Tetesi: Watanzania tukatae Uwanja wa KIA kupewa Oman

Terrible Teen

JF-Expert Member
May 1, 2017
939
2,646
Nina taarifa za ndani kabisa watu wa karibu na Rais Samia wameshaingia Makubaliano ya awali na Kampuni kutoka Oman ya kuchukua shughuli za uendeshaji wa Uwanja wa Ndege wa KIA. Hata ile danganya toto ya Waziri Mbarawa kuwa shughuli za KADCO zimerejeshwa kwa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege (TAA) ni hadaa tupu.

Watanzania wenzangu tukatae sasa kila rasilimali za nchi hii kupewa Waarabu. KIA ilijengwa na Mwalimu Nyerere kwa maono makubwa iweje leo apewe Oman? Kuna watu wanamtumia Rais vibaya kujinufaisha na mikataba hii kama ile ya DP.

KIA haitoki kwa Mwarabu, hila zenu tumezijua!
 
wewe una akili. unaandika eti wanamtumia vibaya kwani yeye ni debe tupu?
 
Acha muhemko leta hoja kwani wanauziwa au wanapewa tenda ya kuendesha uwanja. Nchi inahitaji mapato kutokana na kodi kama mpaka leo unaendeshwa kwa hasara kuna ubaya gani kama una binafisichwa, kwa mwekezaji, yoyote mwenye uwezo ata kama sio muarabu au muarabu,........tatizo lako ni chuki na muarabu sio kingine.
 
Huwezi kulaani matunda ya mti ulioupanda uani kwako. Kila mwaka unalalamikia matunda hayo. Kwa nini usiung'oe mti na kuutupa motoni?

Ndo maana haya madudu hayaishi kwa sababu walalamikaji ndo wapiga kampeni wa CCM huko mbeleni
 
Una hakika inaendeshwa kwa hasara? kwa taarifa yako uwanja ule unaendeshwa kwa faida. Nendeni mkauze mali za Zanzibar waachieni watanganyika mali zao. Ziara za Uarabuni kila kukicha ili kunadi mali za watanzania bara.
 
Una hakika inaendeshwa kwa hasara? kwa taarifa yako uwanja ule unaendeshwa kwa faida. Nendeni mkauze mali za Zanzibar waachieni watanganyika mali zao. Ziara za Uarabuni kila kukicha ili kunadi mali za watanzania bara.
Acha chuki mkuu utakufa na stress mkuu tanganyika sio mali yako ni ya republic, wewe kazi yako ni kupigia kura kiongozi unao mtaka, hi nchi inamipango na utaratibu kama wampendekeza hivyo basi we tuliza mshono usubirie kura ya 2025 tena.
 
TAA wenyewe hamna kitu na kampuni ya KADCO ni hewa ....

TAA wanafanya kazi kama wasimamizi ila hawana ubunifu ... Taasisi ina miaka 20 ila hovyo kabisa ,wapo local sana acha wachukue hao Oman.
Binadamu mzima na akili yake kuwa legelege kama wewe ni hasara tupu. Wewe na Samia hamna tofauti hata kidogo. Mnadhani mtakaa kwenye kochi halafu waje binadamu wengine kutoka nchi nyingine waje kuwafanyia kazi. Kufeli kwa hizi taasisi ulizosema ni kwa sababu ya kufeli kwa serikali. Bila CCM kuondolewa hakuna kitakachobadilika.
 
Acha chuki mkuu utakufa na stress mkuu tanganyika sio mali yako ni ya republic, wewe kazi yako ni kupigia kura kiongozi unao mtaka, hi nchi inamipango na utaratibu kama wampendekeza hivyo basi we tuliza mshono usubirie kura ya 2025 tena.
Umesema kweli kabisa. Hapa kuna njia moja tu. Kusubiri kura ya 2025 ili kuwaondoa CCM! Jinga kabisa wewe. Akili zako ni kama za Chalamila au Makonda au Samia. Unajua kabisa 2025 mtapora kura ndiyo maana unaharisha ujinga kama huu! Ngoja kuna siku mtaita maji mma!
 
Ona ulivyokuwa hanithi! Wewe unajua nini? Soma nilichaondika. Tafuta elimu dogo acha kuwa mjinga. Huo uwanja umeendeshwa miaka kibao na KADCO kipind bado unaishi kijijini kwenu.

Unajua swissport nao pale JNIA, unaonekana mshamba sana. Ninacholaumu hapa kwa nn TAA isiwe kubwa miaka kibao karibia 20 kweny industry wanashindwa kuendesha hivyo viwanja mpaka wanapewa private.
 
Itakuwa rahisi wajomba zake kusafisha Nyama ya twiga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…