Bongolander
JF-Expert Member
- Jul 10, 2007
- 5,067
- 2,197
So what ????!!!!! crap
It is not crap, it makes a lot of sense to me. Hii inaonesha kuwa tayari tumeanza kufikia mji ambao tulikuwa hatuutaki. Kwamba tuna tabaka la watawala na la watawaliwa. Tuliona kuwa BOT walijazwa watoto wa vigogo hata wasiokuwa na qualification, kwenye chama au kwenye vyama it is repeating itself, tukianza kuingia kwenye majeshi hali itakuwa mbaya zaidi.
Maana yake ni kuwa waliojuu wataendelea kuwa juu na waliochini wataendelea kuwa chini. Tutakuwa Kingdom inayiotwa Republic..