RoadLofa
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 1,856
- 4,085
Baada ya kusoma kitabu cha messengers of deception by an UFO investigator Jacques Valley, akielezea uwepo wa viumbe kutoka sayari nyingine baadhi ambazo hazijavumbuliwa wanaokuja mara kwa mara kutembea duniani kujifunza vitu vilivyopo duniani na kuwafunza vitu vipya vilivyopo kwa vinavyohusu vitu mbalimbali kama technology, nimejikuta najua vitu vingi ambavyo watu wengi hawavijui kuhusu dunia na siri zake, baadhi ya vitu ambavyo kitabu kimeelezea kuhusu U.F.O baada ya kuwafanyia interviews baadhi ya observes wa vyombo ambavyo wamewahi kuviona vikipaa angani kutoka sehemu mbalimbali za duniani kama Egypt na America wamesema sifa za hivyo vyombo ni kama zifuatazo
1. Vina umbo la saucers
2. Ndani yake huwa kuna viumbe ambao wamevaa mavazi kama wanayovaa wazamiaji majini
3. Huongea lugha za ajabu zisizoeleweka
4. Baadhi ya watu huwaelekeza vitu vipya vya kufanya
5. Wakimaliza duties zao upaa na chombo ( saucers) huku wakikuacha na mshangao
Kwa nilivyosoma hiyo investigation book kuhusu U.F.O iliyofanyiwa utafiti kwa miaka kadhaa na kwa sample kubwa tu ya watu ambao ni zaidi ya watu 3000 na kwa population zaidi ya 300,000 kwa knowledge yangu nahisi hao viumbe wapo kwenye sayari ambazo wanasayansi bado hawajafanikiwa kuzivumbua, na inasemekana izo U.F.O mara nyingi utokea sehemu zenye vitu vipya na gunduzi nyingi kama Sourthen Calfornia na sehemu nyingi za majangwa kwenye kitabu Jacques ameandika muda ambao hutokea ni kuanzia saa 4 usiku muda ambao watu wengi huwa ndani kwa hiyo watu wachache hupata bahati ya kuona hivyo vyombo vikipaa kwa kasi angani huku vikitoa mwanga mkali,
Kwa maoni yangu na lengo la kuandika uzi huu naomba mwana Jamiiforums kutushirikisha kama umewahi kuona kitu kama U.F.O ili tupate ufahamu kama Africa je huwa tunatembelewa na U.F.O, kwa mimi nimewahi kuona kitu kama U.F.O kikiwa kinaenda kwa kasi usiku kipindi nikiwa na miaka kama 10 na kadhaa, nachohisi huja Africa sana sema NASA na watu wanaodeal na research zihusuzo aliens hawajaamua kuweka kambi Africa, maana nishawahoji baadhi ya watu wazima wanadai katika enzi zao za utoto wanakumbukumbu walishaona U.F.O , Pia nadharia yangu nyingine inaniambia U.F.O hupenda kuwapa bahati watoto kwa sababu maranyingi huwa akili zinakuwa bado na pia wanakuwa bado hawana dhambi sana, maana Aliens hupenda siri wanapokuja duniani ndio maana inaonekana hutumwa duniani kwa projects maalumu .
Samahani sana kama nimepangilia hovyo uzi wangu .
Je umeshawahi kuona U.F.O enzi za utoto wako au utu uzima? maana watoto hupata bahati ya kuona vitu vingi vya siri duniani kabla ya kupata akili ya kutambua vizuri vitu na kujiingiza kwenye dhambi" watu na mimi pia naamini Watoto ni malaika" KWA MTU AMBAYE AAMINI MSAADA WA KITABU ICHO ASOME
1. Vina umbo la saucers
2. Ndani yake huwa kuna viumbe ambao wamevaa mavazi kama wanayovaa wazamiaji majini
3. Huongea lugha za ajabu zisizoeleweka
4. Baadhi ya watu huwaelekeza vitu vipya vya kufanya
5. Wakimaliza duties zao upaa na chombo ( saucers) huku wakikuacha na mshangao
Kwa nilivyosoma hiyo investigation book kuhusu U.F.O iliyofanyiwa utafiti kwa miaka kadhaa na kwa sample kubwa tu ya watu ambao ni zaidi ya watu 3000 na kwa population zaidi ya 300,000 kwa knowledge yangu nahisi hao viumbe wapo kwenye sayari ambazo wanasayansi bado hawajafanikiwa kuzivumbua, na inasemekana izo U.F.O mara nyingi utokea sehemu zenye vitu vipya na gunduzi nyingi kama Sourthen Calfornia na sehemu nyingi za majangwa kwenye kitabu Jacques ameandika muda ambao hutokea ni kuanzia saa 4 usiku muda ambao watu wengi huwa ndani kwa hiyo watu wachache hupata bahati ya kuona hivyo vyombo vikipaa kwa kasi angani huku vikitoa mwanga mkali,
Kwa maoni yangu na lengo la kuandika uzi huu naomba mwana Jamiiforums kutushirikisha kama umewahi kuona kitu kama U.F.O ili tupate ufahamu kama Africa je huwa tunatembelewa na U.F.O, kwa mimi nimewahi kuona kitu kama U.F.O kikiwa kinaenda kwa kasi usiku kipindi nikiwa na miaka kama 10 na kadhaa, nachohisi huja Africa sana sema NASA na watu wanaodeal na research zihusuzo aliens hawajaamua kuweka kambi Africa, maana nishawahoji baadhi ya watu wazima wanadai katika enzi zao za utoto wanakumbukumbu walishaona U.F.O , Pia nadharia yangu nyingine inaniambia U.F.O hupenda kuwapa bahati watoto kwa sababu maranyingi huwa akili zinakuwa bado na pia wanakuwa bado hawana dhambi sana, maana Aliens hupenda siri wanapokuja duniani ndio maana inaonekana hutumwa duniani kwa projects maalumu .
Samahani sana kama nimepangilia hovyo uzi wangu .
Je umeshawahi kuona U.F.O enzi za utoto wako au utu uzima? maana watoto hupata bahati ya kuona vitu vingi vya siri duniani kabla ya kupata akili ya kutambua vizuri vitu na kujiingiza kwenye dhambi" watu na mimi pia naamini Watoto ni malaika" KWA MTU AMBAYE AAMINI MSAADA WA KITABU ICHO ASOME