Watanzania wengi wanapenda kazi za kukaa ofisini

EL ELYON

JF-Expert Member
Jan 2, 2013
1,563
1,886
Hili nimeliona watanzania wengi ukiwaambia kuna kazi njoo ufanye anakuuliza atakaa ofisini ukimwambia hapana hataki aisee maisha hayana njia ya mkato waliofanikiwa wote wamepita njia ndefu kasoro watoto wa wakubwa MTU yuko tayari akae miaka kumi hana inshu yoyote kula kulala wakati ungeweza kupata pa kuamkia asubuhi ukiwa huko unaangalia mambo mengine inasikitisha sana sana.
 
Maisha kwa ujumla ni safari ndefu sana... Inayohitaji uvumilivu sana...

Sawa sawa na kazi/ajira.
Uwe umeajiriwa au kujiajiri... Kunahitaji moyo, uvumilivu na ujasiri wa hali ya juu...

Ndiyo pale unapofika sehemu ya kazi ya mtu, unaomba kuonana na Director, alafu huyo mtu anaanza kusem sema Daah Jamaa anaringa sana... Anajiona amefika... Hujui kaanzia wapi huyo mtu... Hujui kavumilia mangapi, kapitia mangapi...


Ni kweli vijana wengi sana, wakiitiwa kazi kama siyo ya kukaa ofisini wanadharau sana... Kumbe hawajui pale inaweza kuwa njia tu, baadae ukapasua mpaka ukashangaa...


Cc: mahondaw
 
Hili nmeliona watanzania wengi ukiwaambia kuna kazi njoo ufanye anakuuliza atakaa ofisini ukimwambia hapana hataki aisee maisha hayana njia ya mkato waliofanikiwa wote wamepita njia ndefu kasoro watoto wa wakubwa MTU yuko tayari akae miaka kumi hana inshu yoyote kula kulala wakati ungeweza kupata pa kuamkia asubuhi ukiwa huko unaangalia mambo mengine inasikitisha sana sana.
Nipe hiyo kazi hata porini ntakaa
 
Wanapenda mambo ya mkato, wanadhani maisha ni rahisi kihivyo. Afu mda huo ambao anakataa kazi,anakaa kijiweni wakidanganyana kuwa watatoka tu, kwani kutoka ni zali.
 
Hujatutendea haki kusema watanzania wengi, naamini idadi kubwa ya walioajiriwa wanafanya kazi zisizokuwa za kukaa ofisini
 
Si aweke hizo kazi hapa "sebuleni" PM za nini sasa!!! ata PM wangapi? yeye kama kweli ana mchongo amwage hapa watu wachangamkie
 
Back
Top Bottom