Kaenda bukoba kutoa kafara wa kiongozi wa chama au? Maana nasikia wanafika tuuh jamaa naye anadanja! Hauoni hizi ni siasa za gizaWana wewwseka kusikia kipenzi cha watanzania yuko bukoba kwa wahanga wa tetemeko. Iptl mzee kalipeni hela mnadaiwa
Bali mtazamo au sio braza Kaka?!Unahitaji kuwa mwendawazimu kuendelea kuwaunga mkono Chadema baada ya sarakasi zile za 2015. In short CCM ina miaka mingi ya kutawala na wanajua namna ya kuwa handle wapinzani hasa kipindi hiki ambacho huko upinzani wamejaa mamluki ambao wamefanikiwa kudhibiti kasi ya wazalendo wa kweli. Nawashauri vijana ambao bado wana matumaini na hawa wanasiasa wajali maisha yao hadi tutapopata watu serious na si wapiga deal ndio msimame kuing'oa CCM madarakani lakini si kupitia akina Mbowe na Lissu.
Unafiki wangu ipo siku utauona ukweli!Unafki unafki