Watongozaji tukutane hapa please!!

Kwahyo nimkomalie mpaka atoe msimamo wake upo upande gani??
Acha uboya wewe..msimamo gani unautaka? We anza kuomba appointment aje gheto au umtoe out, hicho ndicho kipimo cha kukubali au kukataa!!

Kwahiyo ulivyomtongoza ulimwambiaje?
 
Lidumu chama tawala
 
Anakusubiria ujiongeze, mpe HELA uone kama hajakupa jibu zuri
 
wata toka wapi wakati wana vyeti feki na ukata kwa jpm.pesa imekwisha
 
watu na akili.zenu.mnamzingua jamaa hamuwezi kujua Ana malengo gani na huyo dada swala lakumpa mwanamke pesa na.kumla halina tofauti na kuchukua kahaba anaejiuza muda wowote anaomtaka Mimi nazani kutongoza kueshimiwe naamini kuna kitu kingine anakihitaji huyo mtongozaj zaidi ya kuvua chupi na kuacha pengine anamalengo nae lakini sasa Kama ukifanya hivi kuvua chupi huyo mwanamke sizan Kama utakuw na hamu nae tena
 
Mkuu huyo niwa kuvuta mpaka geto ukisubili jibu utakesha maana dalilizote ziko waz
 
Mkuu STUNTER nipe hizo mbinu nakutegemea kaka ili nin'goe huyu mrembo..
 
Ahsantee mkuu big up sana
 
Acha uboya wewe..msimamo gani unautaka? We anza kuomba appointment aje gheto au umtoe out, hicho ndicho kipimo cha kukubali au kukataa!!

Kwahiyo ulivyomtongoza ulimwambiaje?
Nili mwambia nime mlove so nahitaji awe wangu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…