Uvivu wa wafanyakazi katika serikali kuu inatokana na dhana kuwa ukishaajiriwa huwezi kufukuzwa.
Wafanyakazi wa serikali wana tabia ya urasimu a.k.a umangimeza (Bureaucrasy).
Pia wafanyakazi wa serikali hawajibu barua au email za watu yaani wanaogopa kutoa information 'conservativu' - Ila ukienda physically unatoa chochote na information unapewa.
Unakuta mfanyakazi amekalia ofisi na hataki mtu mwingine aguse kitu, na yeye hataki kufanya kazi. Ukiwa mbunifu ndo unakuwa adui.
Unakuta watu wameajiriwa miaka ya 1970 - 1980 na hawataki ajira zitoke kwa vijana wa Vyuo Vikuu.
Serikali yetu imelala fofofo, ni tofauti na KENYA, ZANZIBAR, South Africa, USA, UK. Hawa ukiwaandikia email unapata majibu in 72 Hours maximum.
Sasa hapa kwetu Tanzania utangoja mwezi mzima na hupati majibu, ukipiga simu hamna jibu. Ukienda mwenyewe na Rushwa yako mkononi unapata kila kitu.
Tunakwenda wapi Tanzania?
Ni kweli sisi wavivu sana, unakuta bwana mdogo ameanza kazi mpya mpya ana miezi miachache tu lakini akienda lunch hadi bosi wake aanze kumpigia simu anamtafuta yupo wapi :thinking:
hilo ni sahihi kabisa.sio huko vijiweni tu hata hapa JF pia.mijadala ya siasa inawachangiaji wengi sana.jamaa mmoja aliwahi niambia tz inaongoza kwa wasomi wa political sciance kuliko taaluma zingine.Ukiwa una compare Tanzania na nchi jirani kama kenya ama Uganda ama Rwanda utangundua kua watanzania ni wavivu kwa asilimia kubwa sana tofauti na mataifa mengine.
kunasiku Mkapa alitoa hii kauli lakini watu walimshambulia sana , lakini mimi naamini ukweli una uma na ndio maana walimshambulia. watanzania tunapenda kupiga stori tunapenda kushadadia mambo na tunachukia mambo ya kuumiza akili.
mfano mdogo tu ni unaweza kuta kijana ni graduate lakini eti ana kaa nyumbani akisingizia hana kazi na anasubiri mpaka eti kazi zitangazwe na ndipo afanye application. huyu kijana angeweza kufanya kazi yakujitolea hata sehemu yeyote ambayo ingemsaidia hata kupata kujuana na watu zaidi na hata kua na experience zaidi lakini ana oana haina maana kama kukaa nyumbani.
mfano mwingine una kuta mtu kaajiriwa ofisini lakini kufanya kwake kazi mapaka asukumwe mara kwamara . Napenda sana wakenya wanavyo fanya kazi wko so smart na hakuna mchezomchezo mara viruhusa vya hapanapale mara hayupo offisini. kusema kweli East Africa community ita tufanya tuwe watumwa wakenya kama tusipo angalia nafasi zote nyeti zitashikwa na wakenya na sisi tutabaki tunapiga kelele za umbeya na ushabiki.
Hii issue ilitokea south Africa ambapo wazungu walikua wana waajiri watu ambao walikua wanaona wana weza fanya kazi na baada ya muda ikawa wa south afrika wengi hawapo kwenye nafasi zajuu, ndo ikaja ile vita ya wahamiaji.
ukiongelea mambo ya siasa Tanzania utapata mashabiki kibao lakini ongelea swala la kumputer imetengenezwa vipi ama gari limetengenezwa vipi ama ni lini nasisi tutakua na kiwanda chetu. kusema kweli unaweza usipate mchango wowote. angalia tu ishu ya kanumba ilivyo chukua mudamrefu ikiongelewa lakini sijawahi sikia hata sikumoja kitu chochote chauvumbuzi kikiwa kinaongelewa hata kwa sikumoja.
Jamani Tanzania tubadilike tufanye kazi tuachane na uvivu. sisemi tusiongelee siasa kabisa hapana namaanisha kua angalau tuwe pia na vitu vyauvumbuzi amabavyo vitatuzaidia
Ukiwa una compare Tanzania na nchi jirani kama kenya ama Uganda ama Rwanda utangundua kua watanzania ni wavivu kwa asilimia kubwa sana tofauti na mataifa mengine.
kunasiku Mkapa alitoa hii kauli lakini watu walimshambulia sana , lakini mimi naamini ukweli una uma na ndio maana walimshambulia. watanzania tunapenda kupiga stori tunapenda kushadadia mambo na tunachukia mambo ya kuumiza akili.
mfano mdogo tu ni unaweza kuta kijana ni graduate lakini eti ana kaa nyumbani akisingizia hana kazi na anasubiri mpaka eti kazi zitangazwe na ndipo afanye application. huyu kijana angeweza kufanya kazi yakujitolea hata sehemu yeyote ambayo ingemsaidia hata kupata kujuana na watu zaidi na hata kua na experience zaidi lakini ana oana haina maana kama kukaa nyumbani.
mfano mwingine una kuta mtu kaajiriwa ofisini lakini kufanya kwake kazi mapaka asukumwe mara kwamara . Napenda sana wakenya wanavyo fanya kazi wko so smart na hakuna mchezomchezo mara viruhusa vya hapanapale mara hayupo offisini. kusema kweli East Africa community ita tufanya tuwe watumwa wakenya kama tusipo angalia nafasi zote nyeti zitashikwa na wakenya na sisi tutabaki tunapiga kelele za umbeya na ushabiki.
Hii issue ilitokea south Africa ambapo wazungu walikua wana waajiri watu ambao walikua wanaona wana weza fanya kazi na baada ya muda ikawa wa south afrika wengi hawapo kwenye nafasi zajuu, ndo ikaja ile vita ya wahamiaji.
ukiongelea mambo ya siasa Tanzania utapata mashabiki kibao lakini ongelea swala la kumputer imetengenezwa vipi ama gari limetengenezwa vipi ama ni lini nasisi tutakua na kiwanda chetu. kusema kweli unaweza usipate mchango wowote. angalia tu ishu ya kanumba ilivyo chukua mudamrefu ikiongelewa lakini sijawahi sikia hata sikumoja kitu chochote chauvumbuzi kikiwa kinaongelewa hata kwa sikumoja.
Jamani Tanzania tubadilike tufanye kazi tuachane na uvivu. sisemi tusiongelee siasa kabisa hapana namaanisha kua angalau tuwe pia na vitu vyauvumbuzi amabavyo vitatuzaidia
uzalendo unalazimishwa mkuu uliza marekani na china kwa hiyo viongozi wako ndo wameshindwa kuongoza vyema wananchi wao!mikonomiwili,
Nakuunga mikono miwili wacha mmoja.
Watanzania ni wavivu wa kutupwa. Makazini kila siku isingizio, leo kafa shangazi, kesho mjomba, kesho kutwa jirani, mtondo bibi.
Wote huo ni uvivu tu. Sasa wakifa ukienda wewe ndio watafufuka? kaa kazini ukimaliza muda wako wa kazi nenda. Ukiwaambia hivyo wanakwambia "huna imani". Sasa imani kwenye kifo?
Ndio maana hatuendelei. Ni mfumo mbaya wa kuwa kila kitu cha umma ndiyo umeua uwajibikaji.
Mijitu imekaa inataka kufanyiwa tu, viongozi wafanye hivi viongozi wafanye vile.
Mimi ningepiga marufuku hawa wagombea ubunge na wabunge wote kujidai kwenda kupeleka sijui mabati, sijui simenti, Huu mfumo ndio unauwa uwajibikaji na unaendeleza uvivu.
Leo unakuta kijiji kinauza mbao lakini hakina madesk kwenye shule zake. Huu ni uvivu wa hali ya juu.
Hili ndo tatizo mkuu kuwa na mi HR kibao halafu inakuwa na akili za wizi tuuu!hilo ni sahihi kabisa.sio huko vijiweni tu hata hapa JF pia.mijadala ya siasa inawachangiaji wengi sana.jamaa mmoja aliwahi niambia tz inaongoza kwa wasomi wa political sciance kuliko taaluma zingine.