Watoto wa Kifipa

Watoto wa Kifipa

mpoje?
Maana ulisema kila ukimtajia mwanamke kabila lako anakimbia

una mapembe?
Hahahaaah!! Sijui nipoje aisee maana wamenikimbia, imebidi nichukue kifaa cha kifipa nakula tu raha.........
 
he he he, bora kula kitu cha kifipa
kinaelewa game lako mwaya

Hahahaaah!! Sijui nipoje aisee maana wamenikimbia, imebidi nichukue kifaa cha kifipa nakula tu raha.........
 
tatizo kuna watu wanawapa sifa zisizo zao..ila kwa wewe uliyetaka kuwafahamu nadhan utayazingatia maneno..ni wachapa kazi na wanajua maana ya mume,ni wapole na wanajiheshmu na kuheshimu wengne,ulevi,umalaya si tabia yao.nb usije ukaopoa mzambia akasema ni mfipa kisa anaongea kifipa au umemkuta ufipani..ukamlinganisha na mfipa real.
 
Back
Top Bottom