6321
JF-Expert Member
- Oct 16, 2016
- 649
- 1,116
Leo nimeshangaa sana baada ya kupitia report na data za DHS 2015/16. Yaani vijijini mabinti wanaongoza kwa kuanza kufanya mapenzi wakiwa watoto chini ya miaka 10, ni tofauti na mjini tunapodhani ndio pabaya kuliko basi kwa uhalisia vijijini mmenishangaza.