Dancani
JF-Expert Member
- Apr 4, 2012
- 796
- 398
Mkuu japo tamaduni zetu hazifanani ila kuna vitu vya msingi ambavyo vinaingiliana na inatakiwa tuvipe vipaombele, maana kwenye jamii makundi yote ni muhimu na siya kudumu kama unavyojua kwenye maswala ya ukuaji wa binadamu na lazima hatua hizo tupitie, ni muhimu kuweka mambo sawa ila kila tunapoingia hatua hiyo kuwa imeandaliwa vyemaWatu wanataka kusema utamaduni wa ulaya na afrika ni sawa.