Watoto wa miaka ya 2000 hamtaelewa

Watoto wa miaka ya 2000 hamtaelewa

😅😅😅Halafu ukute la style jeans ...Mimi suruali alikuwa sipendi tangu mdogo ni mwendo wa kadeti za kombati na jeans
 
Lux ya hiyo suruali unaweza mtu ukatoa tai popo kabisa 😂😂
 
siku izi ni mwendo wa Gucci, Nike, puma na viatu flani hivi naona vijana wanavaa vikubwa kuliko miili yao 😅
Weeeee usntanie, skuizi namodoa nakula vuchupa plas staravo, sckachers, nike, all-star....🤣
Hadi waifu ananiambia eti najitotosha...😜
 
Weeeee usntanie, skuizi namodoa nakula vuvupa plas staravo, sckachers, nike, all-star....🤣
Hadi waifu ananiambia eti najitotosha...😜
🤣🤣 ujana una raha na tabu zake. Naona unaufukuzilia mbali uzee
 
Umenikumbusha miaka ile nilikuwa na masuruali yangu mawili yale nikiyakumbukaga nacheka mwenyewe yani suruali nilivyokuwa nafua kulianika linachukua nafasi ya masuruali matatu ya sasa 😀😀😀😀
 
Watoto wa miaka ya 2000 watadhani umaskini ulifanya nivae yale "matambala" yanayotumika kwenye mashine za kusaga na kukoboa wakati watu wazima waliponiona na suruali hiyo waliwaambia madogo niliowaacha shule ya msingi wakomae ili wafaulu na kuja kuvaa vizuri kama mimi.

Hapo nimeenda skuli kwa ajili ya mahafali yetu ya kidato cha nne saa mbili nikijua nimechelewa nikakuta ndiyo kwanza madogo wanafanya usafi, nikaona nirudi zangu home kunywa chai.

Ningeitunza hii suruali mpaka leo nina UHAKIKA ingekuwa kubwa tu kwangu.
Ukisoma kitabu cha Luah sura ya tatu mstari wa saba, imeandikwa, "enyi KIZAZI cha modo, heshimuni komenti zenu kwenye picha hii kwa maana mkienenda kinyume, hasira za wavaa bwanga hazitawaacha salama."
View attachment 2697644
Kitambaa kisibaki
 
Back
Top Bottom