Watoto kuzaliwa wakiwa na jicho moja kubwa na lingine liko kawaida.

Whk

Member
Oct 1, 2020
76
66
Habari zenu Wanajamvi.
Wakuu naomba msaada

Mwaka 2020 Mwenyezi Mungu alinipa mtoto wangu wa tatu ambaye alikuwa anajicho moja kubwa na lingine lilikuwa la kawaida, mtoto uyu alifariki 2022 ghafla mana ilitokea kama degedege ndani ya saa mbili akawa amefariki.
Mwaka huu 2024 Mwenyezi Mungu amenipa mtoto wa nne naye pia anajicho moja kubwa na lingine kawaida, ijapokuwa apo kabla nilikuwa napata watoto wenye macho size sawa na mimi nina macho size sawa .

Hawa watoto wote wanne kila mmoja ana mama yake. Naomba kuwasilisha.
 
Kuna cancer ya macho ambayo huwapata watoto wakiwa tumboni na ni ngumu kutambua hata akizaliwa miezi ya mwanzo pia huwez jua,mpaka vipimo labda ndo hiyo jaribu vipimo Mhimbili au kcmc,
 
Kuna cancer ya macho ambayo huwapata watoto wakiwa tumboni na ni ngumu kutambua hata akizaliwa miezi ya mwanzo pia huwez jua,mpaka vipimo labda ndo hiyo jaribu vipimo Mhimbili au kcmc,
Hata mimi nilidhani hvyo sasa najiuliza watoto wote nitakao wapata watakuwa na hyo cancer?
 
Hata mimi nilidhani hvyo sasa najiuliza watoto wote nitakao wapata watakuwa na hyo cancer?
Genetics,kwa ushaur zaidi tembelea hizo hospital nilizokwambia wao wanajua zaidi,na km ndo yenyewe wanajua namna ya kuitibu na akaishi,Ila atapata upofu jicho lilioathirika ndo maana tiba ya mapema ni Nzuri zaid,au labda ni kitu kingine,hospital wanajua zaid,nenda
 
Genetics,kwa ushaur zaidi tembelea hizo hospital nilizokwambia wao wanajua zaidi,na km ndo yenyewe wanajua namna ya kuitibu na akaishi,Ila atapata upofu jicho lilioathirika ndo maana tiba ya mapema ni Nzuri zaid,au labda ni kitu kingine,hospital wanajua zaid,nenda
Sawa
 
Back
Top Bottom