johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,915
- 141,874
Watanzania waliokwama nchini India na hatimaye serikali ya CCM kutuma ndege ya ATCL ikawachukue kuwarejesha nyumbani wamewasili salama.
Mara baada ya kuwasili wataalamu wa maabara kuu wamechukua sampuli zao ili kujiridhisha kama kweli hawana maambukizi ya Covid 19 na majibu yao watayapata kesho.
Awali watanzania hao walichukuliwa vipimo nchini India kabla ya kupanda ndege na kuonekana wapo salama.
Maendeleo hayana vyama!
Mara baada ya kuwasili wataalamu wa maabara kuu wamechukua sampuli zao ili kujiridhisha kama kweli hawana maambukizi ya Covid 19 na majibu yao watayapata kesho.
Awali watanzania hao walichukuliwa vipimo nchini India kabla ya kupanda ndege na kuonekana wapo salama.
Maendeleo hayana vyama!