Sheria inasemaje juu ya watoto chini ya umri wa miaka 8 kulazwa rumande kwa kosa la kushutumiwa kuvunja kioo cha gari wakicheza na mwenye gari akasisitiza watoto walazwe rumande?
Tukio hili limetokea siku ya jumapili 22 Sep. 2013 hapa jiji la Arusha na watoto hao wawili wa kiume miaka 8 na miaka 7 wamelazwa rumande pale Central Police Arusha!
Tukio hili limetokea siku ya jumapili 22 Sep. 2013 hapa jiji la Arusha na watoto hao wawili wa kiume miaka 8 na miaka 7 wamelazwa rumande pale Central Police Arusha!