Tuna vikwazo vya kutotumia akili zetu ipasavyo.Tanzania mna vikwazo gani? Mbona watoto wa Tukuyu wanachezea Midoli ya Udongo au vikwazo vyetu vipo kwenye Midoli?
Tuna vikwazo vya kutotumia akili zetu ipasavyo.
Vikwazo vya kifikra.
Nani katuwekea hivyo vikwazo vya kutotumia akili zetu vyema?Tuna vikwazo vya kutotumia akili zetu ipasavyo.
Vikwazo vya kifikra.
Kwahiyo wanachokosa ni Midoli tu?Tanzania huwezi fananisha na NK mkuu.wale wako advance zaidi sema vikwazo ndio vimewafanya hivyo!
Self imposed sanctionsNani katuwekea hivyo vikwazo vya kutotumia akili zetu vyema?
Ubaya wa hvi vikwazo tumejiwekea wenyewe.Ni kweli mkuu vikwazo vya kifikra hata Jiwe anaogopa kwenda ng'ambo akiwa na hisia hizohizo za vikwazo!
Ila sio wote wenye vikwazo kwenye ufahamu wao hapa Tanzania.Self imposed sanctions
YepIla sio wote wenye vikwazo kwenye ufahamu wao hapa Tanzania.