Watoto wa vigogo BoT wasafishwa

Watuonyeshe matangazo, idadi ya walioomba, panel ya interview na minutes za interview sio hizo longolongo sijui wana qualify haiwezi kuwa bu coincidence hizi surnames Mkapa, Mwinyi, Lowassa, Sumaye et al kuwa katika sehemu moja ya kazi.

Problem kubwa nyingine ni kuwa watuhumiwa wenyewe BOT wameachiwa kazi ya kujichunguza kama kweli walifuata 'all due process and procedures' hiki tu chenyewe ni kichekesho kwetu sisi kwanza kukubali uchunguzi uendeshwe kwa namna hii ulivyofanywa.

Nadhani hapa kama kungekuwa na uhuru wa majukumu na kuwajibika kweli kwa vyombo vyote kwa wananchi kama bunge, mahakama, etc ..... kamati ya bunge ya mashirika umma may be ingekuwa na wajibu mzuri zaidi wa kufanya huu uchunguzi kwa sababu BOT kama mtuhumiwa anayejichunguza ni rahisi zaidi kufunika kombe ili mwanaharamu apite.
 
Ukweli ni mchungu kwenye hili, hao watoto wa vigogo wana nafasi kubwa ya kusoma vizuri kuliko watoto wa maskini. Kuna uwezekano mkubwa kwamba wana qualifications za kutosha lakini hiyo haiondoi ukweli kwamba huenda waliingia pale kwa migongo ya wazazi wao.

Kuna wananchi chungu nzima wenye qualifications kama za kwao lakini iweje karibu kila kiongozi awe na mtoto wake BOT?

Uchunguzi unakuwa halali kama unajua unachochunguza, kuchunguza qualifications bila kuangalia ni wangapi wengine waliomba na ambao walikuwa na qualifications kama za kwao ni kupoteza muda tu.

Hapo tumefungwa goli lingine na pesa kibao zimetumika.

Nakuunga mkono mkuu, kweli qualifications wanazo maana mmoja wao alikuwa classmate wangu na alikuwa kichwa but swali la muhimu hapa ni je kuajiriwa kwao kulifuata taratibu au ilikuwa kwa style ya VIMEMO?
 
Okay bro, hapa nimekuelewa, kwamba tatizo ni kuna wasi wasi na njia zilizotumika kuwaajiri kama ni za halali, lakini hakuna concrete ushahidi kwamba walaijiriwa kwa ujanja au kwa sababu ya nafasi ya baba zao,

Until hili limechunguzwa na kuwepo kwa ushahidi kwamba kuna kasoro na ajira zao, tuwaache wafanye kazi zao badala ya hizi hukumu, kwa sababu bila ushahidi au dataz inakua ni chuki kwa kikundi flani katika jamii, that is against the law of our land! au?

Mkuu FMES,
Kwa vile BOT sio kampuni binafsi, ushahidi wa jinsi walivyoajiriwa hao vijana ukitakiwa hautachukua zaidi ya hata 2hrs kuupata, kama wanataka. Records za BOT zinatakiwa ziwe na tangazo la kazi, walioomba kazi, waliokuwa-short listed, criteria za kuchagua, scores za hao waliokuwa short-listed na hatimaye waliochaguliwa n.k., n.k.

Hapa nafikiri ndio anapokwepa Gavana maana akienda huko, sio tu kuwa hao vijana watakosa ajira, bali pia wale waliowaajiri nao pia itabidi vibarua viyeyuke. Hapa ndio pagumu na sio huko walikopitia kwenye kuhakiki CVs.
 
Kwahiyo hata EPA sio tatizo la yale makampuni 22, ni tatizo la management ya BOT kwi kwi kwi!!!

Tutafute ushahidi wa ku-back up our suspicions, kama hatuna tukubali yaishe badala ya kutema sumu, EPA iko wazi kwamba ni wizi umefanyika na ushahidi upo,

kwenye hili hatuna ushahidi kama mnao uwekeni hapa tuwashughulikie!
 
Kwa vile BOT sio kampuni binafsi, ushahidi wa jinsi walivyoajiriwa hao vijana ukitakiwa hautachukua zaidi ya hata 2hrs kuupata, kama wanataka. Records za BOT zinatakiwa ziwe na tangazo la kazi, walioomba kazi, waliokuwa-short listed, criteria za kuchagua, scores za hao waliokuwa short-listed na hatimaye waliochaguliwa n.k., n.k.

Hapa nafikiri ndio anapokwepa Gavana maana akienda huko, sio tu kuwa hao vijana watakosa ajira, bali pia wale waliowaajiri nao pia itabidi vibarua viyeyuke. Hapa ndio pagumu na sio huko walikopitia kwenye kuhakiki CVs.

Maneno yako ni mazito sana mkuu na very fair kidogo, lakini bado ni assumptions tu, sio fatcs of the matter!
 
Tutafute ushahidi wa ku-back up our suspicions, kama hatuna tukubali yaishe badala ya kutema sumu, EPA iko wazi kwamba ni wizi umefanyika na ushahidi upo,

kwenye hili hatuna ushahidi kama mnao uwekeni hapa tuwashughulikie!

Mkapa, Mwinyi, Sumaye, Lowassa, Kawawa, Lumbanga, Nchimbi, Mahita, Kigoda, Kamba, Mungai yaani wote hawa wamejikuta BOT kwasababu walikuwa na uwezo mkubwa kuliko wengine?

You must be dreamer kama unaamini hivyo. Si watoe hiyo kazi ya kuchunguza kwa tume huru? Tutapata majibu yake mara moja.
 
Mkapa, Mwinyi, Sumaye, Lowassa, Kawawa, Lumbanga, Nchimbi, Mahita, Kigoda, Kamba, Mungai yaani wote hawa wamejikuta BOT kwasababu walikuwa na uwezo mkubwa kuliko wengine?

You must be dreamer kama unaamini hivyo. Si watoe hiyo kazi ya kuchunguza kwa tume huru? Tutapata majibu yake mara moja.

Mkuu Mtanzania,

Kwa nini unakataa ukweli kwamba huna ushahidi wa faulo katika ajira za hao watoto, eti unashangaa wamejiuktaje huko BOT, mbona hushangai baba zao wamejikutaje kwenye uongozi siasa, kwani wao peke yao ndio wenye sifa za uongozi Tanzania kuliko wananchi wote millioni 40?

Hivi hao watoto wangekua shirika gani kwa standard zako ingekua ni halali, bila hata ushahidi? Kuna ishus zinahitaji concrete facts au dataz hii ni moja wapo, acha ubaguzi bro Tanzania ni taifa la kila mwananchi kufanya kazi popote pale bila kuvunja sheria, kuwa mtoto wa kiongozi sio dhambi as of your thinking,

Lete ushahidi au dataz kuwa waliajiriwa kwa faulo, kama hakuna kubali yaishe mkuu!
 
Mkuu Mtanzania,

Kwa nini unakataa ukweli kwamba huna ushahidi wa faulo katika ajira za hao watoto, eti unashangaa wamejiuktaje huko BOT, mbona hushangai baba zao wamejikutaje kwenye uongozi siasa, kwani wao peke yao ndio wenye sifa za uongozi Tanzania kuliko wananchi wote millioni 40?

Hivi hao watoto wangekua shirika gani kwa standard zako ingekua ni halali, bila hata ushahidi? Kuna ishus zinahitaji concrete facts au dataz hii ni moja wapo, acha ubaguzi bro Tanzania ni taifa la kila mwananchi kufanya kazi popote pale bila kuvunja sheria, kuwa mtoto wa kiongozi sio dhambi as of your thinking,

Lete ushahidi au dataz kuwa waliajiriwa kwa faulo, kama hakuna kubali yaishe mkuu!

Hivi bila wale makaburu kutuchunguzia tungepata wapi ushahidi kuhusu EPA? Kama wangelikuwa wanataka ukweli wasingeruhusu BOT eti ijichunguze yenyewe kwenye hili la ajira.

Itakuwa coincedence ya ajabu kweli hao watoto wa vigogo wote kujikuta kwenye shirika moja. Kwanini scenario kama hiyo hatuioni kwenye mashirika mengine binafsi ambayo yana mvuto karibu sawa na BOT?

Binafsi sina kinyongo na mtu yeyote kufanya kazi mahali popote anapotaka ili mradi kama kafauta taratibu halali.

Tunachopinga wengine ni huu udanganyifu wa kwamba eti wote waliajiriwa hapo kwasababu ya uwezo wao au qualifications zao.

Hata wanaoajiriwa kwa vimemo bado wana qualifications zao, kilichotakiwa kuchunguzwa ni transparency kwenye hizo ajira zote kati ya 2000 na 2007.
 
...Tunachopinga wengine ni huu udanganyifu wa kwamba eti wote waliajiriwa hapo kwasababu ya uwezo wao au qualifications zao.

Hata wanaoajiriwa kwa vimemo bado wana qualifications zao, kilichotakiwa kuchunguzwa ni transparency kwenye hizo ajira zote kati ya 2000 na 2007.

Mtanzania,

Nadhani uko right 100%. Absolutely on point.

The thing is, though, other than "kilichotakiwa kuchunguzwa" mimi ningependa kujua BOT walipoamua kuchunguza, whatever they were chunguzaring, walikuwa wana respond to what demands ? Nini kililalamikiwa ? Nani aliwaambia wachunguze, na wachunguze nini ?

Inawezekana, Mtanzania, watu walipiga makelele "BOT kuna watoto wa vigogo hawana vyeti...BOT kuna watoto wa vigogo hawana vyeti." Ndullu akasema, oh yeah ? Nitawaonyesha vyeti vyao. I mean, what did you want him to do, aibue ma issue ambayo hayakulalamika (kutotangaza nafasi za kazi ) wakati watu wamelalamika mengine (watoto wa vigogo hawana vyeti) ?

Nini hasa kililalamikiwa, na BOT walikuwa wana respond to what kind pressure ?

Haiwezi kuwa media pressure, kwa sababu hakuna press Tanzania.

Unabisha hakuna press ? Nionyeshe popote kwenye chombo cha habari Tanzania siku hizi tatu nne toka ripoti ya Ndullu itoke mahala ambapo press imeandika vitu ulivyovisema Mtanzania - kwamba walichotakiwa kuchunguza sicho walichochunguza. Nionyeshe.
 
Tunachopinga wengine ni huu udanganyifu wa kwamba eti wote waliajiriwa hapo kwasababu ya uwezo wao au qualifications zao.

Hata wanaoajiriwa kwa vimemo bado wana qualifications zao, kilichotakiwa kuchunguzwa ni transparency kwenye hizo ajira zote kati ya 2000 na 2007.

Mkuu Mtanzania,

Hapa ninashindwa kuamini, kwamba wewe bingwa wa kudai ukweli hapa uko radhi kushusha standards zako na kuhukumu watoto wa viongozi bila facts,

Ndulu aliombwa kuchunguza nini? Na aliombwa na nani? Kushindwa kwa Ndulu kufanya uchugnuzi unaoutaka sio kosa la hao vijana, huwezi kua right 100% wakati huna ukweli wa tofauti na uchunguzi wa Ndulu, Unasemaje unapinga udanganyifu wakati huna facts za ku-prove point yako bro?

Watoto wa vigogo wapo foreign pia, wapo kwenye mashirika mengi mapya ya private, ni haki yao kufanya kazi kisheria kama ilivyo yako na yangu, lakini huwezi kulazimisha guil;t on thier part kwa kuajiriwa BOT, unless unao ushahidi wa kutosha wkamba walipoajiriwa kulikuwa na kukiukwa kwa sheria za kazi huko bila huo uthibitisho mkuu ninaona ni wivu na chuki against wananchi wenzetu wka sababu ni watoto wa viongozi!
 
Akizungumzia mchakato huo ambao alisema uliendeshwa kwa uwazi na umakini, Profesa Ndulu alisema katika uchunguzi huo watoto wanane kati ya 18 ambao walikuwa wanafanya kazi za kitaaluma wote walikuwa na sifa.

Kwa mujibu wa Profesa Ndulu, jambo la msingi lililotumika katika uchunguzi huo ni vigezo vya ajira kwa kuanzia mwaka 2000/01 hadi 2006/07.

Akifafanua hilo, Profesa Ndulu alisema kabla ya mwaka 2005, kulikuwa na vigezo tofauti na baada ya mwaka huo, walioajiriwa baadaye 2006/07, walipaswa kuwa na vigezo vipya tofauti na vile vya mwaka 2000 hadi 2005.

Profesa Ndulu alisema kabla ya mwaka 2005, kazi za kitaaluma kigezo kikuu kilikuwa ni shahada ya kwanza, lakini baada ya mwaka huo kigezo kikawa ni shahada ya uzamili (MA).

"Kwa hiyo, watoto hao wanane mnaoita wa vigogo wote walikuwa na basic entries (sifa za kujiunga), waliajiriwa kwa vigezo stahili, ambavyo kipindi hicho ilikuwa ni shahada ya kwanza, lakini pia waliendelea kusoma na kuweza kufikia shahada ya uzamili ambayo ni kigezo cha baada ya mwaka 2005," alifafanua Profesa Ndulu.

Alisema vijana hao ambao wanafanya kazi nzuri, waliingia na sifa stahili na bado wamekuwa wakijiendeleza kwa kusoma zaidi.

"Tena ni vijana wachapakazi tu, wamesoma vizuri, wanafanya kazi vizuri na tayari tumewapa barua za kuwataarifu kwamba wana sifa stahili," alisisitiza Profesa Ndulu.

Profesa Ndulu alisema watoto wengine kumi ambao hawakuwa wakifanya kazi za kitaaluma, nao waliingia wakiwa na sifa.

Kwa mujibu wa Profesa Ndulu, watoto hao walikuwa na kazi ambazo ni pamoja kuhesabu fedha.

Akizungumzia sifa zao za kujiunga, alisema kwa kazi ambazo si za kitaaluma, kigezo kikubwa kilikuwa ni kidato cha nne na kujua hesabu na Kiingereza.

"Hawa nao 10, wote walikuwa na sifa hizo, wanafanya kazi zao kwa mujibu wa taratibu na hakuna namna yoyote ya kughushi ambayo walifanya," alifafanua Profesa Ndulu, gavana ambaye amekuwa akiisafisha BoT.

Alisema uchunguzi huo uliangalia watumishi 50 wakiwemo hao 18 watoto wa vigogo na kuongeza kwamba, wengine pia walibainika na sifa huku wale ambao walikiuka walichukuliwa hatua.
 
Mkuu Mtanzania,

Kwa nini unakataa ukweli kwamba huna ushahidi wa faulo katika ajira za hao watoto, eti unashangaa wamejiuktaje huko BOT, mbona hushangai baba zao wamejikutaje kwenye uongozi siasa, kwani wao peke yao ndio wenye sifa za uongozi Tanzania kuliko wananchi wote millioni 40?
Hivi hao watoto wangekua shirika gani kwa standard zako ingekua ni halali, bila hata ushahidi? Kuna ishus zinahitaji concrete facts au dataz hii ni moja wapo, acha ubaguzi bro Tanzania ni taifa la kila mwananchi kufanya kazi popote pale bila kuvunja sheria, kuwa mtoto wa kiongozi sio dhambi as of your thinking,

Lete ushahidi au dataz kuwa waliajiriwa kwa faulo, kama hakuna kubali yaishe mkuu!

Kwani baba zao walikuwa vigogo kabla ya wao wote kuwa vingozi wa kisiasa kati ya wananchi milioni 40??????
 
Kwani baba zao walikuwa vigogo kabla ya wao wote kuwa vingozi wa kisiasa kati ya wananchi milioni 40??????

Sasa walifikaje huko juu? Lete ushahidi mkuu kama hakuna acheni vijana walitumike taifa siasa za chuki ndani ya jamii hazina nafasi tena.
 
Mkuu Mtanzania,

Hapa ninashindwa kuamini, kwamba wewe bingwa wa kudai ukweli hapa uko radhi kushusha standards zako na kuhukumu watoto wa viongozi bila facts,

Ndulu aliombwa kuchunguza nini? Na aliombwa na nani? Kushindwa kwa Ndulu kufanya uchugnuzi unaoutaka sio kosa la hao vijana, huwezi kua right 100% wakati huna ukweli wa tofauti na uchunguzi wa Ndulu, Unasemaje unapinga udanganyifu wakati huna facts za ku-prove point yako bro?

Watoto wa vigogo wapo foreign pia, wapo kwenye mashirika mengi mapya ya private, ni haki yao kufanya kazi kisheria kama ilivyo yako na yangu, lakini huwezi kulazimisha guil;t on thier part kwa kuajiriwa BOT, unless unao ushahidi wa kutosha wkamba walipoajiriwa kulikuwa na kukiukwa kwa sheria za kazi huko bila huo uthibitisho mkuu ninaona ni wivu na chuki against wananchi wenzetu wka sababu ni watoto wa viongozi!

Mkuu FMES,

Hapo ndipo unapokosea, wapi mimi nimewalaumu hao vijana moja kwa moja? Mimi napinga uchunguzi uliofanya na BOT kwamba ulikuwa ni udanganyifu.

Kwenye research kuna kitu kinaitwa garbage in garbage out. Ukiingiza data fake unapata report fake. Sasa kama waliamua kuchunguza basi wangechunguza process nzima ya hao vijana kuajiriwa na sio qualifications tu.

Pia scenario tunayoiona BOT haiko foreign affairs tofauti na unavyodai. Foreign kuna weza kuwa na watoto wanne au watano wa vigogo lakini sio kama hiyo BOT. Kama una data tofauti mwaga hapa.

Ni private company gani ambayo imejaza hao watoto wa vigogo kama BOT? Kama una data telemsha hapa mkuu. Tuna data za BOT, kama una data zingine zinazofanana na hizo basi JF ndio mahali pake.

Mkuu lazima ujue uongozi ulioajiri hao vijana ndio huo huo uliokuwa unachota mabilioni ya Watanzania kwa kufuata vimemo vya wakubwa. Unataka kutuambia kwenye ajira hawakupata vimemo kama hivyo?

Mimi ni mtetezi wa haki na utawala bora, lakini hapa kuna malalamiko ya upendeleo. Utawala bora unataka uchunguzi kama huo ufanywe na chombo ambacho hakihusiki na hayo madai. Hapo BOT tunaona wanajichunguza wenyewe. Hao hao BOT si ndio walisema hakuna wizi wa pesa mpaka makaburu walipowaumbua?

Nitakuwa wa mwisho kuiamini report ya BOT. Kama mchangiaji mmoja alivyosema, suala sio hao vijana tu, suala ni pamoja na kazi zao, maana ikionekana vimemo vilitumika itabidi baadhi ya watu wapoteze kazi.

Namheshimu prof. Ndulu lakini kwenye hili ni kama Watanzania wengine ambao kazi yetu ni kushindwa kuchukua hatua madhubuti na kuanza kupiga blah blah kama za JK. Hata hao vigogo wa BOT waliofukuzwa kazi ni kwasababu tu ya Makaburu na pia E&Y, vinginevyo uchunguzi wa BOT ungeonya hakukuwa na makosa.

Watu dunia hii hawaajiriwi kwa basic entries, hizo basic entries zinakusaidia tu kukufikisha kwenye interviews za maana. Sawa walikuwa na basic entries, je baada ya hapo? Ina maana wote waliokuwa na basic entries waliajiriwa BOT?

Wamepoteza muda na mamilioni ya pesa za Watanzania kuchunguza kitu ambacho ni obvious.

Kwenye hii taarifa prof. Ndullu anaongelea vijana 18 wakati ukweli ni vijana 26 kwasababu wanane walishachukuliwa hatua. Hivyo namba sahihi ya watoto wa vigogo ilikuwa at least 26 na sio 18.
 
Sifa mama iliyotumika kuwaajiri vijana hawa wa "vingunge" ni wazazi/walezi wao. Sifa hizi nyingine WATANZANIA wengi tu wanazo na hata zaidi ya hizo. Hali ikoje kwenye ajira zingine nyeti kama UwT, Police, TPDF?
Ninachofahamu ni kuwa kaugonjwa hako ka BOT kapo hata huko kungine pengine kinachosaidia ni idadi ya wanaoajiriwa huko na maslahi.
 
Kwenye research kuna kitu kinaitwa garbage in garbage out. Ukiingiza data fake unapata report fake. Sasa kama waliamua kuchunguza basi wangechunguza process nzima ya hao vijana kuajiriwa na sio qualifications tu.

.
True

Watu dunia hii hawaajiriwi kwa basic entries, hizo basic entries zinakusaidia tu kukufikisha kwenye interviews za maana. Sawa walikuwa na basic entries, je baada ya hapo? Ina maana wote waliokuwa na basic entries waliajiriwa BOT?
.
wengi watakuwa wameajiriwa kwa basic entries ammbao si watoto wa kigogo wala nini. tatizo ni kuwa hatutaki kuface reality that anyone can be employed at BOT if that person has the required qualifications. na ktk kipindi cha 2000-2007 wameajiriwa wengi sana ukiachia hao wachache mnaowalalamikia. na je overall hao ni perecntage ngapi ya wafanyakazi wote wa BOT? kwani wao wana hitilafu gani wasiajiriwe hapo????

Kwenye hii taarifa prof. Ndullu anaongelea vijana 18 wakati ukweli ni vijana 26 kwasababu wanane walishachukuliwa hatua. Hivyo namba sahihi ya watoto wa vigogo ilikuwa at least 26 na sio 18.

taja hayo majina 28... still u r twisting the facts
gday
 
Hapo ndipo unapokosea, wapi mimi nimewalaumu hao vijana moja kwa moja? Mimi napinga uchunguzi uliofanya na BOT kwamba ulikuwa ni udanganyifu.

Mkuu unalaumu uchunguzi ambao huna ukweli wake? How? Wewe mwenyewe siku zote ndiye bingwa wa ukweli unataka ukweli, sasa hapa unalaumu vipi na huku huna ukweli?

So far unarusha assumptions zako ambazo ni logic tupu zisizo na ukweli, lakini unalzimisha kuwa ni ukweli, WHY? Ndulu amefanya uchunguzi sasa na wewe tuletee uchunguzi wako na ukweli ulioupata, waache vijana wafanye kazi bro hizi chuki na wivu wa binafsi hauwezi kutusaidia wa-Tanzania,

Ninarudia tena hizi zako naziona kama ni chuki za binafsi against watoto wa viongozi na that is wrong, na wao ni binadamu kama wewe na wana haki zote ndani ya tiafa letu kama wewe, please kama huna ushahidi huna sababu ya kumshambulia mtu yoyote! Kuazliwa mtoto wa kiongozi sio dhambi au death sentence! Ahsante za kupewa na mtu mmoja sio validility ya kuwa na hoja, lete ushahidi kua Ndulu amedanganya kama huna kubali yaishe
 
Mkuu unalaumu uchunguzi ambao huna ukweli wake? How? Wewe mwenyewe siku zote ndiye bingwa wa ukweli unataka ukweli, sasa hapa unalaumu vipi na huku huna ukweli?

So far unarusha assumptions zako ambazo ni logic tupu zisizo na ukweli, lakini unalzimisha kuwa ni ukweli, WHY? Ndulu amefanya uchunguzi sasa na wewe tuletee uchunguzi wako na ukweli ulioupata, waache vijana wafanye kazi bro hizi chuki na wivu wa binafsi hauwezi kutusaidia wa-Tanzania,

Ninarudia tena hizi zako naziona kama ni chuki za binafsi against watoto wa viongozi na that is wrong, na wao ni binadamu kama wewe na wana haki zote ndani ya tiafa letu kama wewe, please kama huna ushahidi huna sababu ya kumshambulia mtu yoyote! Kuazliwa mtoto wa kiongozi sio dhambi au death sentence! Ahsante za kupewa na mtu mmoja sio validility ya kuwa na hoja, lete ushahidi kua Ndulu amedanganya kama huna kubali yaishe

Chuki binafsi? Why bother kuwa na chuki binafsi wakati hata nikitaka ajira hapo BOT nitapata tu kwa kutumia qualifications zangu?

Hivi mtu unaweza kuwa na chuki binafsi kwa watu ambao hata huwajui zaidi ya majina yao?

Any way tumesikia maneno kama hayo mara nyingi mno, kuondoa hoja iliyopo kwa na kuanza ku attack messenger. Sasa ghafla nimekuwa na chuki binafsi? Hii ndio state ya mijadala ya JF, big shame!

Hoja hapa ni BOT na watoto wa Vigogo, hoja sio mimi wala sio FMES, ukielewa hili utaweza kupambana kwa hoja vinginevyo kuniita nina chuki binafsi haiisaidii kitu kwenye mjadala huu wala haiwezi kuninyima usingizi.
 
Back
Top Bottom