Sir robby
JF-Expert Member
- Jun 22, 2022
- 2,400
- 4,074
Nimejaribu kufanya utafiti mdogo juu ya hili jambo na kubaini kuwa watoto wengi wa masikini muda mwingi wapo vijiweni wanabishania mambo ya ovyo kabisa.
Mambo wanayobishania ni pamoja na;
1. Mpira - Simba vs Yanga, Manchester United Liverpool Chelsea Arsenal Real Madrid n.k.
2. Muziki - Diamond vs Harmonize, Ally Kiba, Zuchu vs Nandi n.k.
3. Mapenzi
Wakati watoto wa masikini wanapoteza muda wao kwa kubishania ujinga na upumbavu huo, watoto wa matajiri, wanasiasa na wafanyabiashara wapo kama sio kwenye ajira tena za Serikalini au Mashirika walizotafutiwa na baba na mama zao basi watakuwa wamejiajiri kwa kufanya shughuli zao zenye mitaji mikubwa na kuendelea kula maisha.
Nawakumbusha watoto wa masikini kuwa umasikini ni laana, wakifanya mzaha wa kupoteza muda kwa kujadili hayo mambo ya ovyo hiyo laana itaambaa mpaka kwa uzao wao.
Mambo wanayobishania ni pamoja na;
1. Mpira - Simba vs Yanga, Manchester United Liverpool Chelsea Arsenal Real Madrid n.k.
2. Muziki - Diamond vs Harmonize, Ally Kiba, Zuchu vs Nandi n.k.
3. Mapenzi
Wakati watoto wa masikini wanapoteza muda wao kwa kubishania ujinga na upumbavu huo, watoto wa matajiri, wanasiasa na wafanyabiashara wapo kama sio kwenye ajira tena za Serikalini au Mashirika walizotafutiwa na baba na mama zao basi watakuwa wamejiajiri kwa kufanya shughuli zao zenye mitaji mikubwa na kuendelea kula maisha.
Nawakumbusha watoto wa masikini kuwa umasikini ni laana, wakifanya mzaha wa kupoteza muda kwa kujadili hayo mambo ya ovyo hiyo laana itaambaa mpaka kwa uzao wao.