Donatila
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 8,247
- 25,188
Habari wakuu,
Niende moja kwa moja kwenye mada tajwa hapo juu...
Jamani ukweli acheni na usemwe, kama Kuna watoto ambao hawana maadili huko mtaani basi kabisa ijulikane ni watoto ambao wamelelewa na single mama...
Nasemaje hili kundi la wanawake ambao wamezaa tu bila kuwa na wanaume hao linaharibu jamii.
Sitakaa kimya, maana mnayaona yanayojiri kwenye nyumba za hawa single mama...
Mama anabwana anaingia ndani kwake na mtoto yupo hapo Wala hajali wanafanya yao...
Wanakuwa na upendo uliopitiliza kwa watoto na kuwadekeza kama mayai hawawachapi watoto...
Wanawafanya waone kuwa kipigo fimbo ni kunyanyaswa..
Watoto hawajui wakae na nani wakiume kutwa kukaa na wanawake sababu wanakaa na mama zao muda wote na ushoga nao unaanzia hapo..
Wakike nao wanaona Haina faida ya kuolewa nao wanataka kuwa kama mama zao...
Watoto wanaongeleshwa mambo ya kikubwa na mama zao chuki wanajazwa tokea wakiwa wadogo...kuwa baba yako ni mbaya aliniacha, mama zao wanaongea nao changamoto zao ambazo zinawakuza ilihali ni wadogo...
Kifupi watoto hawasikii huko mtaani watoto walio na tabia mbaya ni wa single mama...
Bado malezi ya baba na mama yanahitajika katika kutengeneza kizazi kijacho...
Niende moja kwa moja kwenye mada tajwa hapo juu...
Jamani ukweli acheni na usemwe, kama Kuna watoto ambao hawana maadili huko mtaani basi kabisa ijulikane ni watoto ambao wamelelewa na single mama...
Nasemaje hili kundi la wanawake ambao wamezaa tu bila kuwa na wanaume hao linaharibu jamii.
Sitakaa kimya, maana mnayaona yanayojiri kwenye nyumba za hawa single mama...
Mama anabwana anaingia ndani kwake na mtoto yupo hapo Wala hajali wanafanya yao...
Wanakuwa na upendo uliopitiliza kwa watoto na kuwadekeza kama mayai hawawachapi watoto...
Wanawafanya waone kuwa kipigo fimbo ni kunyanyaswa..
Watoto hawajui wakae na nani wakiume kutwa kukaa na wanawake sababu wanakaa na mama zao muda wote na ushoga nao unaanzia hapo..
Wakike nao wanaona Haina faida ya kuolewa nao wanataka kuwa kama mama zao...
Watoto wanaongeleshwa mambo ya kikubwa na mama zao chuki wanajazwa tokea wakiwa wadogo...kuwa baba yako ni mbaya aliniacha, mama zao wanaongea nao changamoto zao ambazo zinawakuza ilihali ni wadogo...
Kifupi watoto hawasikii huko mtaani watoto walio na tabia mbaya ni wa single mama...
Bado malezi ya baba na mama yanahitajika katika kutengeneza kizazi kijacho...