Utafiti usio rasmi unaonyesha kuwa Watanzania wapo tayari kwa tozo endapo tozo hizo zikienda moja kwa moja kwenye matibabu bure kwa watanzania wote lakini si vinginevyo.
Kuna watanzania wanateseka na magonjwa mbalimbali na hawana uwezo wa kugharamikia matibabu hata kwenye magonjwa madogo madogo.
Serikali ikielekeza tozo kwenye matibabu bure kwa watanzania wote hutasikia wananchi wanalalamika na watakubaliana na tozo kwa moyo mmoja.
Kuna watanzania wanateseka na magonjwa mbalimbali na hawana uwezo wa kugharamikia matibabu hata kwenye magonjwa madogo madogo.
Serikali ikielekeza tozo kwenye matibabu bure kwa watanzania wote hutasikia wananchi wanalalamika na watakubaliana na tozo kwa moyo mmoja.