The patriot man
JF-Expert Member
- Aug 16, 2015
- 1,124
- 1,451
Mbona naona udini wa wazi wazi hapa tunatokaje?
Kwani uliondoka lini?Mbona naona udini wa wazi wazi hapa tunatokaje?
MhhhhWanatafuta mlango wa kutokea dini ndiyo Karata pekee
Haya unaoyaona yalifichwa kwenye vifua vya watu, yalikuwa yanatafuta sababu yakuyatoa ndiyo wameipata sasa. Na utalipima hili kwakutulia na kuangalia mijadala inavyoendelea hapa tunazungumzia nchi kuna watu wako busy mara TEC, CCT, BAKWATA kama anatafutwa Sheikh au Askofu nawakumbusha Tanzania is a Secular State na si religious State. Haiwezi kuongozwa kwa Tamko la kutoka taasisi ya Kiislamu wala ya Kikristo. Huo ushauri wa Viongozi wa dini waupeleke kwa waumini wao tena kwenye nyumba za ibada. Siyo kila siku viongozi wa dini wako mbele kuitisha press na kutoa ushauri wa kinafiki. Manchi mengi yanayoweka viongozi wa dini mbelembele huwa yanakuwa nyuma sana kimaendeleo.Mbona naona udini wa wazi wazi hapa tunatokaje?
Lile tamko la wakotoliki sio la kinafikiHaya unaoyaona yalifichwa kwenye vifua vya watu, yalikuwa yanayafuta sababu yakuyatoa ndiyo wameipata sasa. Na utalipima hili kwakutulia na kuangalia mijadala inavyoendelea hapa tunazungumzia nchi kuna watu wako busy mara TEC, CCT, BAKWATA kama anatafutwa Sheikh au Askofu nawakumbusha Tanzania is a Secular State na si religious State. Haiwezi kuongozwa kwa Tamko la kutoka taasisi ya Kiislamu wala ya Kikristo. Huo ushauri wa Viongozi wa dini waupeleke kwa waumini wao tena kwenye nyumba za ibada. Siyo kila siku viongozi wa dini wako mbele kuitisha press na kutoa ushauri wa kinafiki. Manchi mengi yanayoweka viongozi wa dini mbelembele huwa yanakuwa nyima sana kimaendeleo.
Nazichukia sana hizi dini za kuletewa zimekuwa chanzo cha machafuko sehemu nyingi kutokana na ajenda za siri za hao walizozileta.
Hao Wakatoliki unaowatetea siyo Malaika, ni binadamu kama wewe nao wana mapungufu yao. Ndiyo maana sikutaka kumtaja mtu au taasisi nimezungumza kwa ujumla wake.Lile tamko la wakotoliki sio la kinafiki
Yule alikuwa Mgombea nafasi ya Ubunge jimbo la Temeke kwa tiketi ya ACT, swali la msingi angekuwa amepata nafasi ya Ubunge angesema hayo alioyasema? Namuachia mwenyewe Sheikh Ponda.Sheikh Ponda yeye ana mwaga ukweli mtupu muangalie YouTube kule.
Ponda ni opportunist kama Zitto. Hao ndivyo walivyo. Wakiwa Dar wanajiita wamanyema. Wakiwa Ujiji wanajiita wazaramo.Yule alikuwa Mgombea nafasi ya Ubunge jimbo la Temeke kwa tiketi ya ACT, swali la msingi angekuwa amepata nafasi ya Ubunge angesema hayo alioyasema? Mamiachia mwenyewe Sheikh Ponda.
Samuya kaamua kuja na kete hiyo, divide and rule lakini huu moto aliouwasha lazima utamuunguza. Kawatengeneza BAKWATA wamsafishe, in reality unadhani kuna kiongozi wa dini anaweza kufurahia raia kutekwa, kulawitiwa na kuuawa kisa tu anapingana na rais? Kuna kiongozi wa dini anaweza kukubali real opposition wasishiriki uchaguzi eti abaki peke yake na irrelevant candidates wakati ni wazi hilo lazima lizae vurugu? Vyama vingi literally it means lazima kuwe na options ili watu wachague watakacho na kuwe na fairness katika ulingo wa kinyang'anyiro vinginevyo ni kukaribisha vurugu.Mbona naona udini wa wazi wazi hapa tunatokaje?
Ndio angesema. Yule Mzee hajawahi kuyumbaYule alikuwa Mgombea nafasi ya Ubunge jimbo la Temeke kwa tiketi ya ACT, swali la msingi angekuwa amepata nafasi ya Ubunge angesema hayo alioyasema? Namuachia mwenyewe Sheikh Ponda.
Hii ni kwaida ya CCM inaposhindwa kwa hoja huanzisha vihoja ili kuwadhoofisha wanaoipinga kwa hoja.Mbona naona udini wa wazi wazi hapa tunatokaje?