Bombabomba
JF-Expert Member
- Dec 23, 2017
- 1,725
- 2,007
Wamaanisha nini? Ina maana kasema uongo?Ndio nyie vijana wa chadema digital hahahaha
Mwambieni wawape semina elekezi hahaha
Wamaanisha nini? Ina maana kasema uongo?Ndio nyie vijana wa chadema digital hahahaha
Mwambieni wawape semina elekezi hahaha
Zile pesa zilizomwagwa huku na kule wakati wa uchaguzi 2020 tulijua kinachoenda kufata baadabya hapo. Ni disaster.Tanzania ni mali ya Watanzania wote,wenye itikadi ya vyama vya kisiasa na wasio na vyama pia.
CCM imejijengea imani kuwa ina hati miliki ya Tanzania,ndo maana mambo yanakwenda kama mnavyoona.
Leo hii kg ya nyama ya ng'ombe Dar ni Tsh 10,000 na vijjini ni Tsh 7,000 hadi 8,000,.
Tanzania ni Taifa la pili Africa Baada ya Ethiopia kwa kuwa na idadi kubwa ya ng'ombe.
Hebu jiulizeni nchi inakwenda wapi hii? Mwaka 2012 kipande cha sabuni kiliuzwa Tsh 200, na nyama kg moja ilikuwa Tsh 4,00.
Sasa hivi kuna mfumuko mkubwa mno wa Bei kuwahi kutokea utadhani Taifa lilikuwa vitani.
Kwa sababu CCM inajivunia Dola kubakia madarakani,siye tujivunie Mungu kuitoa madarakani,nawahakikishia Tukiungana tukafanya maombi ya Rehema juu ya Tanzania, CCM itatoweka na ukatili wake hamtaamini.
Ni mpumbavu pekee mwenye kuweza kupuuza Maombi.
Daudi alimshinda Goaliathi kwa kumtegemea MUNGU.
Na sisi tukifanya hivyo Tutaishinda CCM.
Maisha hayaeleweki ,mara Tozo,sijui mara nini.
Mungu yupo,naye husimama na wenye haki.
Utopolo. Huu uzi umekuzidi uwezo wa kufikiri. Nenda Facebook.Mfumuko wa bei utauzuiaje kama hujishirikishi na uchumi? Mumekalia politicking tu badala ya uzalishaji. Theory ya Economics inasema inflation hutokea panapokuwa too much money chasing too few goods. Tokeni kwa Shemeji zenu nendeni mkafanye kazi!!
Na bado..!! Nchi ipo kwenye wakati mgumu Sana
Na majumba wanajengeana kupomgezana mamansion.Hao wenye mamlaka wala hawatokaa kusikia haya malalamiko maana wao wanahudumiwa na serikali kila kitu..yaani hawana bajeti za kula kwao,,Tunawalisha sisi ndio maana wanapanga tu bei watakavyo.
Maji,umeme,usafiri,vocha,vyote wanateleza free tuu...kwanini wasiwekewe watumishi kama walimu hizi huduma????????
such a stupid remark. unalinganisha ccm na cdm. leo hii nchi iko mrama kwa sababu bungeni hakuna cdm. Wakati wa mkapa na jk walikuwa wanasikiliza hoja za cdm na wapinzani wanazifanyia kazi mambo yanakwenda. Hata hoja ya katiba haikuwa ya ccm ilikuwa ya cdm, jk akaichukua. jamaa yenu akaipuuza na kuwapuuza wapinzani nchi ikaanza kupumulia mashine mbele yake....na sasas tunaelekea icu.Ndio nyie vijana wa chadema digital hahahaha
Mwambieni wawape semina elekezi hahaha
Magufuli adverse effectsKweli kabisa, na hii ni kutokana na uharibifu aliofanya Magufuli kwa kipindi cha miaka mitano.
Wewe unabwata tu hata unachoongea hakina uhalisia. Kama uchumi wewe huna uwezo wa ku afford purchase of essential commodities hiyo ni personal problem.Unajiamini kitu gani wakati huna akili kabisa wewe?
Hujui kuwa inflation ni anguko kuu la Uchumi, halafu eti unajiamini kwa lipi ?
au unajiamini kwa ujinga ulionao?
Mimi sikuwa mfuasi wa Magufuli, nenda kasome posts zangu zote kuanzia 2016. Tatizo mnakariri kila anayewakosoa mnamuona ni CCM au Pro MagufuliSisi hatuna vita yoyote,na tutafika tunakokwenda,yuko wapi mungu wenu wa Chato mliyemwabudu na kupanga atawale milele?
Mlivyo wajinga mna akili za kuku,eti mnaiona hata kesho wakati kesho ipo mikononi mwa Mungu.
abwata tu hata unachoongea hakina uhalisia. Kama uchumi wewe huna uwezo wa ku afford purchase of essential commodities hiyo ni personal problem.
Ila kwa taarifa yako Tanzania ni kati ya nchi 10 za Afrika zenye uchumi mkubwa pamoja na SA, Nigeria, Egypt, Morocco, Algeria, Angola, Ethiopia, Ghana na Kenya.
Kama huna hela wewe go to hell
Shida ni nyama au shida ni uwepo wa CCM?
Fanyakazi ,acha kulalamika.Tanzania ni mali ya Watanzania wote,wenye itikadi ya vyama vya kisiasa na wasio na vyama pia.
CCM imejijengea imani kuwa ina hati miliki ya Tanzania,ndo maana mambo yanakwenda kama mnavyoona.
Leo hii kg ya nyama ya ng'ombe Dar ni Tsh 10,000 na vijjini ni Tsh 7,000 hadi 8,000,.
Tanzania ni Taifa la pili Africa Baada ya Ethiopia kwa kuwa na idadi kubwa ya ng'ombe.
Hebu jiulizeni nchi inakwenda wapi hii? Mwaka 2012 kipande cha sabuni kiliuzwa Tsh 200, na nyama kg moja ilikuwa Tsh 4,00.
Sasa hivi kuna mfumuko mkubwa mno wa Bei kuwahi kutokea utadhani Taifa lilikuwa vitani.
Kwa sababu CCM inajivunia Dola kubakia madarakani,siye tujivunie Mungu kuitoa madarakani,nawahakikishia Tukiungana tukafanya maombi ya Rehema juu ya Tanzania, CCM itatoweka na ukatili wake hamtaamini.
Ni mpumbavu pekee mwenye kuweza kupuuza Maombi.
Daudi alimshinda Goaliathi kwa kumtegemea MUNGU.
Na sisi tukifanya hivyo Tutaishinda CCM.
Maisha hayaeleweki ,mara Tozo,sijui mara nini.
Mungu yupo,naye husimama na wenye haki.
Unaropoka tuu kwa kuwa umekariri neno inflation hata huelewi unachoongea fala wewe..Unajiamini kitu gani wakati huna akili kabisa wewe?
Hujui kuwa inflation ni anguko kuu la Uchumi, halafu eti unajiamini kwa lipi ?
au unajiamini kwa ujinga ulionao?
creditKweli kabisa, na hii ni kutokana na uharibifu aliofanya Magufuli kwa kipindi cha miaka mitano.
twende na wakatiTanzania ni mali ya Watanzania wote,wenye itikadi ya vyama vya kisiasa na wasio na vyama pia.
CCM imejijengea imani kuwa ina hati miliki ya Tanzania,ndo maana mambo yanakwenda kama mnavyoona.
Leo hii kg ya nyama ya ng'ombe Dar ni Tsh 10,000 na vijjini ni Tsh 7,000 hadi 8,000,.
Tanzania ni Taifa la pili Africa Baada ya Ethiopia kwa kuwa na idadi kubwa ya ng'ombe.
Hebu jiulizeni nchi inakwenda wapi hii? Mwaka 2012 kipande cha sabuni kiliuzwa Tsh 200, na nyama kg moja ilikuwa Tsh 4,00.
Sasa hivi kuna mfumuko mkubwa mno wa Bei kuwahi kutokea utadhani Taifa lilikuwa vitani.
Kwa sababu CCM inajivunia Dola kubakia madarakani,siye tujivunie Mungu kuitoa madarakani,nawahakikishia Tukiungana tukafanya maombi ya Rehema juu ya Tanzania, CCM itatoweka na ukatili wake hamtaamini.
Ni mpumbavu pekee mwenye kuweza kupuuza Maombi.
Daudi alimshinda Goaliathi kwa kumtegemea MUNGU.
Na sisi tukifanya hivyo Tutaishinda CCM.
Maisha hayaeleweki ,mara Tozo,sijui mara nini.
Mungu yupo,naye husimama na wenye haki.