Watoto wa Kifipa

Watoto wa Kifipa

jina lako zuri, halijakaa kifipa kabisa

mimi pia ni binti la kifipa tuko poa tu hamna ndumba wala nini hayo mambo ya uchaw yapo kila mahali mi naona tu hilo jina la sumbawanga lawatisheni!!
 
posuma??ulya kapoli??

Mmmmhhhh, makubwa!! Mwaka umeuanza vibabaya. Ni posuta siyo posuma!!! Rudi kwa huyo mwalimu wako wa kifipa usubiri graduation ndipo usalimie, usidandie lugha za watu waweza leta maana tofauti ikawa kizazaa.
 
mimi pia ni binti la kifipa tuko poa tu hamna ndumba wala nini hayo mambo ya uchaw yapo kila mahali mi naona tu hilo jina la sumbawanga lawatisheni!!
Mashalaah.....!!
 
Mmmmhhhh, makubwa!! Mwaka umeuanza vibabaya. Ni posuta siyo posuma!!! Rudi kwa huyo mwalimu wako wa kifipa usubiri graduation ndipo usalimie, usidandie lugha za watu waweza leta maana tofauti ikawa kizazaa.

kalesa...
 
Wanapenda sana mambo ya kishirikina. Ukimuoa mwanamke wa kifipa basi ujiandae kuwekwa kwenye chupa na kama ikitokea siku unatafuta soksi zako kabatini ukajiona ukiwa kwenye chupa unakuwa bubu tokea siku hiyo.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

Acha uongo ww,umeona wapi.Au sinema za kinaijeria!?
 
Acha uongo ww,umeona wapi.Au sinema za kinaijeria!?

LOL! Muda wote umejificha nyuma ya keyboard utayajulia wapi haya? Tembea uone.

Yalinikuta ila kwavile na mimi alinikuta nipo ngangari nikapatwa na kigugumizi tu. Hadi leo hii ninakigugumizi.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
yaani wana dharau hao wasichana wa kifipa,tena hawapendi maendeleo ya ndugu..usipokuwa mchawi au mshika dini wanakuloga
 
LOL! Muda wote umejificha nyuma ya keyboard utayajulia wapi haya? Tembea uone.

Yalinikuta ila kwavile na mimi alinikuta nipo ngangari nikapatwa na kigugumizi tu. Hadi leo hii ninakigugumizi.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

Mengine mnaongeza chumvi jamani kha....!!
 
Msubiri Baba V anawafahamu vizuri sana atakupa sifa zao.

Wana nidhamu sana na mapenzi ya kweli, ni wavumilivu na wanajiheshimu, hawana tabia za kulimbukia vitu, kimsingi wana msimamo thabiti
 
Last edited by a moderator:
Wadauzi em nipeni siha za waschana wa kifipa jamaaani
acha kabisa ni mali mno:
1.morpholovy ya nyuchi zao ni classic.
2.wanacheza sana game wakiwa kwenye 6×6
3.wanaongea sana kwenye sex hawakai kimya
4.hawana ubishi unapoomba kubadili mtindo wa game
5.akikupenda hacheat kabisa
6.hawana matumizi ya ajabu
7.Ni wasafi wa mwili na nyumba
8.saa yoyote ukiba gamu yupo tayari
9.hawana kisasi mkitofautiana unapooomba gemu unapewa bioa kinyongo
10.wana passion na stamina ya sex
 
Back
Top Bottom