Daahh siku nyingi sana, nakumbuka ndude (Kisoda) yangu nilikuwa naiita Kiswele, wengine utasikia igesa line, wengine tawaqali mara matema
heee,kumbe na huko umasaini kulikuaga na soda??huu mchezo ulinifanya nipigwe sana baada ya kumkata mdogo wangu kifuani tokea kipindi hicho siupend kwa kwel
View attachment 254425
Nimecheza sana huu mchezo hadi kushindanisha wawili wawili mnapigana mpaka mmoja kamba ikatike.
Watoto wa siku hizi hawajui hata kuwinda ndege na kuvua samaki.Michezo ya kibaba baba na mama mama wanacheza na house girls na shamba boys.
View attachment 254425
Nimecheza sana huu mchezo hadi kushindanisha wawili wawili mnapigana mpaka mmoja kamba ikatike.
Watoto wa siku hizi hawajui hata kuwinda ndege na kuvua samaki.Michezo ya kibaba baba na mama mama wanacheza na house girls na shamba boys.
I miss those days pia mkuu.............nimezaliwa Iringa na kukulia hapo MkuuMbona unataja mitengu (Mabasi) ya njia ya safari za kusini mkuu? aaah hayo majina unanikumbusha mbali, kulikua na Ilanga moto, Ruvuma line, Twiga, Tawaqal, Kiswele (hii ilikua na injini nyuma) achana nayo kabisa.... I miss those days wakati nasoma mkuu.
Kwa kweli mkuu naunga "MKONYO" hoja...
Ni Kweli Mkuu, nimezaliwa Iringa nimekulia hapo, darasa la 5 tukahamia Mbeya tulikuwa tunakaa Forest ya zamani opposite na Makubi Tution, karibu na Mahakama Kuu kwa chini kuna kanisa la lutheranLazima uliishi mbeya wewe.
Huu mchezo ulinifanya nipigwe sana baada ya kumkata mdogo wangu kifuani tokea kipindi hicho siupend kwa kwel
Daaah Ni kweli Mkuu..........i miss those days, haya mabasi tlikuwa tunayaonea pale Ipogoro, Iringa Tumeishi Iringa na Mbeya sanahii itakuwa njia ya mbeya kama si songea!!
Dah! shukrani sana kaka, nilisoma Ifunda Technical, sasa pale kibaoni kuna kipindi mnaenda kuangalia mabasi (Mitengu) tu ilikua burudani kweli ila ole wako usiwe na nauli......hii ilikua inaitwa kulazwa!I miss those days pia mkuu.............nimezaliwa Iringa na kukulia hapo Mkuu
hahaha back in days LOL
niliwahi kuibiwa usafiri wangu wa namna hii...niliuacha nje jamaa akaja na ufunguo wake akasepa!
Kusukuma matairi ya gari au ring za tairi za baskeli mtaani.