TUNTEMEKE
JF-Expert Member
- Jun 15, 2009
- 4,587
- 579
Kuhusu maandamano ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Malisa alisema UVCCM imebaini kuwa ni hila na njama zilizopangwa dhidi ya serikali yao.
Baraza Kuu linawataka vijana wote wa CCM na Watanzania kwa ujumla kukiogopa Chadema, baraza limewataka wanachama wote wa UVCCM kuwa tayari katika kukabiliana na njama hizo, alisema.
Alisema wao hawabanwi kusubiri hatua za serikali wana wajibu kama vijana wa CCM na wapenda amani.
Njia gani tutafanya na tutatumia mbinu gani, ni wakati huo tutakapoona unafaa tutafanya, alisema.
Alipotakiwa kufafanua kuhusiana na mikakati waliyoiweka kukabiliana na chama hicho, Shigela alisema mikakati siku zote katika vita haitangazwi.
Sisi ni chama cha muda mrefu, kina uzoefu ni chama kinachopenda amani na mshikamano. Tutahakikisha hatuvunji sheria," alisema na kuongeza:
Sisi ni chama kinachopenda amani, umoja, mshikamano tutawashughulikia kuhakikisha kuwa tutakuwa na amani, mshikamano umoja kwa hiyo namna ya kushughulika na Chadema na fujo wanayoifanya ni kwa namna tutakavyohakikisha kuwa tunakuwa na amani.
CHANZO: NIPASHE
LABDA WAWAKUSANYE WEZI WOTE WAKIANZA NA RA , RIDHIWANI KIKWETE PAMOJA NA MAFISADI WENGINE , MAANA WANADHANI WANAVYOIBA SASA HIVI NA DHAHABU BUKOMBE, RIDHIWANI ANAENDA KUCHUKUA DHAHABU MARA MOJA KWA WIKI KWENYE MGODI BUBU WA TANCAN KULE KIGOSI
Baraza Kuu linawataka vijana wote wa CCM na Watanzania kwa ujumla kukiogopa Chadema, baraza limewataka wanachama wote wa UVCCM kuwa tayari katika kukabiliana na njama hizo, alisema.
Alisema wao hawabanwi kusubiri hatua za serikali wana wajibu kama vijana wa CCM na wapenda amani.
Njia gani tutafanya na tutatumia mbinu gani, ni wakati huo tutakapoona unafaa tutafanya, alisema.
Alipotakiwa kufafanua kuhusiana na mikakati waliyoiweka kukabiliana na chama hicho, Shigela alisema mikakati siku zote katika vita haitangazwi.
Sisi ni chama cha muda mrefu, kina uzoefu ni chama kinachopenda amani na mshikamano. Tutahakikisha hatuvunji sheria," alisema na kuongeza:
Sisi ni chama kinachopenda amani, umoja, mshikamano tutawashughulikia kuhakikisha kuwa tutakuwa na amani, mshikamano umoja kwa hiyo namna ya kushughulika na Chadema na fujo wanayoifanya ni kwa namna tutakavyohakikisha kuwa tunakuwa na amani.
CHANZO: NIPASHE
LABDA WAWAKUSANYE WEZI WOTE WAKIANZA NA RA , RIDHIWANI KIKWETE PAMOJA NA MAFISADI WENGINE , MAANA WANADHANI WANAVYOIBA SASA HIVI NA DHAHABU BUKOMBE, RIDHIWANI ANAENDA KUCHUKUA DHAHABU MARA MOJA KWA WIKI KWENYE MGODI BUBU WA TANCAN KULE KIGOSI