Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,286
- 10,831
Watoto wa miaka ya 2000 watadhani umaskini ulifanya nivae yale "matambala" yanayotumika kwenye mashine za kusaga na kukoboa wakati watu wazima waliponiona na suruali hiyo waliwaambia madogo niliowaacha shule ya msingi wakomae ili wafaulu na kuja kuvaa vizuri kama mimi.
Hapo nimeenda skuli kwa ajili ya mahafali yetu ya kidato cha nne saa mbili nikijua nimechelewa nikakuta ndiyo kwanza madogo wanafanya usafi, nikaona nirudi zangu home kunywa chai.
Ningeitunza hii suruali mpaka leo nina UHAKIKA ingekuwa kubwa tu kwangu.
Ukisoma kitabu cha Luah sura ya tatu mstari wa saba, imeandikwa, "enyi KIZAZI cha modo, heshimuni komenti zenu kwenye picha hii kwa maana mkienenda kinyume, hasira za wavaa bwanga hazitawaacha salama."
Hapo nimeenda skuli kwa ajili ya mahafali yetu ya kidato cha nne saa mbili nikijua nimechelewa nikakuta ndiyo kwanza madogo wanafanya usafi, nikaona nirudi zangu home kunywa chai.
Ningeitunza hii suruali mpaka leo nina UHAKIKA ingekuwa kubwa tu kwangu.
Ukisoma kitabu cha Luah sura ya tatu mstari wa saba, imeandikwa, "enyi KIZAZI cha modo, heshimuni komenti zenu kwenye picha hii kwa maana mkienenda kinyume, hasira za wavaa bwanga hazitawaacha salama."