Watch-out There Will Be A Failed Kidnapping/Assassination Plan at the Beginning of 2013!

Watch-out There Will Be A Failed Kidnapping/Assassination Plan at the Beginning of 2013!

....Where is the dots starting from?
Allow me to rephrase this way "How are the dots progressing?"
Can someone give a good reason as to why the CDM rep. at the StarTV mng pgrm today did not counter act upon the allegations from CCM rep. that CDM is planning killings including that of rep on the table?
 
Kujitetea kwa namna hii hakutakufikisha mbali katika juhudi zako za kujifunza hicho kizungu unachokipapatikia. Badilika kidogo, labda utafanikiwa. Kila la kheri!
Askari Kanzu, ulimshambulia EngLish Leaner hapo mwanzo nadhani ndiyo maana kalazimika kukujibu namna hiyo. Hata hivyo nami ni mwanafunzi wa kiingereza ila sikipapatikii hicho kiingereza kama nitakuwa sahihi kutafsiri neno kupapatikia.

Kwa heshima kubwa Askari Kanzu ninaomba utuwekee kasoro za bandiko lake na namna bora ambavyo angeandika bandiko hilo kwa kiingereza ili nasi tunaopenda kujifunza lugha ya kiingereza tufaidike.

Mchana mwema.

--MpigaKelele
 
Fiq Q says “Usinidiss kwa Kiswahili ikiwa hata hujui Kukitamka!” I hope it make sense to show mistakes in my statement and give a correct version of what you think is not proper. Of course, I am man, by name called English Learner, so I don’t expect to be correct and it is in my thinking that any rational reader/contributor to my
posts would have taken into consideration the implication of my name. It’s only critique and not critics might be of help to someone with a similar mission to mine. Dale Carnegie at one time said “Any fool can criticize, condemn, and complain - and most fools do” A real GT should act differently to Dale’s opinion.

Mkuu, pamoja na kwamba hili si jukwaa la kiingeredha, lakini mwenyewe umeruhusu kukosolewa. Sasa angalia maeneo niliyokuwekea wekundu katika mchango wako, ndiyo makosa hayo uliyoyafanya katika hiyo lugha yenu.

Kwa hiyo ukubali tu kwamba makosa ni kitu cha kawaida, kwani hata michango mingi ya waingereza tunayoikuta katika mitandao huwa na makosa mengi tu ya grammar kama ambavyo huwa inakuwa ya waswahili wanapoandika kwa kiswahili hata humu ndani ya JF.
So, hiyo isikusumbue mkuu. Tunachotaka ni ujumbe, na ambao umetufikishia.
Hongera kwa tahadhari ya mambo yajayo!
 
......... CCM rep. that CDM is planning killings including that of rep on the table?

I was astonished as well to learn that the Deputy Secretary of ruling party could has such a gut to utter such allegations; thanks to the Oldman with Samadu Hassan at StarTV-Mwanza for weakening his Deputy Secretary allegations by calling them irrelevant.
 
Allow me to rephrase this way "How are the dots progressing?"
Can someone give a good reason as to why the CDM rep. at the StarTV mng pgrm today did not counter act upon the allegations from CCM rep. that CDM is planning killings including that of rep on the table?
Sasa nimekuelewa vizuri tatizo sio kizungu, ujumbe ulikua deep sana mpk kwa wanaofuatilia sana mambo ndio wataelewa kirahisi! ndio wanataka kutuletea ya chacha..........
 
For a person who has got audacity to give out the kind of words in my signature below,why should I not believe?Illegal tactics are out,the only one in hand is public sympathy seeking!When will "Mr.Big headed" certainly understand that the only tool to win people's minds is just to calm down and be a gentleman to work as unit with the leaders of his institution?
 
If you see a Man Brag so much abt something it means,.....he never finds satisfaction,so tries to find it in unusual ways,probably Fantasies!!
 
I was astonished as well to learn that the Deputy Secretary of ruling party could has such a gut to utter such allegations; thanks to the Oldman with Samadu Hassan at StarTV-Mwanza for weakening his Deputy Secretary allegations by calling them irrelevant.

kwani chemba la choo linakuwaga na siri? We pita karibu na chemba la choo utasikia tu harufu.
 
Askari Kanzu;Andika kwa Kiswahili, utaeleweka zaidi. Hiki kizungu cha kuunga unga kinaharibu kile unachotaka kusema. Kwa upande mwingine, shukran kwa utabiri. Tunangojea utimie kwa hamu!...Go back to school,...we ukimbie umande halafu uishie kukashifu eti kiingereza cha kuunga unga!.....don't blame others for your failures so as to feel good,...au wewe ni Henchmen wa Mr.Big Head?....You are grown but not Matured mkuu.(it takes efforts to mature)ila usikate tamaa siku moja utaelewa.
 
Is this a vision, prophecy or a leaked information?
Where is the dots starting from?

What EL writes is neither prophecy nor leaked info but the real facts based on what had happened; killings associated with politics are further expected in next yrs approaching 2015 general elections. I once said that Tanzania belongs to all Tanzanians.
How comes today that there is a group or a political party that assures itself life long leadership of the nation? Why should there be uninvetigated and not even condemned killings by the current gvt? opposition leaders must exercise all security precautions while doubling the movements for change. I will not feel proud of continued weak and corrupt gvt in 2015.
 
Kachero mmoja maarufu wa JF alishatoa tahadhari ya mpango wa kuiua Chadema before june 2013 na kuonya viongozi wasipuuze ushauri wao!

Naamini viongozi wamekomaa sasa kuchukua maamuzi magumu sana kumeza!

Watanzania wanataka mtu serious wa kuitoa CCM madarakani na sio mabingwa wa takwimu za uchumi!
 
Prevailing circumstantial series of events hint about the possibility of one “big-headed” politician to re-play a planned drama of the failed; either kidnapping or assassination to himself. In this drama, Mr. “big-headed” has been a planner and at the same time will act and become the dramatized victim of the action!

A Brief History
At different times, especially when things are not in favour of his inclination and the public sympathy is inversely to his actions, Mr. “big-headed” has invariably been applying this as a strategy to preempt and divert national attention away from the public agenda particularly those fostered by the institution he belongs. Few of us will remember how the former Minister of Finance saga turned to be a negotiable deal with Mr. “big-headed” dramatizing to be poisoned. Sadly, the accusations and allegations behind the dramatized illness was burdened to leaders of Mr. “big-headed” institution. The public consumed the twisted truth wholly and unquestionably!

I caution great thinkers not to be caught-off guard again into the forthcoming April 1[SUP]st[/SUP] of Mr. “big-headed” drama. Your should be impartial to reason why a well connected and state trusted agent is neither reporting nor seeking protection from responsible authorities. And contrary he has started to provoke feelings to the same public backed with empty words?

Thank you Mzee Mwanakijiji for teaching me on how dots are intelligently connected.

does this has any connection with attempt failure to kidnap Mr.Big headed for the past few months ,that lead him to Hire other bodyguards from other country?
 
Prezzo kazi yake kuomba huruma mitandaoni jana kaandika hivi fcbk if am not mistaken.

" I do not fear death as i have a record to tell Allah"-By PREZZO a.k.a DOGO.
 
Back
Top Bottom