Mke wangu tunajadiliana Mambo ya familia yetu Mimi na yeye.
Ya nilikotoka anapewa taarifa tu.
Ya kwao hayanihusu ni yake na ndugu zake.
Atanihusisha kama Kuna mchango unahitajika
 
Si kweli mfano sisi kwetu tunapendana Sana Sana na kikawaida inavyotakiwa inatakiwa ndugu wapendane iyo kutokupendana inachangiwa zaidi na malezi jinsi watoto wanavyokua wadogo unakuta wazazi hawahamasishi upendo au wazazi kuleta upendeleo na kubagua watoto
 
Wivu:
wivu haswa wa kimaendeleo mmoja akipanda juu..mwingine anaumia,au kuna kuwa na katabaka flani hivi,yule aliyefanikiwa anaweza kubadikika na kuwaendesha wengine(si unajua mambo ya hela

Kila mmoja kutaka kuonekana mwamba:
Nahisi hapa ni Issue nzima ya maamuzi,hata yule mdg hatotaka kujishusha..kibaya zaidi wote wawe pochi nene ndio kabisaaa hamna maelewano.

Kwa mimi nahisi hivyo

Haya mambo bhana, mm mbona Nina kaka yangu ambae kanizidi maendeleo mara laki 9 ila ananichukia hatari. Cjui kwann mbauba11
 
Si kweli mfano sisi kwetu tunapendana Sana Sana na kikawaida inavyotakiwa inatakiwa ndugu wapendane iyo kutokupendana inachangiwa zaidi na malezi jinsi watoto wanavyokua wadogo unakuta wazazi hawahamasishi upendo au wazazi kuleta upendeleo na kubagua watoto
NI kweli unachokieleza, kwa mfano halisi nyie watoto wote mnafamilia?
 
Mkuu kukosaba kwa ndugu wa tumbo moja kuna sababu nyingi sana. Hizi ni sababu 1wapo ya ndugu hao kukosana
1. Kukosanishwa na wanawake
2. Wivu wa maendeleo
3. Kupenda waganga wa kienyeji
4. Wazazi kuwa na upendeleo wa watoto
5. Mawifi kutaka utawala kwa kaka zao
6. Kutongezeana wake (kwa wanamme) ku-share wanamme (kwa wanawake).
7. Uongo
8. Kupokea maneno ya kuwagombanisha.
NK
Nadhani hapa tunaweza kupata majibu
 
Kwa wanaume kila mmoja akiruhusu mwanamke ajadili Mambo ya familia yao ndio mwisho wao.
Hakuna mwanamke anatetea Mambo ya kwenu.
Kugombana kwenu kutakufanya uegemee kwao na ndio furaha yao.
Mke wangu tunajadiliana Mambo ya familia yetu Mimi na yeye.
Ya nilikotoka anapewa taarifa tu.
Ya kwao hayanihusu ni yake na ndugu zake.
Atanihusisha kama Kuna mchango unahitajika
Na mimi natumia kanuni hiyo hiyo na imenisaidia. Hata hivyo kwetu tumezaliwa wanaume tupu na hamna kufuatiliana kivile kila mtu na maisha yake na hamna kumaindiana
 
Wivu:
wivu haswa wa kimaendeleo mmoja akipanda juu..mwingine anaumia,au kuna kuwa na katabaka flani hivi,yule aliyefanikiwa anaweza kubadikika na kuwaendesha wengine(si unajua mambo ya hela

Kila mmoja kutaka kuonekana mwamba:
Nahisi hapa ni Issue nzima ya maamuzi,hata yule mdg hatotaka kujishusha..kibaya zaidi wote wawe pochi nene ndio kabisaaa hamna maelewano.

Kwa mimi nahisi hivyo
Yes yes
 
Back
Top Bottom