Terrible Teen
JF-Expert Member
- May 1, 2017
- 939
- 2,646
wewe una akili. unaandika eti wanamtumia vibaya kwani yeye ni debe tupu?Nina taarifa za Ndani kabisa watu wa karibu na Rais Samia wameshaingia Makubaliano ya awali na Kampuni kutoka OMAN ya kuchukua Shughuli za uendeshaji wa Uwanja wa Ndege wa KIA. Hata ile danganya toto ya Waziri MBARAWA kuwa shughuli za KADCO zi merejeshwa kwa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege (TAA) ni hadaa tupu.
Watanzania wenzangu tukatae sasa Kila rasilimali za Nchi hii kupewa Waaarabu. KIA ilijengwa na Mwalimu Nyerere kwa maono makubwa iweje leo apewe OMAN. Kuna watu wanamtumia Rais vibaya kujinufaisha na mikataba hii kama ile ya DP.
KIA haitoki kwa Mwarabu, hila zenu tumezijua.
Acha muhemko leta hoja kwani wanauziwa au wanapewa tenda ya kuendesha uwanja. Nchi inahitaji mapato kutokana na kodi kama mpaka leo unaendeshwa kwa hasara kuna ubaya gani kama una binafisichwa, kwa mwekezaji, yoyote mwenye uwezo ata kama sio muarabu au muarabu,........tatizo lako ni chuki na muarabu sio kingine.Nina taarifa za Ndani kabisa watu wa karibu na Rais Samia wameshaingia Makubaliano ya awali na Kampuni kutoka OMAN ya kuchukua Shughuli za uendeshaji wa Uwanja wa Ndege wa KIA. Hata ile danganya toto ya Waziri MBARAWA kuwa shughuli za KADCO zi merejeshwa kwa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege (TAA) ni hadaa tupu.
Watanzania wenzangu tukatae sasa Kila rasilimali za Nchi hii kupewa Waaarabu. KIA ilijengwa na Mwalimu Nyerere kwa maono makubwa iweje leo apewe OMAN. Kuna watu wanamtumia Rais vibaya kujinufaisha na mikataba hii kama ile ya DP.
KIA haitoki kwa Mwarabu, hila zenu tumezijua.
Huwezi kulaani matunda ya mti ulioupanda uani kwako. Kila mwaka unalalamikia matunda hayo. Kwa nini usiung'oe mti na kuutupa motoni?Nina taarifa za Ndani kabisa watu wa karibu na Rais Samia wameshaingia Makubaliano ya awali na Kampuni kutoka OMAN ya kuchukua Shughuli za uendeshaji wa Uwanja wa Ndege wa KIA. Hata ile danganya toto ya Waziri MBARAWA kuwa shughuli za KADCO zi merejeshwa kwa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege (TAA) ni hadaa tupu.
Watanzania wenzangu tukatae sasa Kila rasilimali za Nchi hii kupewa Waaarabu. KIA ilijengwa na Mwalimu Nyerere kwa maono makubwa iweje leo apewe OMAN. Kuna watu wanamtumia Rais vibaya kujinufaisha na mikataba hii kama ile ya DP.
KIA haitoki kwa Mwarabu, hila zenu tumezijua.
Una hakika inaendeshwa kwa hasara? kwa taarifa yako uwanja ule unaendeshwa kwa faida. Nendeni mkauze mali za Zanzibar waachieni watanganyika mali zao. Ziara za Uarabuni kila kukicha ili kunadi mali za watanzania bara.Acha muhemko leta hoja kwani wanauziwa au wanapewa tenda ya kuendesha uwanja. Nchi inahitaji mapato kutokana na kodi kama mpaka leo unaendeshwa kwa hasara kuna ubaya gani kama una binafisichwa, kwa mwekezaji, yoyote mwenye uwezo ata kama sio muarabu au muarabu,........tatizo lako ni chuki na muarabu sio kingine.
Acha chuki mkuu utakufa na stress mkuu tanganyika sio mali yako ni ya republic, wewe kazi yako ni kupigia kura kiongozi unao mtaka, hi nchi inamipango na utaratibu kama wampendekeza hivyo basi we tuliza mshono usubirie kura ya 2025 tena.Una hakika inaendeshwa kwa hasara? kwa taarifa yako uwanja ule unaendeshwa kwa faida. Nendeni mkauze mali za Zanzibar waachieni watanganyika mali zao. Ziara za Uarabuni kila kukicha ili kunadi mali za watanzania bara.
Binadamu mzima na akili yake kuwa legelege kama wewe ni hasara tupu. Wewe na Samia hamna tofauti hata kidogo. Mnadhani mtakaa kwenye kochi halafu waje binadamu wengine kutoka nchi nyingine waje kuwafanyia kazi. Kufeli kwa hizi taasisi ulizosema ni kwa sababu ya kufeli kwa serikali. Bila CCM kuondolewa hakuna kitakachobadilika.TAA wenyewe hamna kitu na kampuni ya KADCO ni hewa ....
TAA wanafanya kazi kama wasimamizi ila hawana ubunifu ... Taasisi ina miaka 20 ila hovyo kabisa ,wapo local sana acha wachukue hao Oman.
Huo uwanja waarabu wanautaka kwa hali na mali, kama wanavyotaka kuchukuwa bandari ya Dar. Nia yao kubwa ni kuiba raslimamali za nchi.wa Oman wakipewa huo uwanja na wanyama watafutika
Kn dini nyingine ni vigumu kuzitofautisha na ugaidiHila wakipewa wazungu fresh tuu.. shida akija mwarabu.. chuki dhidi ya Uislamu
Umesema kweli kabisa. Hapa kuna njia moja tu. Kusubiri kura ya 2025 ili kuwaondoa CCM! Jinga kabisa wewe. Akili zako ni kama za Chalamila au Makonda au Samia. Unajua kabisa 2025 mtapora kura ndiyo maana unaharisha ujinga kama huu! Ngoja kuna siku mtaita maji mma!Acha chuki mkuu utakufa na stress mkuu tanganyika sio mali yako ni ya republic, wewe kazi yako ni kupigia kura kiongozi unao mtaka, hi nchi inamipango na utaratibu kama wampendekeza hivyo basi we tuliza mshono usubirie kura ya 2025 tena.
Ona ulivyokuwa hanithi! Wewe unajua nini? Soma nilichaondika. Tafuta elimu dogo acha kuwa mjinga. Huo uwanja umeendeshwa miaka kibao na KADCO kipind bado unaishi kijijini kwenu.Binadamu mzima na akili yake kuwa legelege kama wewe ni hasara tupu. Wewe na Samia hamna tofauti hata kidogo. Mnadhani mtakaa kwenye kochi halafu waje binadamu wengine kutoka nchi nyingine waje kuwafanyia kazi. Kufeli kwa hizi taasisi ulizosema ni kwa sababu ya kufeli kwa serikali. Bila CCM kuondolewa hakuna kitakachobadilika.
Itakuwa rahisi wajomba zake kusafisha Nyama ya twigaNina taarifa za Ndani kabisa watu wa karibu na Rais Samia wameshaingia Makubaliano ya awali na Kampuni kutoka OMAN ya kuchukua Shughuli za uendeshaji wa Uwanja wa Ndege wa KIA. Hata ile danganya toto ya Waziri MBARAWA kuwa shughuli za KADCO zi merejeshwa kwa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege (TAA) ni hadaa tupu.
Watanzania wenzangu tukatae sasa Kila rasilimali za Nchi hii kupewa Waaarabu. KIA ilijengwa na Mwalimu Nyerere kwa maono makubwa iweje leo apewe OMAN. Kuna watu wanamtumia Rais vibaya kujinufaisha na mikataba hii kama ile ya DP.
KIA haitoki kwa Mwarabu, hila zenu tumezijua.