MK254
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 31,650
- 48,415
Kuna huyu mbunge wa Tanzania ambaye ni CCM kindakindaki anayeitwa Hamis Kigwangalla, ameshauri waondoe hicho kitu walichoweka kwenye hospitali ya taifa ya Muhimbili na kuanza kukumbatia mifumo na mbinu za kisayansi ili kukabiliana na corona.
Inachekesha sana maana hawa waliimba sana mapambio, ni kama wamepata uhuru wa kuanza kutumia ubongo ghafla......
Kuna yule mwingine anayeitwa Jaffo ambaye ndiye alikua kiongozi wa nyungu, siku hizi ni full barakoa
Inachekesha sana maana hawa waliimba sana mapambio, ni kama wamepata uhuru wa kuanza kutumia ubongo ghafla......
Kuna yule mwingine anayeitwa Jaffo ambaye ndiye alikua kiongozi wa nyungu, siku hizi ni full barakoa