kipindupindu
JF-Expert Member
- Dec 16, 2010
- 1,054
- 170
Inasemekana ukitoka kwa babu lazima uharishe'uendeshe' sana.
Babu anasema hapa ndio unatoa sumu mwilini!
Jamani mliotoka huko tupeni majibu.
Babu anasema hapa ndio unatoa sumu mwilini!
Jamani mliotoka huko tupeni majibu.