Watanzania Wawili wakamatwa South Africa na Madawa

pole yao, ila ni bora walivyokamatwa tupunguze hili janga
Jamani wana jamvi usiombe familia yako ikakumbwa na mteja.........ni janga.

wafungwe tuu na wengine wakamatwe zaidi
 
stay tuned wema sepetu
ana jeuri ya pesa while hakuna biashara au chochote kinachoonesha vyanzo vya mapato yake watakuwa ndo mabegi(wanaobebeshwa ngada hao)
MUNGU tuokoe vijana tunakufa kwa ngada na pia tunapotea kwa ngada
R.I.P NGWEAR
R.I.P LANGA
acha kula madawa TID
acha kula madawa RAY C
acha kula madawa QCHILA
acha kula madawa MSAFIRI DIOF
acha kula madawa BANZA STONE
acha kubeba madawa NYANDU TOZI
acha kubeba madawa MR BLUE
acha kubeba madawa SUMA LEE
 
Hii habari haijanistua(tumezoea sasa) lakini yaliyojadiliwa humu na akina Matola yamenichosha!

Cc Muuza Sura
 
Last edited by a moderator:
Hii inaonyesha jinsi gani maofisa wetu walivyo wazembe kiutendaji,haiwezekani huku madawa yasikamatwe kule yakamatwe.This is a lesson to our officers
 
Halafu Maboss wenyewe wametulia tuliii huko Masaki wakiendesha magari ya bei mbaya na kujisifu FB.

Kibaya zaidi unaweza kukuta wakitoka nje, wanadaiwa gharama za madawa hayo na itabidi warudi tena kuwa Punda.
There are so many ways nowadays to make money.

So why sell dope or be used as mule by anyone?

That's juts stupid.
 
Wakikamatwa zao, zikiuzwa pesa zet tunagawana.....wataozea jela! Nabaki na shilingi zangu tu mtaani miye
 
 

hapo ndio utajua tanzania ni nchi ya ajabu sana na niwazi ma Agent wako wanacheki mchezo na hawezi kuwataja na yule anatumiwa kabisa na ni wakubwa wana husika kwenye hili swala ndio maana wanaweza kupitisha mzigo mkubwa kiasi hiki na tanzania ni nchi ya kupiga kelele bila vitendo vyovyote. huyu msichana waliomtuna na anao shirikiana nao wengine wapo tanzania kabisa na wanamcheck tuu.
 
Matola bado nina wasi wasi na hayo madawa yaliyo andikwa hapo, ngoja nianze kufatilia
 
Last edited by a moderator:
Kama ni kweli pole sana Agnes
 

Attachments

  • uploadfromtaptalk1373384121714.jpg
    12.4 KB · Views: 220
anyongwe kabisa ili iwe fundisho kwa wapenda mtelezo bila jasho, haina haja ya kumhurumia
 
Hivi ni rais gani vile aliyesema anawajua wauza unga tena vigogo? na akasema atawataja? na kwa nini hawataji wakati wanawaponza vijana wadogo namna hii na kuwapotezea dira zao?

Mungu ni samehe huwa nina wasi wasi na mali za wema sepetu ni kilinganisha na kazi zake.
 
Hivi tanzania agness gerard ni mmoja tuu hamna wengina nan anapicha za usibitisho kuwa ni huyo video qeen...nawasilisha
 
Hii inaonyesha jinsi gani maofisa wetu walivyo wazembe kiutendaji,haiwezekani huku madawa yasikamatwe kule yakamatwe.This is a lesson to our officers
Hakuna uzembe mkuu ni rushwa tu inatawala. hebu tujiulize wanapitaje hapa uwanja wa ndege , ina maana kama kuna uzembe wa wanaoenda nje, je wanaoingia si wanaingiza kirahisi kabisa. Na kipindi hiki hii biashara imekithiri mno yaani kila mara utasikia mtz kakamatwa nchi flani na unga. Hebu tujiulize inakuaje watu wanaendelea kuthubutu kuendelea na biashara wakati tayari kuna wengi tumewaona kwenye vyombo vya habari wakikabiliwa na janga la aina hii nje ya nchi ie wamekamatwa na madawa. Nadhani kuna mkono wa watu nyuma ya mabinti wa aina hii, haiwezekani ikawa wako peke yao . Nadhani wanatumika kama wasafirishaji tu naa huenda hata mmiliki hawamjui. Tumefika pabaya watanzania sasa hivi tutakua tunaogopwa tunaposafiri inataka kua kama Nigeria.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…