Watanzania wengi wana akili za Kitoto!

Burkinabe

JF-Expert Member
Feb 12, 2023
1,893
3,200
Nawasalimu wana jamvi, ni imani yangu mko vizuri kabisa na mnaendelea vyema na majukumu yenu ya Ujenzi wa Taifa.
Katika utafiti wangu usio rasmi, nimegundua kwamba akili za Watanzania wengi hazina tofauti na akili za kitoto!

Ukimpiga mtoto, ukampatia pipi halafu ukamuuliza aliyekupiga nani, lazima atanyoosha mkono kwa mtu mwingine na siyo wewe uliyempiga!

Haiwezekani matatizo yetu mengi yasababishwe na viongozi wa juu kabisa, halafu lawama zote tuwatwishe watendaji wa chini.

Hatuwezi kutatua matatizo yetu kama Taifa kwa kushughulika na matokeo badala ya kushughulika na kiini cha matatizo hayo.

Ili tuendelee, Watanzania tuachane na akili za kitoto na tuwaambie viongozi ukweli pale wanapotuumiza pasipo kupepesa macho.

Kwa mfano suala la mgawo wa umeme mbona awamu ya 5 lilibaki historia na Watanzania tukasahau mgawo wa umeme kwa muda mrefu?

Kwa mtizamo wangu, Rais wa awamu ya 5, hakupenda ujinga ujinga pale linapokuja suala la maslahi kwa Taifa. Hili la umeme sote tunakumbuka kile alichokisema bungeni kwamba kuna watu wanahujumu miundombinu ya umeme ili tu wanufaike aidha kwa kupewa fedha na wafanyabiashara wa majenereta au kwa kuuza majenereta yao moja kwa moja n.k.

Tuache ujinga, tuwe wazalendo.
 
Nawasalimu wana jamvi, ni imani yangu mko vizuri kabisa na mnaendelea vyema na majukumu yenu ya Ujenzi wa Taifa.
Katika utafiti wangu usio rasmi, nimegundua kwamba akili za Watanzania wengi hazina tofauti na akili za kitoto!

Ukimpiga mtoto, ukampatia pipi halafu ukamuuliza aliyekupiga nani, lazima atanyoosha mkono kwa mtu mwingine na siyo wewe uliyempiga!

Haiwezekani matatizo yetu mengi yasababishwe na viongozi wa juu kabisa, halafu lawama zote tuwatwishe watendaji wa chini.

Hatuwezi kutatua matatizo yetu kama Taifa kwa kushughulika na matokeo badala ya kushughulika na kiini cha matatizo hayo.

Ili tuendelee, Watanzania tuachane na akili za kitoto na tuwaambie viongozi ukweli pale wanapotuumiza pasipo kupepesa macho.

Kwa mfano suala la mgawo wa umeme mbona awamu ya 5 lilibaki historia na Watanzania tukasahau mgawo wa umeme kwa muda mrefu?

Kwa mtizamo wangu, Rais wa awamu ya 5, hakupenda ujinga ujinga pale linapokuja suala la maslahi kwa Taifa. Hili la umeme sote tunakumbuka kile alichokisema bungeni kwamba kuna watu wanahujumu miundombinu ya umeme ili tu wanufaike aidha kwa kupewa fedha na wafanyabiashara wa majenereta au kwa kuuza majenereta yao moja kwa moja n.k.

Tuache ujinga, tuwe wazalendo.
Unapoita watu wazima watoto inaonesha haujitambui na haujui unapambania nini .

Swala la kukatika kwa umeme hivi wewe unataka mwananchi atumie njia gani ili liwe solved?


Kuwa makini na hoja zako ambazo zimejaa dharau na kejeli ndani Yake.
 
Yule mwendazake ndio ametufikisha hapa kwa kupora uchaguzi akiamini analisaidia taifa kumbe analiangamiza ona sasa leo hatuna watu wa kuiwajibisha serikali

Ingekua enzi za mzee wa kasi na viwango au enzi za Anna naamini kabisa hata rais angekua ameshapigiwa kura ya kutokua na imani nae
 
Yule mwendazake ndio ametufikisha hapa kwa kupora uchaguzi akiamini analisaidia taifa kumbe analiangamiza ona sasa leo hatuna watu wa kuiwajibisha serikali

Ingekua enzi za mzee wa kasi na viwango au enzi za Anna naamini kabisa hata rais angekua ameshapigiwa kura ya kutokua na imani nae
Umewaza kwa kina sana, sijui kama wengi watakuelewa.
 
Nawasalimu wana jamvi, ni imani yangu mko vizuri kabisa na mnaendelea vyema na majukumu yenu ya Ujenzi wa Taifa.
Katika utafiti wangu usio rasmi, nimegundua kwamba akili za Watanzania wengi hazina tofauti na akili za kitoto!

Ukimpiga mtoto, ukampatia pipi halafu ukamuuliza aliyekupiga nani, lazima atanyoosha mkono kwa mtu mwingine na siyo wewe uliyempiga!

Haiwezekani matatizo yetu mengi yasababishwe na viongozi wa juu kabisa, halafu lawama zote tuwatwishe watendaji wa chini.

Hatuwezi kutatua matatizo yetu kama Taifa kwa kushughulika na matokeo badala ya kushughulika na kiini cha matatizo hayo.

Ili tuendelee, Watanzania tuachane na akili za kitoto na tuwaambie viongozi ukweli pale wanapotuumiza pasipo kupepesa macho.

Kwa mfano suala la mgawo wa umeme mbona awamu ya 5 lilibaki historia na Watanzania tukasahau mgawo wa umeme kwa muda mrefu?

Kwa mtizamo wangu, Rais wa awamu ya 5, hakupenda ujinga ujinga pale linapokuja suala la maslahi kwa Taifa. Hili la umeme sote tunakumbuka kile alichokisema bungeni kwamba kuna watu wanahujumu miundombinu ya umeme ili tu wanufaike aidha kwa kupewa fedha na wafanyabiashara wa majenereta au kwa kuuza majenereta yao moja kwa moja n.k.

Tuache ujinga, tuwe wazalendo.
We una akili za kizee, kamfuate huyo mfu wako we bwege
 
Nawasalimu wana jamvi, ni imani yangu mko vizuri kabisa na mnaendelea vyema na majukumu yenu ya Ujenzi wa Taifa.
Katika utafiti wangu usio rasmi, nimegundua kwamba akili za Watanzania wengi hazina tofauti na akili za kitoto!

Ukimpiga mtoto, ukampatia pipi halafu ukamuuliza aliyekupiga nani, lazima atanyoosha mkono kwa mtu mwingine na siyo wewe uliyempiga!

Haiwezekani matatizo yetu mengi yasababishwe na viongozi wa juu kabisa, halafu lawama zote tuwatwishe watendaji wa chini.

Hatuwezi kutatua matatizo yetu kama Taifa kwa kushughulika na matokeo badala ya kushughulika na kiini cha matatizo hayo.

Ili tuendelee, Watanzania tuachane na akili za kitoto na tuwaambie viongozi ukweli pale wanapotuumiza pasipo kupepesa macho.

Kwa mfano suala la mgawo wa umeme mbona awamu ya 5 lilibaki historia na Watanzania tukasahau mgawo wa umeme kwa muda mrefu?

Kwa mtizamo wangu, Rais wa awamu ya 5, hakupenda ujinga ujinga pale linapokuja suala la maslahi kwa Taifa. Hili la umeme sote tunakumbuka kile alichokisema bungeni kwamba kuna watu wanahujumu miundombinu ya umeme ili tu wanufaike aidha kwa kupewa fedha na wafanyabiashara wa majenereta au kwa kuuza majenereta yao moja kwa moja n.k.

Tuache ujinga, tuwe wazalendo.
Sasa si uwaunganishe watu wazima wenzie mbona unalialia kama mtoto tu na wewe
 
Nawasalimu wana jamvi, ni imani yangu mko vizuri kabisa na mnaendelea vyema na majukumu yenu ya Ujenzi wa Taifa.
Katika utafiti wangu usio rasmi, nimegundua kwamba akili za Watanzania wengi hazina tofauti na akili za kitoto!

Ukimpiga mtoto, ukampatia pipi halafu ukamuuliza aliyekupiga nani, lazima atanyoosha mkono kwa mtu mwingine na siyo wewe uliyempiga!

Haiwezekani matatizo yetu mengi yasababishwe na viongozi wa juu kabisa, halafu lawama zote tuwatwishe watendaji wa chini.

Hatuwezi kutatua matatizo yetu kama Taifa kwa kushughulika na matokeo badala ya kushughulika na kiini cha matatizo hayo.

Ili tuendelee, Watanzania tuachane na akili za kitoto na tuwaambie viongozi ukweli pale wanapotuumiza pasipo kupepesa macho.

Kwa mfano suala la mgawo wa umeme mbona awamu ya 5 lilibaki historia na Watanzania tukasahau mgawo wa umeme kwa muda mrefu?

Kwa mtizamo wangu, Rais wa awamu ya 5, hakupenda ujinga ujinga pale linapokuja suala la maslahi kwa Taifa. Hili la umeme sote tunakumbuka kile alichokisema bungeni kwamba kuna watu wanahujumu miundombinu ya umeme ili tu wanufaike aidha kwa kupewa fedha na wafanyabiashara wa majenereta au kwa kuuza majenereta yao moja kwa moja n.k.

Tuache ujinga, tuwe wazalendo.
Pamoja na wewe
 
Nawasalimu wana jamvi, ni imani yangu mko vizuri kabisa na mnaendelea vyema na majukumu yenu ya Ujenzi wa Taifa.
Katika utafiti wangu usio rasmi, nimegundua kwamba akili za Watanzania wengi hazina tofauti na akili za kitoto!

Ukimpiga mtoto, ukampatia pipi halafu ukamuuliza aliyekupiga nani, lazima atanyoosha mkono kwa mtu mwingine na siyo wewe uliyempiga!

Haiwezekani matatizo yetu mengi yasababishwe na viongozi wa juu kabisa, halafu lawama zote tuwatwishe watendaji wa chini.

Hatuwezi kutatua matatizo yetu kama Taifa kwa kushughulika na matokeo badala ya kushughulika na kiini cha matatizo hayo.

Ili tuendelee, Watanzania tuachane na akili za kitoto na tuwaambie viongozi ukweli pale wanapotuumiza pasipo kupepesa macho.

Kwa mfano suala la mgawo wa umeme mbona awamu ya 5 lilibaki historia na Watanzania tukasahau mgawo wa umeme kwa muda mrefu?

Kwa mtizamo wangu, Rais wa awamu ya 5, hakupenda ujinga ujinga pale linapokuja suala la maslahi kwa Taifa. Hili la umeme sote tunakumbuka kile alichokisema bungeni kwamba kuna watu wanahujumu miundombinu ya umeme ili tu wanufaike aidha kwa kupewa fedha na wafanyabiashara wa majenereta au kwa kuuza majenereta yao moja kwa moja n.k.

Tuache ujinga, tuwe wazalendo.
Mfano wako wa watoto hauna uhalisia kabisa. Wala hauleti maana yoyote kiuhalisia. Ni ujuha tu.

Pia maelezo yako ya uongozi kuwa ni mbovu, hilo nakukatalia kabisa.

Tanzania ni wazi kabisa kuwa uongozi uliokuwa mbovu ni ule wa awamu ya kwanza, ndiyo ulioweka misingi na ndiyo hadi leo hii katiba inayotumika Tanzania, msingi wa sheria na kanuni za kuendesha nchi, uliwekwa na awamu ya kwanza.

Tanzania watendaji ni wabovu kuanzia ukitoka tu nfazi ya uongozi wa juu, ambayo kiuhalisia haina njaa leo wala kesho. Imeshalindwa na katiba.

Utakuwa ni mjinga leo hii usitegemee kuwa utakapomchukuwa mtendaji ambae historia inaonesha toka alipotokea huko ni umasikini na njaa kali iliyomfanya kuwa na tamaa ya kila kitu umpe vimadarakakidogo halafu usitegemee kuwa hatafakamia na kulewa hayo madaraka.

Watendaji wazuri watatoka kwenye nasaba zilizoshiba siyo nasaba zenye njaa.
 
Nawasalimu wana jamvi, ni imani yangu mko vizuri kabisa na mnaendelea vyema na majukumu yenu ya Ujenzi wa Taifa.
Katika utafiti wangu usio rasmi, nimegundua kwamba akili za Watanzania wengi hazina tofauti na akili za kitoto!

Ukimpiga mtoto, ukampatia pipi halafu ukamuuliza aliyekupiga nani, lazima atanyoosha mkono kwa mtu mwingine na siyo wewe uliyempiga!

Haiwezekani matatizo yetu mengi yasababishwe na viongozi wa juu kabisa, halafu lawama zote tuwatwishe watendaji wa chini.

Hatuwezi kutatua matatizo yetu kama Taifa kwa kushughulika na matokeo badala ya kushughulika na kiini cha matatizo hayo.

Ili tuendelee, Watanzania tuachane na akili za kitoto na tuwaambie viongozi ukweli pale wanapotuumiza pasipo kupepesa macho.

Kwa mfano suala la mgawo wa umeme mbona awamu ya 5 lilibaki historia na Watanzania tukasahau mgawo wa umeme kwa muda mrefu?

Kwa mtizamo wangu, Rais wa awamu ya 5, hakupenda ujinga ujinga pale linapokuja suala la maslahi kwa Taifa. Hili la umeme sote tunakumbuka kile alichokisema bungeni kwamba kuna watu wanahujumu miundombinu ya umeme ili tu wanufaike aidha kwa kupewa fedha na wafanyabiashara wa majenereta au kwa kuuza majenereta yao moja kwa moja n.k.

Tuache ujinga, tuwe wazalendo.
Inawezekana kuna point nzuri unataka kuisema, lakini umewanyanyapaa watoto kijumlajumla sana.
 
Nawasalimu wana jamvi, ni imani yangu mko vizuri kabisa na mnaendelea vyema na majukumu yenu ya Ujenzi wa Taifa.
Katika utafiti wangu usio rasmi, nimegundua kwamba akili za Watanzania wengi hazina tofauti na akili za kitoto!

Ukimpiga mtoto, ukampatia pipi halafu ukamuuliza aliyekupiga nani, lazima atanyoosha mkono kwa mtu mwingine na siyo wewe uliyempiga!

Haiwezekani matatizo yetu mengi yasababishwe na viongozi wa juu kabisa, halafu lawama zote tuwatwishe watendaji wa chini.

Hatuwezi kutatua matatizo yetu kama Taifa kwa kushughulika na matokeo badala ya kushughulika na kiini cha matatizo hayo.

Ili tuendelee, Watanzania tuachane na akili za kitoto na tuwaambie viongozi ukweli pale wanapotuumiza pasipo kupepesa macho.

Kwa mfano suala la mgawo wa umeme mbona awamu ya 5 lilibaki historia na Watanzania tukasahau mgawo wa umeme kwa muda mrefu?

Kwa mtizamo wangu, Rais wa awamu ya 5, hakupenda ujinga ujinga pale linapokuja suala la maslahi kwa Taifa. Hili la umeme sote tunakumbuka kile alichokisema bungeni kwamba kuna watu wanahujumu miundombinu ya umeme ili tu wanufaike aidha kwa kupewa fedha na wafanyabiashara wa majenereta au kwa kuuza majenereta yao moja kwa moja n.k.

Tuache ujinga, tuwe wazalendo.
Sio za kitoto tu na za kijinga na upumbavu

Sent from my SM-A145R using JamiiForums mobile app
 
Nawasalimu wana jamvi, ni imani yangu mko vizuri kabisa na mnaendelea vyema na majukumu yenu ya Ujenzi wa Taifa.
Katika utafiti wangu usio rasmi, nimegundua kwamba akili za Watanzania wengi hazina tofauti na akili za kitoto!

Ukimpiga mtoto, ukampatia pipi halafu ukamuuliza aliyekupiga nani, lazima atanyoosha mkono kwa mtu mwingine na siyo wewe uliyempiga!

Haiwezekani matatizo yetu mengi yasababishwe na viongozi wa juu kabisa, halafu lawama zote tuwatwishe watendaji wa chini.

Hatuwezi kutatua matatizo yetu kama Taifa kwa kushughulika na matokeo badala ya kushughulika na kiini cha matatizo hayo.

Ili tuendelee, Watanzania tuachane na akili za kitoto na tuwaambie viongozi ukweli pale wanapotuumiza pasipo kupepesa macho.

Kwa mfano suala la mgawo wa umeme mbona awamu ya 5 lilibaki historia na Watanzania tukasahau mgawo wa umeme kwa muda mrefu?

Kwa mtizamo wangu, Rais wa awamu ya 5, hakupenda ujinga ujinga pale linapokuja suala la maslahi kwa Taifa. Hili la umeme sote tunakumbuka kile alichokisema bungeni kwamba kuna watu wanahujumu miundombinu ya umeme ili tu wanufaike aidha kwa kupewa fedha na wafanyabiashara wa majenereta au kwa kuuza majenereta yao moja kwa moja n.k.

Tuache ujinga, tuwe wazalendo.
uko sahihi kabisa
 
Unapoita watu wazima watoto inaonesha haujitambui na haujui unapambania nini .

Swala la kukatika kwa umeme hivi wewe unataka mwananchi atumie njia gani ili liwe solved?


Kuwa makini na hoja zako ambazo zimejaa dharau na kejeli ndani Yake.
Mkuu, kwani wewe unafaidika/kunufaika na jinsi mambo yanavyoenda?
Kama ni mnufaika, naomba unisamehe.
Hata hivyo mara zote umekuwa negative sana kwa post zangu hapa jamvini!
 
Yule mwendazake ndio ametufikisha hapa kwa kupora uchaguzi akiamini analisaidia taifa kumbe analiangamiza ona sasa leo hatuna watu wa kuiwajibisha serikali

Ingekua enzi za mzee wa kasi na viwango au enzi za Anna naamini kabisa hata rais angekua ameshapigiwa kura ya kutokua na imani nae
Achana na wafu ambao hawajui chochote na hawawezi kujitetea, shughulika na walio hai wanafanya maisha yetu kuwa magumu siku kwa siku.
Vinginevyo na wewe uko kati ya hao wengi wenye akili za kitoto
 
We una akili za kizee, kamfuate huyo mfu wako we bwege
Sawa, ila kama wewe ni kati ya mnaotuhujumu, badilikeni bhana, mnazingua sana.
Haiwezekani kuwafanya wenzenu waishi maisha magumu kwa maslahi yenu binafsi.
 
Back
Top Bottom