Baba_Enock
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 7,076
- 2,465
ki-mkogo ndo aje?
huna haja ya kugeuza antena kuelekea kisarawe, ukishanunua decoder unapata channels 200...!
ki-mkogo ndo aje?
huna haja ya kugeuza antena kuelekea kisarawe, ukishanunua decoder unapata channels 200...!
kwa hiyo hawajui 'hapana'?
wanajua "Value Chain"...!
naiskia tu, siijui vizuri
hebu tiririka
Nitakapokufa nitaendelea kuishi...!
Kwa nini uandikie mate na wino upo, njoo kijijini kwangu Karema, mwambao wa Ziwa Tanganyika ukutane na hao mabinti wa kifipa ujifunze mila na tabia zao.
Alikushangaza nini?? Alikuweka kwenye chupa??
Alikuwa na nini?yesu mwema banah, kanikosakosa lakini awezi kwa jina la bwana!. pili alikuwa na......
Acha bangi wewe..Wana matak* na mapaj@ makubwa na ni ving'ang'anizi!
Alikuwa na nini?
Duuh, unaelezea yote hayo! Inaelekea familia yenu kuna mchawi walau mmojaWanapenda sana mambo ya kishirikina. Ukimuoa mwanamke wa kifipa basi ujiandae kuwekwa kwenye chupa na kama ikitokea siku unatafuta soksi zako kabatini ukajiona ukiwa kwenye chupa unakuwa bubu tokea siku hiyo.