UFO ku-exist haimaanishi kuna ulazima wa viumbe wa sayari nyengine kuja duniani.
Unafahamu kuwa Avro Canada Canadian aircraft manufacturing company mwaka 1953 ilitoa siri kuwa walikuwa wanatengeneza flying vehicle? Kwenye kuielezea walisema ni circular jet aircraft ambayo yenye uwezo wa kukimbia kwa mwendokasi wa 1,500 mph (2,400km/h).
Baada ya hiyo kampuni kuzungumza hivyo Bw.Georg Klein ambaye ni German engineer alisema hiyo kampuni haitengenezi kitu chochote kipya bali kiuhalisiya wana copy and engineering UFOs that were developed during Nazi Germany.
Flying saucer zilianza kuonekana miaka ya mwishoni ya ww2 ambapo meli za jeshi la US na Soviet kama sijakosea walienda bara Antarctica ambapo kulikuwa na base nyengine ya siri ya kijeshi ya Nazi ambapo walishambuliwa na hizo flying saucer. Tena kilikuwa na uwezo wa kuzama majini na kupaa kwa kasi kuliko ndege vita ya kipindi hicho. Hitler alikuwa yupo mbali kiteknolojia ndiyo maana US na Soviet walikuwa wakipigania kuwapata scientis wa Hitler. Hiyo documentary inayooyesha hizo saucer zikishambulia meli nilikuwa nayo video za black and white ila sasa hivi sina.
Hii ni nyaraka ya CIA kuhusu flying saucer.
View attachment 1438725
Inshort CIA hii ajenda wameibeba kupotosha watu kwa nia nzuri ya wao kutengeneza vifaa vita vya ajabu vya siri na kuvifanyia majaribisho. Kwa vile ni kifaa kilicho na muundo tofauti na watu walichokizoea kitakuwa tu Unidentied Flying Object. Hakuna cha Alien! Watu wanakamilisha mipango yao tu.