Watoto wa siku hizi hawajui michezo hii

Watoto wa siku hizi hawajui michezo hii

Daahh siku nyingi sana, nakumbuka ndude (Kisoda) yangu nilikuwa naiita Kiswele, wengine utasikia igesa line, wengine tawaqali mara matema

Daaa mzee utakuwa ulikulia mby km sikosei..haaa haaa enzi hizo kiswele sijui mgangaluma zinatamba sn kwenye sekta ya usafiri
 
Back
Top Bottom