Watekaji Wampuuza Simbachawene

Watekaji Wampuuza Simbachawene

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
137,321
Reaction score
271,648
Juzi tu Baada ya kuapishwa Mh Simbachawene alijitokeza hadharani akiwaelekeza Polisi namna nzuri ya kukamata Watuhumiwa, akapinga ukamataji wa kishamba kwa kutumia mabunduki mengi na magari ya kificho huku wakamataji wakivaa kininja

Leo yametokea huko Kidia Old Moshi AMBAKO bila wananchi kuingilia Kati Mama yake Malissa angetekwa na kuuawa

Hii Maana yake kipo kikosi ambacho Waziri hana mamlaka nacho, n.a. asipoangalia iko siku hata yeye atatekwa
 
Juzi tu Baada ya kuapishwa Mh Simbachawene alijitokeza hadharani akiwaelekeza Polisi namna nzuri ya kukamata Watuhumiwa, akapinga ukamataji wa kishamba kwa kutumia mabunduki mengi na magari ya kificho huku wakamataji wakivaa kininja

Leo yametokea huko Kidia Old Moshi AMBAKO bila wananchi kuingilia Kati Mama yake Malissa angetekwa na kuuawa

Hii Maana yake nipo kilos ambacho Waziri Jan a mamlaka nacho, n.a. asipoangalia imo simu haha yeye atatekwa
porojo nonsense kabisa hii dah:NoGodNo:
 
Juzi tu Baada ya kuapishwa Mh Simbachawene alijitokeza hadharani akiwaelekeza Polisi namna nzuri ya kukamata Watuhumiwa, akapinga ukamataji wa kishamba kwa kutumia mabunduki mengi na magari ya kificho huku wakamataji wakivaa kininja

Leo yametokea huko Kidia Old Moshi AMBAKO bila wananchi kuingilia Kati Mama yake Malissa angetekwa na kuuawa

Hii Maana yake kipo kikosi ambacho Waziri hana mamlaka nacho, n.a. asipoangalia iko siku hata yeye atatekwa
Kikosi cha Dully Sykes
 
Juzi tu Baada ya kuapishwa Mh Simbachawene alijitokeza hadharani akiwaelekeza Polisi namna nzuri ya kukamata Watuhumiwa, akapinga ukamataji wa kishamba kwa kutumia mabunduki mengi na magari ya kificho huku wakamataji wakivaa kininja

Leo yametokea huko Kidia Old Moshi AMBAKO bila wananchi kuingilia Kati Mama yake Malissa angetekwa na kuuawa

Hii Maana yake kipo kikosi ambacho Waziri hana mamlaka nacho, n.a. asipoangalia iko siku hata yeye atatekwa
Mama yake ametekwa na hapatikani kwenye simu. Nimeona huko kwenye mitandao
 
Juzi tu Baada ya kuapishwa Mh Simbachawene alijitokeza hadharani akiwaelekeza Polisi namna nzuri ya kukamata Watuhumiwa, akapinga ukamataji wa kishamba kwa kutumia mabunduki mengi na magari ya kificho huku wakamataji wakivaa kininja

Leo yametokea huko Kidia Old Moshi AMBAKO bila wananchi kuingilia Kati Mama yake Malissa angetekwa na kuuawa

Hii Maana yake kipo kikosi ambacho Waziri hana mamlaka nacho, n.a. asipoangalia iko siku hata yeye atatekwa
Sio kutekwa , watamvua cheo.
 
Juzi tu Baada ya kuapishwa Mh Simbachawene alijitokeza hadharani akiwaelekeza Polisi namna nzuri ya kukamata Watuhumiwa, akapinga ukamataji wa kishamba kwa kutumia mabunduki mengi na magari ya kificho huku wakamataji wakivaa kininja

Leo yametokea huko Kidia Old Moshi AMBAKO bila wananchi kuingilia Kati Mama yake Malissa angetekwa na kuuawa

Hii Maana yake kipo kikosi ambacho Waziri hana mamlaka nacho, n.a. asipoangalia iko siku hata yeye atatekwa
Serikali batili haitambuliki hata jehanum
 
Back
Top Bottom