Watanzania wana hofu!

Watanzania wana hofu!

Robert Heriel Mtibeli

JF-Expert Member
Joined
Mar 24, 2018
Posts
38,237
Reaction score
88,521
Habari Wakuu!

Bado nafuatilia hofu aliyonayo mtanzania. Hofu ya kisiasa. Wasiwaai na kutokuaminiana. Awamu ya tano Watu walikuwa na hofu ya usalama wao, nazungumzia uhai wao na Uhuru wao. Awamu hii Watu wanahofu ya Rasilimali zao.
Hofu
Wasiwasi
Mashaka!

Mali zetu jamani zinaibiwa. Oooh! Itakuwaje yule kateuliwa pale, ni jizi na fisadi mwenye vyeti vya Wizi. Oooh! Mkataba Fulani umeingiwa, uuuuwiii! Tumepigwa! Hofu! Vilio! Mashaka! Hofu ya kisiasa.

Nini kifanyike?
Ni lazima apatikane kiongozi ambaye atawatoa Watanzania hofu, wajione wapo salama, wao, Uhuru wao na Rasilimali zao. Kiongozi ambaye atawafanya watanzania wajihisi salama.

Kiongozi huyu yupo au hayupo?
Kiongozi huyo kama hayupo atapatikana wapi? Kina Nani watakuwa Wasaidizi wa kiongozi huyo? Bila Shaka lazima wawe Watu waadilifu, wazalendo, ambao hawana tamaa na uroho wa Mali.

Nipumzike sasa.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
 
Awamu ya tano Watu walikuwa na hofu ya usalama wao, nazungumzia uhai wao na Uhuru wao. Awamu hii Watu wanahofu ya Rasilimali zao.
Waliokuwa na hofu awamu hiyo ndio hao wezi wa rasilimali ambao waliwekewa vikwazo.
Leo hii wenye hofu ni watu wa kawaida kabisa ambao hawajui hatma za maisha yao, watu wa vipato vya chini!😃
Acheni nchi iuzwe!
 
Nyakati nyingine tunahisi viongozi wanahusika moja kwa moja na kufaidika kumbe Bahati mbaya ugatuzi wa madaraka umezipa taasisi na mashirika kujitegemea na kujiendesha hivyo ufisadi unaweza kuwa unaanzia kulekule Chini kwa watendaji wakurugenzi,maafisa manunuzi,mameneja,wahasibu,wakuu wa vitengo wote hao wanapiga ajabu na ni ndugu zetu ama ni sisi wenyewe serikali imewaamini wafanye kazi .waziri kweli kwemye madeal makubwa huenda akajipachika ila hapati bila sign za wakuu wa Chini yake
 
Nchi Iko salama .... politically, economically, socially.

Acha wenge ......piga kazi
 
Habari Wakuu!

Bado nafuatilia hofu aliyonayo mtanzania. Hofu ya kisiasa. Wasiwaai na kutokuaminiana.
Awamu ya tano Watu walikuwa na hofu ya usalama wao, nazungumzia uhai wao na Uhuru wao. Awamu hii Watu wanahofu ya Rasilimali zao.
Hofu
Wasiwasi
Mashaka!

Mali zetu jamani zinaibiwa,
Oooh! Itakuwaje Yule kateuliwa pale, ni jizi na fisadi mwenye vyeti vya Wizi. Oooh! Mkataba Fulani umeingiwa, uuuuwiii! Tumepigwa!
Hofu! Vilio! Mashaka! Hofu ya kisiasa.

Nini kifanyike?
Ni lazima apatikane kiongozi ambaye atawatoa Watanzania hofu, wajione wapo salama, wao, Uhuru wao na Rasilimali zao. Kiongozi ambaye atawafanya watanzania wajihisi salama.

Kiongozi huyu yupo au hayupo?
Kiongozi huyo kama hayupo atapatikana wapi?
Kina Nani watakuwa Wasaidizi wa kiongozi huyo?
Bila Shaka lazima wawe Watu waadilifu, wazalendo, ambao hawana tamaa na uroho wa Mali.

Nipumzike sasa.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Usiwe na HOFU Tanzania ipo salama chini ya BUNGE la CHAMA kimoja hakuna KAMBI ya UPINZANI wale 19 SIO Wapinzani WAPO kwa FAIDA ya CCM ndio maana Licha ya KUTOKUWA na CHAMA lakini bado ni WABUNGE Mishahara na POSHO wanalipwa hawana Madhara
Miswaada tena ya Dharura inapelekwa na kupitishwa KIULAINI hakuna Mbunge wa KUPINGA ni mwendo wa HOJA kuungwa MKONO
na Bandari yetu hiyoooo inamilikishwa MWARABU
 
Waliokuwa na hofu awamu hiyo ndio hao wezi wa rasilimali ambao waliwekewa vikwazo.
Leo hii wenye hofu ni watu wa kawaida kabisa ambao hawajui hatma za maisha yao, watu wa vipato vya chini!😃
Acheni nchi iuzwe!

Ni Kwa nini mnahofu? Au mnajitia hofu kuhusu rasilimali zenu?
 
Habari Wakuu!

Bado nafuatilia hofu aliyonayo mtanzania. Hofu ya kisiasa. Wasiwaai na kutokuaminiana. Awamu ya tano Watu walikuwa na hofu ya usalama wao, nazungumzia uhai wao na Uhuru wao. Awamu hii Watu wanahofu ya Rasilimali zao.
Hofu
Wasiwasi
Mashaka!

Mali zetu jamani zinaibiwa. Oooh! Itakuwaje yule kateuliwa pale, ni jizi na fisadi mwenye vyeti vya Wizi. Oooh! Mkataba Fulani umeingiwa, uuuuwiii! Tumepigwa! Hofu! Vilio! Mashaka! Hofu ya kisiasa.

Nini kifanyike?
Ni lazima apatikane kiongozi ambaye atawatoa Watanzania hofu, wajione wapo salama, wao, Uhuru wao na Rasilimali zao. Kiongozi ambaye atawafanya watanzania wajihisi salama.

Kiongozi huyu yupo au hayupo?
Kiongozi huyo kama hayupo atapatikana wapi? Kina Nani watakuwa Wasaidizi wa kiongozi huyo? Bila Shaka lazima wawe Watu waadilifu, wazalendo, ambao hawana tamaa na uroho wa Mali.

Nipumzike sasa.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Watanzania tuache ugonjwa wa kuwasifia viongozi wabovu kwa kuwapamba sifa wasiokuwa nazo. Mtu anavuruga nchi mijinga inaimba anaupiga mwingi
 
Watanzania tuache ugonjwa wa kuwasifia viongozi wabovu kwa kuwapamba sifa wasiokuwa nazo. Mtu anavuruga nchi mijinga inaimba anaupiga mwingi

Labda ndivyo waonavyo Mkuu. Nchi ya demokrasia Hii.
Wao wanaona unapigwa mwingi. Wengine wanaona ndivyo sivyo
 
Habari Wakuu!

Bado nafuatilia hofu aliyonayo mtanzania. Hofu ya kisiasa. Wasiwaai na kutokuaminiana. Awamu ya tano Watu walikuwa na hofu ya usalama wao, nazungumzia uhai wao na Uhuru wao. Awamu hii Watu wanahofu ya Rasilimali zao.
Hofu
Wasiwasi
Mashaka!

Mali zetu jamani zinaibiwa. Oooh! Itakuwaje yule kateuliwa pale, ni jizi na fisadi mwenye vyeti vya Wizi. Oooh! Mkataba Fulani umeingiwa, uuuuwiii! Tumepigwa! Hofu! Vilio! Mashaka! Hofu ya kisiasa.

Nini kifanyike?
Ni lazima apatikane kiongozi ambaye atawatoa Watanzania hofu, wajione wapo salama, wao, Uhuru wao na Rasilimali zao. Kiongozi ambaye atawafanya watanzania wajihisi salama.

Kiongozi huyu yupo au hayupo?
Kiongozi huyo kama hayupo atapatikana wapi? Kina Nani watakuwa Wasaidizi wa kiongozi huyo? Bila Shaka lazima wawe Watu waadilifu, wazalendo, ambao hawana tamaa na uroho wa Mali.

Nipumzike sasa.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Ujaweka namba ya simu mkuu! Au umesahau?
 
Nchi Iko salama .... politically, economically, socially.

Acha wenge ......piga kazi
Huo usalama sasa
FB_IMG_1686162083680.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom