Watanzania wengi wana akili za Kitoto!

Watanzania wengi wana akili za Kitoto!

Sawa Bibi, lakini mbona huku kwetu hawa wanaotoka kwenye nasaba zilizoshiba/zilizovimbewa hawana msamiati wa kiasi kwao?!
Maana hata Mkuu alionekana kushangazwa nao kipindi fulani.
Mimi nafikiri, ili tuendelee tunawahitaji sana Wazalendo bila kujali wanatokea kwenye familia za hadhi ipi (matajiri/maskini).
Hata hivyo, historia inaonesha wale wa kutokea familia za kawaida huwa wanakuwa viongozi wazuri na wazalendo zaidi hasa hasa katika nchi yetu. Hayati JKN, Hayati BWM na Hayati JPM, wote hawa wametokea kwenye familia za kawaida na wengine familia maskini kabisa, lakini athari za uongozi wao kwa Taifa letu, zimekuwa chanya zaidi kulinganisha na wale ambao hawajawahi Kunis njaa!!
"Mkuu" ndiyo nani? Mwenyezi Mungu?
 
Mfano wako wa watoto hauna uhalisia kabisa. Wala hauleti maana yoyote kiuhalisia. Ni ujuha tu.

Pia maelezo yako ya uongozi kuwa ni mbovu, hilo nakukatalia kabisa.

Tanzania ni wazi kabisa kuwa uongozi uliokuwa mbovu ni ule wa awamu ya kwanza, ndiyo ulioweka misingi na ndiyo hadi leo hii katiba inayotumika Tanzania, msingi wa sheria na kanuni za kuendesha nchi, uliwekwa na awamu ya kwanza.

Tanzania watendaji ni wabovu kuanzia ukitoka tu nfazi ya uongozi wa juu, ambayo kiuhalisia haina njaa leo wala kesho. Imeshalindwa na katiba.

Utakuwa ni mjinga leo hii usitegemee kuwa utakapomchukuwa mtendaji ambae historia inaonesha toka alipotokea huko ni umasikini na njaa kali iliyomfanya kuwa na tamaa ya kila kitu umpe vimadarakakidogo halafu usitegemee kuwa hatafakamia na kulewa hayo madaraka.

Watendaji wazuri watatoka kwenye nasaba zilizoshiba siyo nasaba zenye njaa.
Samia ameshindwa kazi na mpaka Sasa Hana vision ya kile anachotakiwa kufanya . Nchi imepata hasara kubwa sana
 
Sawa Bibi, lakini mbona huku kwetu hawa wanaotoka kwenye nasaba zilizoshiba/zilizovimbewa hawana msamiati wa kiasi kwao?!
Maana hata Mkuu alionekana kushangazwa nao kipindi fulani.
Mimi nafikiri, ili tuendelee tunawahitaji sana Wazalendo bila kujali wanatokea kwenye familia za hadhi ipi (matajiri/maskini).
Hata hivyo, historia inaonesha wale wa kutokea familia za kawaida huwa wanakuwa viongozi wazuri na wazalendo zaidi hasa hasa katika nchi yetu. Hayati JKN, Hayati BWM na Hayati JPM, wote hawa wametokea kwenye familia za kawaida na wengine familia maskini kabisa, lakini athari za uongozi wao kwa Taifa letu, zimekuwa chanya zaidi kulinganisha na wale ambao hawajawahi Kunis njaa!!
Kwa kifupi sema TU kuwa Hawa "HAWA WASWAHILI WACHEZA NGOMA" hawafai kukabidhiwa nchi waongoze. Waishie kupewa unaibu waziri TU.
 
Umewaza kwa kina sana, sijui kama wengi watakuelewa.
Mkuu nifah unanishangaza sana, kama ni mwanamke kumkuta kwenye mada kama hizi ni nadra sana.nashangazwa unafuatilia mpaka mambo haya ya siasa.

Ukitaka kuamini hili hutamuona donatila hapa! Nilijua upo tu kwa entertainment kuleta habari za lulu na alikiba pamoja na yanga.

😂kama naongopa niambie naongopa.
 
WENGI WETU NI MATAHIRA MKUU......

WENYE AKILI WALIKUWA AKINA JK NYERERE.........

NCHI IMEJAWA MATAHIRA NA MBUMBU
Siku zote dish likiyumba,na fundi akawa wa mchongo,basi ujue chaneli zitaonyesha chenga tu
 
Mkuu nifah unanishangaza sana, kama ni mwanamke kumkuta kwenye mada kama hizi ni nadra sana.nashangazwa unafuatilia mpaka mambo haya ya siasa.

Ukitaka kuamini hili hutamuona donatila hapa! Nilijua upo tu kwa entertainment kuleta habari za lulu na alikiba pamoja na yanga.

😂kama naongopa niambie naongopa.
Sasa ukinikuta najadili masuala ya intelligence si utashangaa zaidi?

Mungu kanibariki hivyo, napenda kujifunza na kujua mengi.
 
Samia ameshindwa kazi na mpaka Sasa Hana vision ya kile anachotakiwa kufanya . Nchi imepata hasara kubwa sana
Hakuna anaechapa kazi zaidi ya mama Samia katika Tanzania hii.

Unajuwa kuwa mwaka huu kazalisha chakula hakijawahi kuzalishwa tokea ukoloni?
 
Hakuna anaechapa kazi zaidi ya mama Samia katika Tanzania hii.

Unajuwa kuwa mwaka huu kazalisha chakula hakijawahi kuzalishwa tokea ukoloni?
Kwamba yeye ndio aliingia mashambani kulima?
 
Kila mmoja na mawazo yake, upo huru na fikra zako.

Mama Samia kaja na Reconciliation, Resilience, Reform, Rebuild. Amzazo mimi naamini kama watendaji watazifanyia kazi inavyotakiwa, tutabadilika haraka sana kama nchi.

Reconciliation kwa maana nyingine, tuwache kuwa taifa linaloendeshwa na watu wanaotegemea uchawi na waganga wa kienyeji.

Hao watendaji wanaachwa tu wenyewe wajiamulie au wanahitaji system yenye macho na kiongozi atakayewasimamia watimize mahitaji yao ipasavyo.
 
Hao watendaji wanaachwa tu wenyewe wajiamulie au wanahitaji system yenye macho na kiongozi atakayewasimamia watimize mahitaji yao ipasavyo.
Reforms na Rebuilding siyo uchawi na matambiko.
 
Wewe unaifananisha Kenye ambayo haijajiingiza kwenye balaa ya usamaria mwema na sii tuliojiingiza kwenye mabalaa ya kunyang'anya mali za watu tokea awali?

Piga uwa, utarudi kuuona ubovu tokea awamu ya kwanza. Huwezi kujenga nyumba ya ghorofa kumi kwenye misingi ya nyumba za chini. Nani aliiweka misingi mibovu kwa miaka 25 mfululizo?

Wewe unaifananisha Kenye ambayo haijajiingiza kwenye balaa ya usamaria mwema na sii tuliojiingiza kwenye mabalaa ya kunyang'anya mali za watu tokea awali?

Piga uwa, utarudi kuuona ubovu tokea awamu ya kwanza. Huwezi kujenga nyumba ya ghorofa kumi kwenye misingi ya nyumba za chini. Nani aliiweka misingi mibovu kwa miaka 25 mfululizo

Wewe unaifananisha Kenye ambayo haijajiingiza kwenye balaa ya usamaria mwema na sii tuliojiingiza kwenye mabalaa ya kunyang'anya mali za watu tokea awali?

Piga uwa, utarudi kuuona ubovu tokea awamu ya kwanza. Huwezi kujenga nyumba ya ghorofa kumi kwenye misingi ya nyumba za chini. Nani aliiweka misingi mibovu kwa miaka 25 mfululizo?
Tunaongelea wakati huu siyo huko nyuma. Vinginevyo tusingekuwa na matajiri waliotoka familia maskini kama wangebakia kulaumu wazazi hawakuwachia chochote.
Hivi nchi inakosa kitu gani kufanya nchi iwe zaidi ya poor leadership?
Mgodi wa Kiwira ulipoanza 1988 ulikuwa na uwezo wa kuzalisha 6MW kwa kutumia vumbi la makaa ya mawe, na zilikuwa nyingi kwa mgodi na kiasi kinachobaki kingeweza kuusadia mkoa wa mbeya japo baadaye Wilaya ya Kyela iliipata umeme huo. Sasa jiulize hawa watawala nini kwa ajili ya mgodi w
Wewe unaifananisha Kenye ambayo haijajiingiza kwenye balaa ya usamaria mwema na sii tuliojiingiza kwenye mabalaa ya kunyang'anya mali za watu tokea awali?

Piga uwa, utarudi kuuona ubovu tokea awamu ya kwanza. Huwezi kujenga nyumba ya ghorofa kumi kwenye misingi ya nyumba za chini. Nani aliiweka misingi mibovu kwa miaka 25 mfululizo?
Kwa hiyo wewe unajua Tanzania ni Nyerere tu? Unajua Hitler alivyoharibu uchumi wa ujerumani 1939-1945, wangekaa kama wewe kumlaumu Hitler wangefika hapo walipo leo? Huyo Nyerere mpaka anaondoka madarakani hakuwahi kuanzisha mgodi wowote mkubwa ukiacha mgodi wa almasi Mwadui ambao aliukuta kwani huo umeanza 1940, pamoja na kujua kuwepo kwa madini mengi sana hapa nchini.Hoja yake kubwa ilikuwa hawezi kuruhusu madini yachimbwe wakati hana wataalam wazawa wa kuyasimamia, kama angekuwa haipendi nchi hii asingekosa wa kuyachimba na yeye akafaidika.
Sasa waliofuata nyuma mwenyewe unajua kinachoendelea.
Mabadiliko huwa hayazuiwi na historia ni suala la utashi tu. Viongozi tulio nao leo wakitaka katiba mpya, 2024 haitaisha tutakuwa nayo.
Tatizo la umeme halina uhusiano na usamaria wa awamu ya kwanza,ni uzembe wa kipindi hiki unaotokana na uswahili mwingi pasipo kuchukua hatua. Maharage Chande alituambia maji yamepungua wakati ni uongo,waliomuweka walipoona ataumbuka wamemtoa maana kisingizio cha maji hakipo tena. Kwa nini wasitoke na kusema ukweli shida ni nini. Majuzi tunamsikia Makonda mtu mkubwa ndani ya ccm naye analalamika,maana yake hata wenye ilani hawajui tatizo la kukosekana umeme ni nini!!!
 
Tunaongelea wakati huu siyo huko nyuma. Vinginevyo tusingekuwa na matajiri waliotoka familia maskini kama wangebakia kulaumu wazazi hawakuwachia chochote.
Hivi nchi inakosa kitu gani kufanya nchi iwe zaidi ya poor leadership?
Mgodi wa Kiwira ulipoanza 1988 ulikuwa na uwezo wa kuzalisha 6MW kwa kutumia vumbi la makaa ya mawe, na zilikuwa nyingi kwa mgodi na kiasi kinachobaki kingeweza kuusadia mkoa wa mbeya japo baadaye Wilaya ya Kyela iliipata umeme huo. Sasa jiulize hawa watawala nini kwa ajili ya mgodi w

Kwa hiyo wewe unajua Tanzania ni Nyerere tu? Unajua Hitler alivyoharibu uchumi wa ujerumani 1939-1945, wangekaa kama wewe kumlaumu Hitler wangefika hapo walipo leo? Huyo Nyerere mpaka anaondoka madarakani hakuwahi kuanzisha mgodi wowote mkubwa ukiacha mgodi wa almasi Mwadui ambao aliukuta kwani huo umeanza 1940, pamoja na kujua kuwepo kwa madini mengi sana hapa nchini.Hoja yake kubwa ilikuwa hawezi kuruhusu madini yachimbwe wakati hana wataalam wazawa wa kuyasimamia, kama angekuwa haipendi nchi hii asingekosa wa kuyachimba na yeye akafaidika.
Sasa waliofuata nyuma mwenyewe unajua kinachoendelea.
Mabadiliko huwa hayazuiwi na historia ni suala la utashi tu. Viongozi tulio nao leo wakitaka katiba mpya, 2024 haitaisha tutakuwa nayo.
Tatizo la umeme halina uhusiano na usamaria wa awamu ya kwanza,ni uzembe wa kipindi hiki unaotokana na uswahili mwingi pasipo kuchukua hatua. Maharage Chande alituambia maji yamepungua wakati ni uongo,waliomuweka walipoona ataumbuka wamemtoa maana kisingizio cha maji hakipo tena. Kwa nini wasitoke na kusema ukweli shida ni nini. Majuzi tunamsikia Makonda mtu mkubwa ndani ya ccm naye analalamika,maana yake hata wenye ilani hawajui tatizo la kukosekana umeme ni nini!!!
Sijakuelewa point yako nini.
 
Back
Top Bottom