L'AMOUR
Senior Member
- Mar 8, 2011
- 110
- 24
Nadhani mleta mada hii si mtanzania na sijui anasemaje kama tulikuwa na naibu katibu mkuu wa UN mtanzania. Je kazi hakufanya? Vipi kwa wanasiasa wazalendo wanaotaka kutetea taifa na wanalishwa sumu na hao wanaotaka Tanzania iendelee kudharaurika? Kiukweli watanzania kinachowaponza ni utu wao wa kuthamini wageni na sio kitu kingine. Uzalendo wao unawafanya wakubali malipo madogo kwa kuwa hawataki kuvuruga amani. Lakini siku inakuja yatatokea kama ya afrika kusini maana imefika wageni kututukana wakiwa nchini mwetu hapa hasa hawa wakenya na wahindi. Kama mtoa mada sio mzalendo aangalie asije amsha hasira za watanzania hapa.