babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 13,085
- 15,979
Hizo meli pande zote zina high quality cctv movable camera km drone, halafu hao jamaa wana miwani yenye alert ya hao watekaji wakikaribia meli.Movie au real?
Who was there to take that video?
Kiukweli kuna wasomali wengi sana kwenye kundi la watekaji wameishia majini.
Sio kila tukio limeonyeshwa ila wamemalizwa.
Ndio mana husikii mambo hayo sasa.
Kuna mrusi na mfaransa waliwakamata km 200 hivi wakamalizana nao juu kwa juu huko huko baharini.