Watuonyeshe matangazo, idadi ya walioomba, panel ya interview na minutes za interview sio hizo longolongo sijui wana qualify haiwezi kuwa bu coincidence hizi surnames Mkapa, Mwinyi, Lowassa, Sumaye et al kuwa katika sehemu moja ya kazi.
Problem kubwa nyingine ni kuwa watuhumiwa wenyewe BOT wameachiwa kazi ya kujichunguza kama kweli walifuata 'all due process and procedures' hiki tu chenyewe ni kichekesho kwetu sisi kwanza kukubali uchunguzi uendeshwe kwa namna hii ulivyofanywa.
Nadhani hapa kama kungekuwa na uhuru wa majukumu na kuwajibika kweli kwa vyombo vyote kwa wananchi kama bunge, mahakama, etc ..... kamati ya bunge ya mashirika umma may be ingekuwa na wajibu mzuri zaidi wa kufanya huu uchunguzi kwa sababu BOT kama mtuhumiwa anayejichunguza ni rahisi zaidi kufunika kombe ili mwanaharamu apite.