Mwali
JF-Expert Member
- Nov 9, 2011
- 7,014
- 5,610
Salaam kwa wote, Eid Mubarak kwa ndugu zangu waislam!
shkamoo kwa wakubwa na maaraba kwa wdogo zangu wote.
Wanajamvi, kuna mdogo wangu anasoma Kenya,
kanipigia sim kuniuliza kuhusu sensa, na hizi ID mpya.
Anataka kujua inakuaje kwa watanzania wanao ishi nje ya nchi?
itabidi arudi au kuna utaratibu wowote wa serikali kuwasajili hao compatriotes walio nje?
Huyu mdogo wangu ni Mtanzania ila familia yake
ilihamia Kenya toka 2002, yeye akiwa bado 9 years.
Kwa muda wote huu alikua akitumia ID ya baba yake (Baba Mkubwa kwangu)
na sasa ana miaka 19. Alipoenda kujiunga university walimlazimisha kupeleka ID,
akapeleka his EAC passeport, na ikakubaliwa.
That is the only ID he has. inatosha kwa kupata ID mpya?
hana hata cheti cha kuzaliwa, kilipotea wakati wa kuhama.
Ba mkubwa nae anatumia passport ya dharura
(emergency travelling document, ile ya karatasi A4).
mdogo wangu angependa kutumia nafasi hii ya sensa
au usajili wa ID mpya kutafuta passport mpya
maana amepanga kuendelea masomo yake ughaibuni.
Nawaombeni wana JF, nisaidieni kuelewa yafwatayo:
Asanteni wote kwa majibu mtakayo toa.
shkamoo kwa wakubwa na maaraba kwa wdogo zangu wote.
Wanajamvi, kuna mdogo wangu anasoma Kenya,
kanipigia sim kuniuliza kuhusu sensa, na hizi ID mpya.
Anataka kujua inakuaje kwa watanzania wanao ishi nje ya nchi?
itabidi arudi au kuna utaratibu wowote wa serikali kuwasajili hao compatriotes walio nje?
Huyu mdogo wangu ni Mtanzania ila familia yake
ilihamia Kenya toka 2002, yeye akiwa bado 9 years.
Kwa muda wote huu alikua akitumia ID ya baba yake (Baba Mkubwa kwangu)
na sasa ana miaka 19. Alipoenda kujiunga university walimlazimisha kupeleka ID,
akapeleka his EAC passeport, na ikakubaliwa.
That is the only ID he has. inatosha kwa kupata ID mpya?
hana hata cheti cha kuzaliwa, kilipotea wakati wa kuhama.
Ba mkubwa nae anatumia passport ya dharura
(emergency travelling document, ile ya karatasi A4).
mdogo wangu angependa kutumia nafasi hii ya sensa
au usajili wa ID mpya kutafuta passport mpya
maana amepanga kuendelea masomo yake ughaibuni.
Nawaombeni wana JF, nisaidieni kuelewa yafwatayo:
- Ni lazima a-participate katika sensa? anaweza kuparticipate ubalozini?
- Atapataje ID mpya? aende ubalozini au arudi Tanzania?
- Itakua rahisi/ngumu kiasi gani kwake kupata passport ikiwa hapati ID mpya (Kumbuka hana cheti cha kuzaliwa, ana EAC passport peke yake)
Asanteni wote kwa majibu mtakayo toa.