Opportunity Cost
JF-Expert Member
- Dec 10, 2020
- 9,035
- 6,907
Kwa nini anawaacha asiwapelekee moto? Ukifuga nyoka ujiandae kwa bite
Unaweza kusimama mbele ya jaji ukaapa na ukawataja kwa majina wote waliouwawa?.Kumuita muuaji siyo tusi bali ni wasifu wake.
Ndugu Yangu, ulimwengu huu wa smartphone Kila mtu anaandika awezalo popoteUnaweza kusimama mbele ya jaji ukaapa na ukawataja kwa majina wote waliouwawa?.
mmamaeeh, wee ndo umekubali kusema kweli huo ndo ungwana pumbaf sana na nusu.Njaa baba angu njaa. Mama katutenga kabisa MATAGA.
sio hoja yeyote, ni hoja yoyoteUkishaona mkosoaji anatumia lugha za hovyo basi ujue hana hoja yeyote ya msingi, mkosoaji mwenye hoja atatumia nguvu kubwa kuipambanua hoja yake ila asiye na hoja ya msingi huwa mkali au hutumia vitisho na lugha za kudhalilisha, ustaarabu kwe siasa za Afrika ni shida sana.
Ndugu,Mfano wa tabia hizo alikuwa nazo Tundu Lissu katika KAMPENI ZA UCHAGUZI ULIOPITA.......
Inachukua masaa mangapi kutoa amri kwamba Lissu alipwe haki zake? Kama kafuta kesi 147 FAKE kwanini anashindwa kufuta hukumu za waliohukumiwa na kutozwa faini ya mabilioni au kushindwa kulipa sasa wanaozea lupango? Kutangaza hadharani kwamba COVID 19 si Wabunge hivyo wasiingie tena Bungeni inachukua muda gani? Kumbuka HAKI huinua Taifa Na dhuluma huangamiza Taifa.
Hebu acha uongo banaaaa! Mbona Nusrat Hanje alitolewa usiku usiku kinyume na taratibu ili kutimiza udhalimu wao kwanini hao waliobambikiwa kesi FAKE ishindikane kuwatoa haraka? Ni rahisi kusema apewe muda wakati Watanzania chungu nzima wanaendelea kudhulumiwa haki zao. Ungekuwa ni mmoja wao wa hao waliobambikiwa kesi usingeandika apewe muda.
Wacha mikwala mbuzi hiyoUnaweza kusimama mbele ya jaji ukaapa na ukawataja kwa majina wote waliouwawa?.
Ushauri wako?Ww kazi yako kulia lia tu kama mtoto mdogo...
Mpaka muache kuabudu kaburi la kule BurigiKweli mzee, makundi yote anayaplease, lakini katutenga sisi MATAGA na SUKUMA gang, sijui tumemkosea nini
Dikteta aligawa cake ya Taifa kwa wasukuma wenzie na wachache aliotokanao Tanroads,,,Nchi huru hii, msilazimishe watu wasimkosoe SSH wakati hana sera wala vision zaidi ya ku please kila kundi kwa kugawa na kutapanya ovyo keki ya taifa.
ANAINGIAJE KWENYE MTEGO WAKATI KAKUAMBIA WATU WANAOMDHIHAKI RAIS WETU JAMBO AMBALO NDILO UNALALAMIKIA BRO????Mkuu, usiingie kwenye mtego huo
Maana ukianza kuwajibu kwa hasira na lugha Kama hiyo utafanana nao waliokosa heshima mkuu wangu
Mjinga akikutukana mbele za watu, mtazame na utabasamu, atajidharau sana
Ni vigumu sana kujadili mambo muhimu kitaifa wakati taifa linaongozwa zaidi kipropaganda huku masuala ya sera na mikakati yakipewa "lip-service" tu na viongozi. Na viongozi lazima waambiwe "wamekosea/wanakosea" inapokuwa dhahiri ili kuwatikisa wafanye kazi kwa weledi. Hiyo sio kashfa.Nadhani ni busara sana kwetu Watanzania tukajikita kuchambua Sera za nchi na mwelekeo tuutakao kwa taifa letu kwa kuiweka mbele taswira chanya ya taifa letu.
Ni mbegu mbaya Sana ikiwa tutaendekeza kutengenezeana timu zinazojiita majina yanayotukuza kiongozi mmoja huku yakimdhalilisha na kumkosea heshima mwingine.
Jamaa anawahi sana kusahauMbona hata wewe ndiyo wale wale tu. Angalia jibu lako kwenye comment namba 3.
Ni rahisi kuhubiri busara lkn ni vigumu Sana kuziishi