bahati93
JF-Expert Member
- Aug 6, 2015
- 1,455
- 2,751
Ndungu zangu tujenge utamaduni wa kukomba chakula kwenye sufuria au sahani. Haiwezekan wakati binadamu kwenye mataifa mengine wanalia njaa, huku sisi tunatupa vyakula.
ona chakula kingi kilivyobaki, hii si sawa nimemwambia binti achukue maji ya kunywa asuuze anikusanyie viukoko kwenye kikombe aniletee ninywe.
Miaka inayokuja mbeleni haisomeki kabisa, Mimi nimeanza sasa kujiandaa, Wewe je?
ona chakula kingi kilivyobaki, hii si sawa nimemwambia binti achukue maji ya kunywa asuuze anikusanyie viukoko kwenye kikombe aniletee ninywe.
Miaka inayokuja mbeleni haisomeki kabisa, Mimi nimeanza sasa kujiandaa, Wewe je?