mkush
JF-Expert Member
- Aug 19, 2011
- 214
- 163
Daahh siku nyingi sana, nakumbuka ndude (Kisoda) yangu nilikuwa naiita Kiswele, wengine utasikia igesa line, wengine tawaqali mara matema
Daaa mzee utakuwa ulikulia mby km sikosei..haaa haaa enzi hizo kiswele sijui mgangaluma zinatamba sn kwenye sekta ya usafiri