Huzuni WATANZANIA, huzuni sana, tumechoka waTz kulaghaiwa, tulisika Ari mpya na zaidi, iko wapi? tulisikia Nguvu mpya na zaidi, iko wapi? tulisikia kasi mpya na zaidi, iko wapi? tulisikia maisha bora, yako wapi? Kama yapo maeneo yenu si vibaya wanajf mnitel hapa jamvini, huku kwetu nasema hakuna kitu wakuu.
Uchumi unamilikiwa na wachache, ajira kwa vijana ni shida sana, watoto wa vigogo wanapendelewa, wamanchinga wanasakwa kila kona na wamekuwa kama wakimbizi kwenye nchi yao, na mikataba inafanywa kwa siri kubwa, na tenda kutolewa kwa upendeleo, JAMANI WATZ MAGAMBA HAWATUFAI HATA KIDOGO TUWAMWAGE KWELI.
CCM imeshindwa kukomesha wala rushwa na mafisadi. Dawa yao CDM YULE PALE MKOMESHA MAFISADI wananchi wote, Tanzania nzima tuungane kwa pamoja katika historia mpya ya ukombozi wa taifa letu kutoka mikononi mwa wakoloni weusi magamba.
Uchumi unamilikiwa na wachache, ajira kwa vijana ni shida sana, watoto wa vigogo wanapendelewa, wamanchinga wanasakwa kila kona na wamekuwa kama wakimbizi kwenye nchi yao, na mikataba inafanywa kwa siri kubwa, na tenda kutolewa kwa upendeleo, JAMANI WATZ MAGAMBA HAWATUFAI HATA KIDOGO TUWAMWAGE KWELI.
CCM imeshindwa kukomesha wala rushwa na mafisadi. Dawa yao CDM YULE PALE MKOMESHA MAFISADI wananchi wote, Tanzania nzima tuungane kwa pamoja katika historia mpya ya ukombozi wa taifa letu kutoka mikononi mwa wakoloni weusi magamba.