Watekaji Wampuuza Simbachawene

Watekaji Wampuuza Simbachawene

Juzi tu Baada ya kuapishwa Mh Simbachawene alijitokeza hadharani akiwaelekeza Polisi namna nzuri ya kukamata Watuhumiwa, akapinga ukamataji wa kishamba kwa kutumia mabunduki mengi na magari ya kificho huku wakamataji wakivaa kininja

Leo yametokea huko Kidia Old Moshi AMBAKO bila wananchi kuingilia Kati Mama yake Malissa angetekwa na kuuawa

Hii Maana yake kipo kikosi ambacho Waziri hana mamlaka nacho, n.a. asipoangalia iko siku hata yeye atatekwa
Kuna waliosema enzi za Magufuli kuwa kama kuna kitu kibaya Nyerere alituachia ni CCM.

Namimi naongeza,,, kama kuna kitu kibaya Nyerere alituachia ni muungano, hasa na wazanzibar.
 
Inawezakana kumbe shida sio mawaziri wa mambo ya ndani.
Bali mfumo mzima.
Kuna watu Wana nguvu kumshinda waziri wa mambo ya ndani.
Nisamehe masauni, nisamehe bashungwa
 
Huyo Simba Cha ni comedian,


Amesikika akiwamvia polisi chini yake wafanye utafiti kujua kwanini polisi wanaposema wanalinda amani, umma unadai haki.

Sasa kwanini asiagize au kupendekeza IGP na Mafwele wafukuzwe Kisha waanze kudeal na killer's?

Usichukuliwe kirahisi na hizi comedy please.
 
Back
Top Bottom